GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa 'Kunikubali' Kwako huku 'Sifa' zote tu zimwendee Baba Mungu Muumba na Ashukuriwe Yeye kwani nipo hivi kutokana na 'Shani' yake Kwangu.Asante bro wa viwango, nakukubali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa 'Kunikubali' Kwako huku 'Sifa' zote tu zimwendee Baba Mungu Muumba na Ashukuriwe Yeye kwani nipo hivi kutokana na 'Shani' yake Kwangu.Asante bro wa viwango, nakukubali sana
Sister /mama/pisi kali ?Mimi sister👍
Kwa 'Kunikubali' Kwako huku Kongole zote zimwendee Baba Mungu Muumba na Ashukuriwe Yeye kwani nipo hivi kutokana na 'Shani' yake Kwangu.
Nilikuwa nakuona hip hop ila nilipogundua upo CCM sikutofautishi na Amber RuthHongera kwao....wenzao nao wakisema wasianze kulialia.
Dogo nchi tunaichukua mapema saa nne asubuhi Jumatano. Si utakuwa humu nitakutag. Tatizo Mbowe katoboa siri mapema angekuwa mvumilivu tuu kuna wachawi wengiDj na muendelezo wa comedy, na wana chama wa saccos yake wataamini hili igizo, ajabu la 8 la dunia hili [emoji16][emoji23]
Haha asanteSister /mama/pisi kali ?
Nakupenda unavyijitambua tofauti na Ccm wengne humu jukwaani
Mango zangu ni kukuonyesha kuwa kura halali hadi zipigwe ndio tutajua
Washasema sanaHongera kwao....wenzao nao wakisema wasianze kulialia.
Prime Minister himself 'The tribe patron'.
Marais wako wengi labda atakuwa Rais wa tffMbowe amesema katika saa 72 zijazo Tundu Lissu atakuwa Rais wa Tanzania na Mimi nitakuwa Rais
Chanzo: Mwananchi online
====
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema ndani ya saa 72 zijazo, mgombea wao wa Urais, Tundu Lissu anakwenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mbowe ametoa kauli hiyo leo Jumapili Oktoba 25 katika mji mdogo wa Bomang'ombe wilaya ya Hai wakati akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni huku akisema Mungu akipenda, yeye anakwenda kuwa Waziri mkuu.
Hata hivyo, Mbowe ambaye pia anagombea ubunge jimbo la Hai, alitahadharisha kuwa kitendo chochote cha kuwazuia mawakala wao 80,160 nchi nzima wasiingie kwenye vituo vya kupigia kura Oktoba 28, kunaweza kubadili historia ya Tanzania.
Hivyo, aliisihi Tume ya Taifa ya Uchaguzi na vyombo vya Usalama, kuhakikisha hakuna jaribio lolote la kuwazuia mawakala wao kuingia kwenye vituo kusimamia upigaji kura na wao watakuwa tayari kukubali matokeo kama uchaguzi utakuwa wa huru na haki.
"Uchaguzi huu sio kati ya Chadema na CCM wala uchaguzi huu sio kati ya Lissu na Magufuli (mgombea urais wa CCM) bali ni kati ya wanaopenda uhuru na haki na waliokandamiza uhuru na demokrasia," alisema Mbowe.
Mbowe amesema wamezunguka mikoa yote ya Tanzania na wananchi wapo tayari kufanya mabadiliko ya uongozi na kusisitiza kuwa kwa mwonekano na hamasa waliyoionyesha Watanzania, Lissu anakwenda kuwa Rais ndani ya saa 72 zijazo.
Hivyo, ameitaka NEC kuhakikisha uchaguzi huu hauvurugwi kwa namna yoyote kwa sababu gharama yake itakuwa kubwa na kusisitiza kuwa wako tayari kukubali kushindwa kama NEC na vyombo vingine vitahakikisha uchaguzi umekuwa wa wazi, huru na haki.
Upepo umebadilika sanakwan kura znapigwa uganda, si ni wale wale watu wa tanzania ndo maana nkakwambia
Huo ni uchochezi, hakuna uhatari wowote wa kuuogopa uchaguzi, nenda katimize wajibu wako, usitishe watuWatanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi
Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=
Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.
Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.
Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.
Haki huinua TAIFA
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Upepo umebadilika sana
Hao mabalozi wa mashina walivyozeeka wataenda vijiwe vingapi ? Acha tuendelee kuwatesa tutamtaja Lissu hadi wazibe masikio .Naomba niwatahadharidhe wale wanaokusudia kumpigia kura Lissu wasiongee wala kujadili vijiweni. Mabalozi wa shina wa CCM wameelekezwa kuhakikisha kuwa watu hao hawakanyagi vituoni. Posho waliyopewa wanaccm ni kuwa ni heri usipige kura ila uteke wapinzani hasa Chadema watatu na kuhakikisha kuwa hawapigi kura siku hiyo. Posho ni Tshs laki moja.
Hivyo tahadhari ni muhimu. Pia ikiwezekana siku ya kwenda kupiga kura badili njia na muda wa kutoka!