John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Tuna imani na Mwenyekiti. Hatuna shaka hata!!"Nilikuwa na mambo mazito sana ya kumwambia mama (Rais Samia Suluhu Hassan) na ninashukuru aliyapokea, sasa kama aliyapokea kwa nia njema basi ni muda ndiyo utaongea, tumezungumza kwa muda wa kutosha, kwa sasa itoshee hapo.
“...Vijana wetu wana mihemuko...’mwenyekiti katuuza nini? Harakaharaka hivi imekuwaje’ Kuna watu wengi ambao wamelia na mimi...nina deni ambalo sijui nitalilipaje," Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
View attachment 2140951
Source: Chadema Media
Ulaaniwe na ufe usiku huuAmpumzike awaachie wengine waendeleze alipoishia
Familia yake wamshauri kwa nguvu au wamroge atulie nyumbani
Watz hatuko nae asijidanganye
Hii ndiyo miafrika.Ampumzike awaachie wengine waendeleze alipoishia
Familia yake wamshauri kwa nguvu au wamroge atulie nyumbani
Watz hatuko nae asijidanganye
Amen Mkuu... Na iwe hivyo!!Ulaaniwe na ufe usiku huu
Hivi kwanini masikini mnawaza uchawi tu ?Ampumzike awaachie wengine waendeleze alipoishia
Familia yake wamshauri kwa nguvu au wamroge atulie nyumbani
Watz hatuko nae asijidanganye
Hawezi kuwa pamoja na Chawa kama wewe. Ni werevu tu humwelewa FAMAmpumzike awaachie wengine waendeleze alipoishia
Familia yake wamshauri kwa nguvu au wamroge atulie nyumbani
Watz hatuko nae asijidanganye
Labda wewe na mmeo hamko naye, usitusemee sisiAmpumzike awaachie wengine waendeleze alipoishia
Familia yake wamshauri kwa nguvu au wamroge atulie nyumbani
Watz hatuko nae asijidanganye
Huwezi kutelekeza kitega uchumi Chenye uwezo wa kukupa zaidi ya Milioni 400 kwa mwezi bila kufanya kazi.Ampumzike awaachie wengine waendeleze alipoishia
Familia yake wamshauri kwa nguvu au wamroge atulie nyumbani
Watz hatuko nae asijidanganye
Duuuu nimechekaUlaaniwe na ufe usiku huu
Talk for yourself.Ampumzike awaachie wengine waendeleze alipoishia
Familia yake wamshauri kwa nguvu au wamroge atulie nyumbani
Watz hatuko nae asijidanganye
Ampumzike awaachie wengine waendeleze alipoishia
Familia yake wamshauri kwa nguvu au wamroge atulie nyumbani
Watz hatuko nae asijidanganye