Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Watu wakishapiga konyagi zao wanaanza kusumbua wengine.
 
siasa za tanzania ni siasa za mahaba ndo maaana miaka yote matokeo ni yale yale kila uchaguzi, hata ukiangalia uchaguzi wa kutafuta mwenyekiti wa chadema matokeo ni yale yale,
Vituo hewa vya nini sasa?
 
Kipindi hiki nilikuwa ninapata 'Elimu' yangu ya 'Ordinary' na 'Advanced' kutoka kwa 'Walimu' wa Kiganda na Taifa zuri 'Kielimu' hapa EAC la Uganda.
Ok, nimekaa Old Kampala,

Mitaa ya Kamocha, Ntinda View na kwingineko naikumbuka sana,

Sitasahau owino Market.
 
Maana yake Chadema walishagawana nafasi zooote [emoji23][emoji23][emoji23] kabla hata ya uchaguzi kuisha!
 
Ok, nimekaa Old Kampala,

Mitaa ya Kamocha, Ntinda View na kwingineko naikumbuka sana,

Sitasahau owino Market.
Nimekaa Nakasero, Entebbe, Kololo, Makindye, Ntinda na Mbuya wakati nimecheza mno Mpira hapo Viwanja vya Lugogo wakati hapo Owino Market nilikuwa nikienda sana kununua 'Viwalo' na 'Ndaba' za uhakika japo ni za 'Mitumba' tupu. Nyuma ya hapo Soko Kuu la Kampala la Owino kuna 'Lodge' moja 'maarufu' inayopendwa na Watanzania wengi iitwayo 'Samalien' ambapo wakati 'tukitoroka' Shuleni kwenda 'Mziki' tukinunua 'Migoma' ya Kiganda kutoka katika zilizokuwa 'Kumbi' zao Kuu za 'Starehe' za 'Club Silk' na 'Ange Noir' tulikuwa tukienda 'Kuitandikia' hapo.

Kuanzia Mtaa ilipo Hotel ya Sheraton Uganda, Posta, Benki Kuu ya Uganda hadi Jengo la Bunge la Uganda ambapo kwa ndani yake pia ipo Ofisi ya Rais na Makamu wake ndiyo 'Mitaa' ambayo Wanafunzi wengi wa 'Kitanzania' hupenda Kununua 'Migoma' ya 'Kiganda' na nakumbuka kuna Siku 'nilibananishwa' na 'Polisi' wa Uganda nikiwa na 'Goma' moja la 'Kinyankole' katika 'Tendo' la 'Uzinifu' chini ya Ngazi za Jengo la Posta ambalo 'nilidakwa' huku 'Suruali' yangu ikiwa 'Magotini' na 'Mkuyenge' wangu ukiwa tayari umeshaonyesha Ushirikiano na 'Mbunye' lakini nilichowafanya wale 'Polisi' wa Uganda nina uhakika hadi leo hii 'wakinikumbuka' huwa wanasema kuwa hakuna Watu wenye 'Akili' na 'Wajanja' sana Afrika Mashariki, Afrika na huenda hata Ulimwenguni ( Duniani ) kama Watanzania.

Kwa aina ya 'Mbio' nilizotimua Siku ile nina uhakika wa 100% kama Chama cha Riadha cha Olympic nchini Tanzania 'wangenishuhudia' basi 'wangeamuru' pale pale nami GENTAMYCINE niwe 'Mshiriki' wa kila mwaka wa 'Mbio' hizo na wangekuwa na uhakika wa Mimi kuwaletea 'Medani' ama za Dhahabu au Fedha. Na hii yote ilikuwa ni kati ya mwaka 1996 hadi 2002 ambayo wengi wenu hapa najua bado mlikuwa katika 'Zipu' za Baba zenu au mmeshazaliwa ila mlikuwa mnashinda tu katika 'Mabeseni' ya Kuogea mkiogeshwa tu.
 
Nimekaa Nakasero, Entebbe, Kololo, Makindye, Ntinda na Mbuya wakati nimecheza mno Mpira hapo Viwanja vya Lugogo wakati hapo Owino Market nilikuwa nikienda sana kununua 'Viwalo' na 'Ndaba' za uhakika japo ni za 'Mitumba' tupu. Nyuma ya hapo Soko Kuu la Kampala la Owino kuna 'Lodge' moja 'maarufu' inayopendwa na Watanzania wengi iitwayo 'Samalien' ambapo wakati 'tukitoroka' Shuleni kwenda 'Mziki' tukinunua 'Migoma' ya Kiganda kutoka katika zilizokuwa 'Kumbi' zao Kuu za 'Starehe' za 'Club Silk' na 'Ange Noir' tulikuwa tukienda 'Kuitandikia' hapo.

Kuanzia Mtaa ilipo Hotel ya Sheraton Uganda, Posta, Benki Kuu ya Uganda hadi Jengo la Bunge la Uganda ambapo kwa ndani yake pia ipo Ofisi ya Rais na Makamu wake ndiyo 'Mitaa' ambayo Wanafunzi wengi wa 'Kitanzania' hupenda Kununua 'Migoma' ya 'Kiganda' na nakumbuka kuna Siku 'nilibananishwa' na 'Polisi' wa Uganda nikiwa na 'Goma' moja la 'Kinyankole' katika 'Tendo' la 'Uzinifu' chini ya Ngazi za Jengo la Posta ambalo 'nilidakwa' huku 'Suruali' yangu ikiwa 'Magotini' na 'Mkuyenge' wangu ukiwa tayari umeshaonyesha Ushirikiano na 'Mbunye' lakini nilichowafanya wale 'Polisi' wa Uganda nina uhakika hadi leo hii 'wakinikumbuka' huwa wanasema kuwa hakuna Watu wenye 'Akili' na 'Wajanja' sana Afrika Mashariki, Afrika na huenda hata Ulimwenguni ( Duniani ) kama Watanzania.

Kwa aina ya 'Mbio' nilizotimua Siku ile nina uhakika wa 100% kama Chama cha Riadha cha Olympic nchini Tanzania 'wangenishuhudia' basi 'wangeamuru' pale pale nami GENTAMYCINE niwe 'Mshiriki' wa kila mwaka wa 'Mbio' hizo na wangekuwa na uhakika wa Mimi kuwaletea 'Medani' ama za Dhahabu au Fedha. Na hii yote ilikuwa ni kati ya mwaka 1996 hadi 2002 ambayo wengi wenu hapa najua bado mlikuwa katika 'Zipu' za Baba zenu au mmeshazaliwa ila mlikuwa mnashinda tu katika 'Mabeseni' ya Kuogea mkiogeshwa tu.
Sheraton Hotel haikuwa mbali Sana na Ubalozi wa Tanzania,

Mitaa yote hiyo ni kama Jana tu,

Kuna hoteli ilikuwa inaitwa Fang Fang Restaurant, Speke Hotel etc,

Bunge na Ofisi ya Rais vilikuwa karibu,

Kuna DJ maarufu wa kike alikuwa anaitwa DJ Rachel wa Anjenwa!

Hehe, miaka hiyo daah.

Kampala bwana, kutamu Sana.
 
Back
Top Bottom