Pre GE2025 Mbowe ndiye aliyepambania Uhai wa Lissu kwa Jasho na Damu Mpaka Kumvushia Nairobi Kenya lakini leo Lissu anampaka matope na kumuona hafai

Pre GE2025 Mbowe ndiye aliyepambania Uhai wa Lissu kwa Jasho na Damu Mpaka Kumvushia Nairobi Kenya lakini leo Lissu anampaka matope na kumuona hafai

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kizza Besigye alikuwa daktari binafsi wa M7. Uswahiba wa Uhuru na Ruto ulikuwa haukamatiki. Raila na ODM wakati ule ngoma inogile!

Ghafla bin vuu akaja Gachagua ndiye akawa bafa mkinga shari ili kumlinda na kumwinua Ruto.

Trump na Mike Pence walikuwa ni rais na makamu wake same as Joe na Kamala same as urafiki wa ENL & JK.

Haji Manara ulikuwa humwambii kitu kuhusu Simba. Na MO daima alihuzunikia mkwanja wake aliouwekeza Msimbazi!

Wema alikuwa kipenzi halisi cha Diamond. Dar ilikuwa makao makuu ya nchi. Juliasi na Sokoine walikuwa wazalendo wa Azimio la Arusha.

Nasari alikuwa shabiki kindakindani wa CDM. Na Waitara hakuisha kukinanga chama tawala kabla ya kutimkia huko kama Msigwa hivi karibuni.

Dkt. Slaa aliwahi kugombea urais chini ya CDM. Zitto Kabwe na CDM, CDM na Zitto Kabwe enzi hizoo!

Airtel ilikuwa Zain, Zain ilikuwa Celtel na Tigo imegeuka kuwa Yas. Elon Musk alikuwa Democrat, lakini sasa hivi yeye ndiye almost usukani, tairi na injini ya serikali ya Marekani!

Hivi unaweza kuamini kwamba kuna wakati hapo zamani ambapo Wapalestina na Waisraeli walikuwa wakiishi kwa amani na utulivu?

Juzi Anko Joni alikuwa rais, leo Sa100 ndiye fundi wa kuapisha viongozi wateule.

Must I continue?

Mhubiri 3:1-8
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tenda Wema nenda zako na wala usisubiri shukurani,ni bora Umfadhili Mbuzi kuliko Mwanadamu.Duniani hapa Watu wanaumizwa na Wameumizwa sana na watu wale wa karibu sana yaani wale ambao waliwasaidia kwa jasho na Damu lakini Mwisho wa siku wamegeuka na kubakia Maadui wakubwa sana.

Watu wengi sana wameingia matatizoni na kupata majuto mazito kutoka kwa watu waliowasaidia.watu wengi sana wameumizwa na wema wao .Wapo watu leo wanabubujikwa na machozi yasiyokata usiku na mchana kwa sababu ya majeraha na vidonda visivyopona vilivyo sababishwa na watu waliowasaidia na kujitoa na kujitolea kwao.

Mwamba wa kaskazini na Jabali la siasa za Upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe leo anapakwa matope, kuchafuliwa, kuzushiwa uongo, kusemwa vibaya kusingiziwa kila aina ya uongo, kutukanwa, kubezwa kudharauliwa na hata kutupiwa kila aina ya shutuma kutoka kwa watu aliowakuza, kuwalea na kuwasaida kwa jasho na Damu.

Leo anaumizwa,kuzushiwa uongo na kuchafuliwa na watu walio ndani ya CHADEMA au ambao wapo nje ya CHADEMA lakini walipita mikononi mwake na yeye ndiye akawasaidia mpaka kupata Uongozi kama vile Ubunge japo walikuwa Makapuku na choka Mbaya na wasiofahamika kabisa kwa watanzania lakini Leo ndio wamegeuka kuwa maadui zake wenye kuongoza mashambulizi ya kumchafua, kumpaka matope na kumzushia kila aina ya uchafu.

Ni haohao aliowabeba na kuwasaida na kuwatambulisha mbele ya macho ya watanzania licha ya Umasikini wao, kuchoka kwao kimwili na kupoteza nuru hata ya macho kutokana na njaa zao lakini Leo ndio wapo mstari wa mbele kumrushia mishale ya kila aina kutaka kumuangamiza.

Kwa hakika inaumiza sana kibinadamu,inatia sana hasira, inaleta uchungu na kusononesha sana na kwa hakika kwa mtu mwenye akili Timamu na unayejitambua kamwe na katu huwezi hata kidogo kuwaamini watu wa aina hiyo wanaomshambulia Mbowe kwa sasa wakati unajua kuwa wamefika hapo walipofika na kutambulika hapa Nchini kupitia Mabega na mikono na Msaada wa Mbowe mwenyewe.

watu hao hawapaswi kuaminika wala kuwaamini popote pale wala kuwakaribisha chumbani kwako au hata kuwaonyesha funguo za nyumba yako zinapokaa. Haupaswi hata kuwaacha watoto wako kwao maana ipo siku utakuta wamefanyiwa ukatili na unyama usiomithirika.

Kama wewe mwenye akili Timamu unatambua mchango wa Mbowe kuwasaidia watu hao lakini Leo ndio wanamchafua Mbowe.je wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa huwezi kusalitiwa na kuja kutukanwa na watu hao? Wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa hao watu au huyo mtu hawezi kuja kukugeuka na kukusaliti?

Mbowe ndiye mtu aliyepambana kwa jasho na Damu kupambania uhai wa Lissu.ndiye aliyefanya juhudi zote kuhakikisha Lissu anapata ndege ya dharura itakayo msafirisha Lissu kutoka nje ya mipaka ya Tanzania ni Mbowe ndiye aliyeweka kambi Nairobi Kenya kusimamia matibabu ya lissu lakini leo Mbowe analipwa kwa mabaya, leo anaonekana hafai,leo anaonekana ni mtu wa hatari ,leo anaonekana hafai kwa lolote lile .Leo Mbowe anaambulia kejeli,dharau,matusi ,kuchafuliwa na kupakwa Matope ya kila aina.

Leo maadui zake wakubwa ni wale aliowasaidia na kuwapigania.

Kwa hakika ni bora Mfadhili Mbuzi tuuu kuliko Mwanadamu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tunajuaje Kama Yeye Hakuhusika ?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tenda Wema nenda zako na wala usisubiri shukurani,ni bora Umfadhili Mbuzi kuliko Mwanadamu.Duniani hapa Watu wanaumizwa na Wameumizwa sana na watu wale wa karibu sana yaani wale ambao waliwasaidia kwa jasho na Damu lakini Mwisho wa siku wamegeuka na kubakia Maadui wakubwa sana.

Watu wengi sana wameingia matatizoni na kupata majuto mazito kutoka kwa watu waliowasaidia.watu wengi sana wameumizwa na wema wao .Wapo watu leo wanabubujikwa na machozi yasiyokata usiku na mchana kwa sababu ya majeraha na vidonda visivyopona vilivyo sababishwa na watu waliowasaidia na kujitoa na kujitolea kwao.

Mwamba wa kaskazini na Jabali la siasa za Upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe leo anapakwa matope, kuchafuliwa, kuzushiwa uongo, kusemwa vibaya kusingiziwa kila aina ya uongo, kutukanwa, kubezwa kudharauliwa na hata kutupiwa kila aina ya shutuma kutoka kwa watu aliowakuza, kuwalea na kuwasaida kwa jasho na Damu.

Leo anaumizwa,kuzushiwa uongo na kuchafuliwa na watu walio ndani ya CHADEMA au ambao wapo nje ya CHADEMA lakini walipita mikononi mwake na yeye ndiye akawasaidia mpaka kupata Uongozi kama vile Ubunge japo walikuwa Makapuku na choka Mbaya na wasiofahamika kabisa kwa watanzania lakini Leo ndio wamegeuka kuwa maadui zake wenye kuongoza mashambulizi ya kumchafua, kumpaka matope na kumzushia kila aina ya uchafu.

Ni haohao aliowabeba na kuwasaida na kuwatambulisha mbele ya macho ya watanzania licha ya Umasikini wao, kuchoka kwao kimwili na kupoteza nuru hata ya macho kutokana na njaa zao lakini Leo ndio wapo mstari wa mbele kumrushia mishale ya kila aina kutaka kumuangamiza.

Kwa hakika inaumiza sana kibinadamu,inatia sana hasira, inaleta uchungu na kusononesha sana na kwa hakika kwa mtu mwenye akili Timamu na unayejitambua kamwe na katu huwezi hata kidogo kuwaamini watu wa aina hiyo wanaomshambulia Mbowe kwa sasa wakati unajua kuwa wamefika hapo walipofika na kutambulika hapa Nchini kupitia Mabega na mikono na Msaada wa Mbowe mwenyewe.

watu hao hawapaswi kuaminika wala kuwaamini popote pale wala kuwakaribisha chumbani kwako au hata kuwaonyesha funguo za nyumba yako zinapokaa. Haupaswi hata kuwaacha watoto wako kwao maana ipo siku utakuta wamefanyiwa ukatili na unyama usiomithirika.

Kama wewe mwenye akili Timamu unatambua mchango wa Mbowe kuwasaidia watu hao lakini Leo ndio wanamchafua Mbowe.je wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa huwezi kusalitiwa na kuja kutukanwa na watu hao? Wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa hao watu au huyo mtu hawezi kuja kukugeuka na kukusaliti?

Mbowe ndiye mtu aliyepambana kwa jasho na Damu kupambania uhai wa Lissu.ndiye aliyefanya juhudi zote kuhakikisha Lissu anapata ndege ya dharura itakayo msafirisha Lissu kutoka nje ya mipaka ya Tanzania ni Mbowe ndiye aliyeweka kambi Nairobi Kenya kusimamia matibabu ya lissu lakini leo Mbowe analipwa kwa mabaya, leo anaonekana hafai,leo anaonekana ni mtu wa hatari ,leo anaonekana hafai kwa lolote lile .Leo Mbowe anaambulia kejeli,dharau,matusi ,kuchafuliwa na kupakwa Matope ya kila aina.

Leo maadui zake wakubwa ni wale aliowasaidia na kuwapigania.

Kwa hakika ni bora Mfadhili Mbuzi tuuu kuliko Mwanadamu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.



Yeye ndie alitoa ndege ? Yeye ndie alilipa gharama?

Michango si ilitolewa na watanzania wote?

Tushajua your true colours 😂

Wakati Mbowe amefungwa Kwa ugaidi ulikuwa upande wa serikali

Leo unamwita Mbowe jabari la siasa za upinzani 😂

Ndio maana nakwambia wewe na mdude hamna tofauti
 
Akili yangu ni kubwa sana dogo na wala huwezi kuifikia hata robo
Huu upuuzi unaoonyesha hapa JF umeshakuchora wewe ni low IQ. Mtu mwenye akili hawezi kuwa chawa hata siku moja. Mtu mwenye akili kubwa hajitangazi bali matendo yake ndiyo yanamtangaza . Wewe ni kilaza wa kawaida tu unayejaribu kutoka kimaisha kwa kuwa chawa.
 
Yeye ndie alitoa ndege ? Yeye ndie alilipa gharama?

Michango si ilitolewa na watanzania wote?

Tushajua your true colours 😂

Wakati Mbowe amefungwa Kwa ugaidi ulikuwa upande wa serikali

Leo unamwita Mbowe jabari la siasa za upinzani 😂

Ndio maana nakwambia wewe na mdude hamna tofauti
Hiyo ndege ilitafutwa na hao watanzania? Lissu wakati hajitambui na yuko mahututi ndiye aliyesema atafutiwe ndege ya kwenda Nairobi Kenya? Hao watanzania ndio walikuwa na lissu Nairobi kusimamia matibabu yake hatua kwa hatua?Embu acha ujinga wako hapa wewe
 
Huu upuuzi unaoonyesha hapa JF umeshakuchora wewe ni low IQ. Mtu mwenye akili hawezi kuwa chawa hata siku moja. Mtu mwenye akili kubwa hajitangazi bali matendo yake ndiyo yanamtangaza . Wewe ni kilaza wa kawaida tu unayejaribu kutoka kimaisha kwa kuwa chawa.
Dogo mimi ni akili kubwa na msema kweli na siyo chawa mimi.nimeshasema kama una njaa sema usaidiwe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tenda Wema nenda zako na wala usisubiri shukurani,ni bora Umfadhili Mbuzi kuliko Mwanadamu.Duniani hapa Watu wanaumizwa na Wameumizwa sana na watu wale wa karibu sana yaani wale ambao waliwasaidia kwa jasho na Damu lakini Mwisho wa siku wamegeuka na kubakia Maadui wakubwa sana.

Watu wengi sana wameingia matatizoni na kupata majuto mazito kutoka kwa watu waliowasaidia.watu wengi sana wameumizwa na wema wao .Wapo watu leo wanabubujikwa na machozi yasiyokata usiku na mchana kwa sababu ya majeraha na vidonda visivyopona vilivyo sababishwa na watu waliowasaidia na kujitoa na kujitolea kwao.

Mwamba wa kaskazini na Jabali la siasa za Upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe leo anapakwa matope, kuchafuliwa, kuzushiwa uongo, kusemwa vibaya kusingiziwa kila aina ya uongo, kutukanwa, kubezwa kudharauliwa na hata kutupiwa kila aina ya shutuma kutoka kwa watu aliowakuza, kuwalea na kuwasaida kwa jasho na Damu.

Leo anaumizwa,kuzushiwa uongo na kuchafuliwa na watu walio ndani ya CHADEMA au ambao wapo nje ya CHADEMA lakini walipita mikononi mwake na yeye ndiye akawasaidia mpaka kupata Uongozi kama vile Ubunge japo walikuwa Makapuku na choka Mbaya na wasiofahamika kabisa kwa watanzania lakini Leo ndio wamegeuka kuwa maadui zake wenye kuongoza mashambulizi ya kumchafua, kumpaka matope na kumzushia kila aina ya uchafu.

Ni haohao aliowabeba na kuwasaida na kuwatambulisha mbele ya macho ya watanzania licha ya Umasikini wao, kuchoka kwao kimwili na kupoteza nuru hata ya macho kutokana na njaa zao lakini Leo ndio wapo mstari wa mbele kumrushia mishale ya kila aina kutaka kumuangamiza.

Kwa hakika inaumiza sana kibinadamu,inatia sana hasira, inaleta uchungu na kusononesha sana na kwa hakika kwa mtu mwenye akili Timamu na unayejitambua kamwe na katu huwezi hata kidogo kuwaamini watu wa aina hiyo wanaomshambulia Mbowe kwa sasa wakati unajua kuwa wamefika hapo walipofika na kutambulika hapa Nchini kupitia Mabega na mikono na Msaada wa Mbowe mwenyewe.

watu hao hawapaswi kuaminika wala kuwaamini popote pale wala kuwakaribisha chumbani kwako au hata kuwaonyesha funguo za nyumba yako zinapokaa. Haupaswi hata kuwaacha watoto wako kwao maana ipo siku utakuta wamefanyiwa ukatili na unyama usiomithirika.

Kama wewe mwenye akili Timamu unatambua mchango wa Mbowe kuwasaidia watu hao lakini Leo ndio wanamchafua Mbowe.je wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa huwezi kusalitiwa na kuja kutukanwa na watu hao? Wewe ni nani mpaka ufikirie kuwa hao watu au huyo mtu hawezi kuja kukugeuka na kukusaliti?

Mbowe ndiye mtu aliyepambana kwa jasho na Damu kupambania uhai wa Lissu.ndiye aliyefanya juhudi zote kuhakikisha Lissu anapata ndege ya dharura itakayo msafirisha Lissu kutoka nje ya mipaka ya Tanzania ni Mbowe ndiye aliyeweka kambi Nairobi Kenya kusimamia matibabu ya lissu lakini leo Mbowe analipwa kwa mabaya, leo anaonekana hafai,leo anaonekana ni mtu wa hatari ,leo anaonekana hafai kwa lolote lile .Leo Mbowe anaambulia kejeli,dharau,matusi ,kuchafuliwa na kupakwa Matope ya kila aina.

Leo maadui zake wakubwa ni wale aliowasaidia na kuwapigania.

Kwa hakika ni bora Mfadhili Mbuzi tuuu kuliko Mwanadamu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani Lissu ana kosa gani..? Kama kuna shutuma ana haki ya kikatiba kukemea kwa nguvu zote. Umeandika upuuzi
 
Dogo mimi ni akili kubwa na msema kweli na siyo chawa mimi.nimeshasema kama una njaa sema usaidiwe
Umeshawahi kuona mbu anamchangia damu binadamu? Takataka kama wewe utanisaidiq nini wakati uko humu kutembeza bakuli? Nasikia ulikuwa kwenye tagrija ya Mbowe jana nyumbani kwake ulifakamia mipombe hadi ukazima kwenye migomba. Kapuku mkubwa wewe unayeendekeza njaa kama mbwa koko.
 
Narudia kusema kuwa CHADEMA inahitaji mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua kuendelea kuiongoza.hivyo ni Mbowe ndiye atakayeendelea kuiongoza CHADEMA
Wewe kapuku unazikumbuka hizi?
 

Attachments

  • Screenshot_20241218_213757.jpg
    Screenshot_20241218_213757.jpg
    195.1 KB · Views: 2
Umeshawahi kuona mbu anamchangia damu binadamu? Takataka kama wewe utanisaidiq nini wakati uko humu kutembeza bakuli? Nasikia ulikuwa kwenye tagrija ya Mbowe jana nyumbani kwake ulifakamia mipombe hadi ukazima kwenye migomba. Kapuku mkubwa wewe unayeendekeza njaa kama mbwa koko.
Wewe kama unahitaji msaada sema tu usaidiwe
 
Back
Top Bottom