Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Leta ushahidi pimbi weye
 
You're better off expressing your ideas in your vernacular.
 
Hii ni hatari sana ,tutajie Jimbo mkuu
 
Habari kama hii iko chini mno ya kiwango cha aina yoyote!

Hao mawakala waliotolewa nje na kunyimwa 8,000/ wao ni wapumbavu hawajui hata wafanye nini?

Hao wanaotoa hizo 8,000/ na kutoa maelekezo uliyoleta hapa, hivi wanazo akili kichwani?

Unapoweka taarifa hapa JF, jitahidi kidogo kujua kwamba wanaosoma habari yako wana uelewa mkubwa kukuzidi wewe.

PUMBAVU kabisa.

Watu kama nyinyi ndio mnaoharibu mwonekano wa vyama vya upinzani.
 
Asante kwa maono yako. Shibuda amesema tujiandae kisaikolojia
 
N
Nina mashaka sana na hayo maneno, kwangu mimi nayaona kama ya kichochezi, mitaani na hayana ukweli! Tuweni makini sana na maneno hatarishi kama haya!
 
Kumbe chama chao uwaziri mkuu ni wa kujichotea tu! Bila kujali kapita ubunge au la! CCM Bwana utaratibu unafuatwa hata Komredi Mjaliwa hawezi kutamka maneno hayo, pamoja na kuwa kuwa ndiye PM na amepita bila kupingwa!
 
Binamu Bananga kafanya kazi kubwa sana na Lissu
 
Ubunge bado unawaza Uwaziri mkuu dah siasa hizi.
Mwaka 2015 kuna watu walishashona kabisa suit na kuandaa speech za shukrani ila Magufuli akawasuprise.

Kikwete aliwahi kusema urais wake hauna ubia na mtu yeyote. Mtu akishakuwa Rais anaweza kufanya lolote na wewe unayedhani mpo close kiasi gani ukabaki umeduwaa tu
 
😂😂😂🙌wanasiasa bana. Yani kashajipangia kabisa majukumu. Au ashakaa na Lissu na kamwambia lazima uwe waziri..
 
lenyu Kwanini mnapenda kujitisha na kutishana hivyo?
Tufate sheria na taratibu za uchaguzi
IGP amesema wako tayari kutulinda wananchi na mali zetu
IGP kateuliwa na Magu.Yani kwa akili zako zoooote unaona kabisa anaongea ni anamaanisha.Kweli kuna watu siasa za bongo hamzijui kabisa.
 
ZUNGUMZIA uchaguzi wa 2020.Lissu hakuwa mgombea 2015.Halafu hayo unayodhani hayawezekani,kuna wakati yanawezekana . Tanzania siyo kisiwa.
 
Mr zero awe pm?

Hivi ni kwanini vilaza wa nchi hii wanai underrate sana nchi yetu
 
ZUNGUMZIA uchaguzi wa 2020.Lissu hakuwa mgombea 2015.Halafu hayo unayodhani hayawezekani,kuna wakati yanawezekana . Tanzania siyo kisiwa.
Bottom line: Mbowe kapotoka kuanza kuota Uwaziri Mkuu wakati Ubunge wenyewe bado hajapata. Asimpangie Rais ajaye.

Afterall, Waziri Mkuu hupigiwa kura Bungeni na Rais hapendekezi kiholela. Hupendekeza Mbunge kutoka kwenye chama chenye wabunge wengi zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…