Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

IGP ni mmoja wa taasisi zilizo kwenye mpango wa kunajisi uchaguzi. Ccm ndio wana imani na IGP maana wanaweza kumtumia kulinda ushindi haramu.

Wewe na wagombea wako mnalindwa na nani?
 
Huyo anaongelea wasimamizi wa uchaguzi na anachosema ni ukweli mtupu
Ndani ya chumba uchaguzi kuna mawakala wa vyama 16 Huyo mmoja tu sijui wa chadema nani ahangaike naye.

Chadema mnaanza kuhaha.Safari hii ngoja watu wa Dar es salaam tuongoze mikoa mingine kuwanyima kura.Tumewachoka kwa mambo yenu ya kizushi na uongo yasiyoisha .Tarehe 28 October chadema mnafungashwa virago Dar es salaam for good
 
Kabla ya uchaguzi, mwanasiasa kazi yake ni kuomba kura.

Hii kauli ya Mbowe, kama kweli kaitoa, inaweza kutafsirika kuwa Mbowe hahitaji kura za watu, kashapata uhakika wa kuwa Waziri Mkuu.

Hivyo, wengine ambao walitaka kumpigia kura wakasema huyu hahitaji kura zetu, kashapata uhakika wa kuwa Waziri Mkuu. Labda tuwapigie wanaozihitaji.

Nilimsema Makamu wa Rais Samia Suluhu kwa kusema wananchi wakipigia kura CCM au wasipopigia kura CCM, CCM itashinda tu.

Narudia kumsema Mbowe, kwa sababu hizo hizo.

Kabla ya uchaguzi, mwanasiasa kazi yake ni kuomba kura.

Masaa 72 yajayo ni mengi sana. Mbowe hawezi kujua atakuwa nani.

Inawezekana kabisa akawa mfungwa wa kisiasa.
 
Hivi mawakala ni walipwa shilingi ngapi kwa siku?

Ushindi ni sayansi na sayansi ni hesabu💥
Wanalipwa teuzii
Kwahiyo CHADEMA mnampango wa kuwa na teuzi zaidi 80,000 kwa mawakala wenu tuu?
Ndio ma D.C. 😆😆
Teuzi ni nyingi tunafyeka maDC,RC,DAS,RAS,RSO,mabalozi ,MaDED ,wakurugenzi wa mashirika ya umma,Wenyeviti wa taasisi za serikali nk

Nadhani unatakiwa taasisi ya urais isafishe vibaraka wa mafisadi zaidi ya 100K
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…