Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi

Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=

Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.

Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.

Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.

Haki huinua TAIFA

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Watanzania mnaonekana kama mmechoka amani vile? Ninawaombea kwa Mungu mwikose hiyo amani ili nyie wenyewe, watoto wenu na vijuu kuu vyenu vije kumlilia Magufuli kama Wairaq na wasudani kasakazini hivi sasa wanafanya.

Msikufuru mungu ndugu zangu. Hakuna Uhuru mwingine kama huu mlio upata na hakuna haki nyingine kama hii mliyo ipata.

Msidanganyike kuwa wazungu ni wakombozi wenu. Hicho kitu hakipo. Mbona mnaonekana kama mmelogwa vile?

Magufuli hawa watanzania nina uhakika kuwa wamelogwa kwasababu naona kama hawajitambui vile?

Jamani Lissu ni demon ambaye amekuja kuwaharibia nchi yenu. Kwanini hamlioni hilo? Mnataka nini hasa? Oooh my God! Watanzania amkeni please! Mbona mnakuwa wajinga namna hiyo? Mnajua mtachekwa sana na ulimwengu kwa vitendo vyenu vya kubeza vyenu na kutukuza vya wenzenu? Mnataka Mungu awape nini nyie?

Nawaomba wote kuingalia hii clip amabyo imetrend sana wiki hizi mbili kwenye mitandao ya kijamii. Haya ndiyo mawazo ya wazungu juu yetu. Bado hamwuelewi tu?
 
Yani nasikia kwenye mafunzo ya wasimamizi huko,wasimamizi wakuu wanafundishwa namna ya kuukandamiza upinzani na kuhakikisha jiwe anapita kwa kura nyingiiii
 
Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi

Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=

Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.

Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.

Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.

Haki huinua TAIFA

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
tulia kamanda, tumejipanga kushinda
wao waendelee na sarakas zao za kitoto
 
Mola Ejani Leonard

“When tension extend to violent armed conflicts, these types of situation can be seen. How we fight matters because it is very painful to see young people who are going to school die Akwilina this way. If you want to fight war, attack military targets and not civilians.”

CNA


Lissu You deserve power 100%
 
Watanzania mnaonekana kama mmechoka amani vile? Ninawaombea kwa Mungu mwikose hiyo amani ili nyie wenyewe, watoto wenu na vijuu kuu vyenu vije kumlilia Magufuli kama Wairaq na wasudani kasakazini hivi sasa wanafanya.

Msikufuru mungu ndugu zangu. Hakuna Uhuru mwingine kama huu mlio upata na hakuna haki nyingine kama hii mliyo ipata.

Msidanganyike kuwa wazungu ni wakombozi wenu. Hicho kitu hakipo. Mbona mnaonekana kama mmelogwa vile?

Magufuli hawa watanzania nina uhakika kuwa wamelogwa kwasababu naona kama hawajitambui vile?

Jamani Lissu ni demon ambaye amekuja kuwaharibia nchi yenu. Kwanini hamlioni hilo? Mnataka nini hasa? Oooh my God! Watanzania amkeni please! Mbona mnakuwa wajinga namna hiyo? Mnajua mtachekwa sana na ulimwengu kwa vitendo vyenu vya kubeza vyenu na kutukuza vya wenzenu? Mnataka Mungu awape nini nyie?

Nawaomba wote kuingalia hii clip amabyo imetrend sana wiki hizi mbili kwenye mitandao ya kijamii. Haya ndiyo mawazo ya wazungu juu yetu. Bado hamwuelewi tu?

Kmbuka kupigia Kura Lisu na chadema.
 
Ndiyo maneno yao,hata akiulizwa kati ya brazil na tz trh 28/10/2020 atashinda nani jibu litakuwa tz atashinda bao 6
 
CHADEMA, huu uchaguzi ushindi uko upande wenu. Ila muwe makini na mawakala ndio watakao waangusha. Hasa kule central pooling station
 
Back
Top Bottom