Mbowe: Nimemwambia Rais Samia Mambo Mazito Sana, vijana wetu wana mihemko, nina deni sijui nitalipaje

Mbowe: Nimemwambia Rais Samia Mambo Mazito Sana, vijana wetu wana mihemko, nina deni sijui nitalipaje

kakazana "Mama... Mama... Mama.."
CHADEMA stalwarts kama Lissu wanasisitiza Rais sio mama yetu. Mweyekiti kakazana Mama... Mama
Jela kubaya sana, hata wazee wa uamsho walitoka wamesalimu amri kabisa wanaisifia serikali
 
Naamini sasa Mbowe anatakiwa kuleta umoja ndani ya Chama chake. Kwanza, alete maridhiano kwa kuwasamehe wale Wabunge 19 ili waweze kufanya siasa za kibunge huko Bungeni. Ukiwaangalia wale wamama unawaona kabisa wana damu ya CHADEMA ila hawafanyi siasa za kibunge na kiharakati kwa kuwa hawana uhakika na Chama chao. CHADEMA ikiwasamehe na kuleta maridhiano naamini watafanya siasa zenye manufaa kwa chama chao. Hivi kweli kabisa Halima Mdee, Kaboyoka, Paresso, Ester Matiko, nk hawana u CHADEMA miilini mwao? CHADEMA wakicheza wakaacha kufanya siasa za kibunge watakuwa wamefanya kosa kubwa.

Pili, Mbowe ana nafasi sasa ya kuleta siasa za kistaarabu hapa nchini kwa kujenga hoja za kisera, kuleta sera mbadala badala ya mihemko na matusi.Nilisikia akilisema hilo mbele ya Mh Rais. Naamini amegundua jinsi vijana wa chama chake walivyo na mihemko manake nimesikia akilitamka hilo kwa kinywa chake leo. Wakiendekeza na kuendeleza matusi watakuwa wanajitia kamba shingoni.
Kugombana na viongoz wa juu wa serikal kila siku mtu mmoja huyo huyo siyo vzur,hawa vijana wake wanataka kumponza na walivyowaoga hata akiwaambia wawe nae bega kwa bega hawawez kutokea ila ni wakali kwenye keyboard tu.

Serikali hawakuwa wajinga kuanzsha kesi kama ile kwa Mbowe kutokana na maneno yake ya vitisho kuwa tanzania muda sio mrefu itawaka
 
Ampumzike awaachie wengine waendeleze alipoishia

Familia yake wamshauri kwa nguvu au wamroge atulie nyumbani

Watz hatuko nae asijidanganye
Sio kwamba wewe ndio haupo nae chief?
 
Mshkaji amekonda sana mpaka huruma.

Mama samia mpe kazi huyu mzee,, hicho chama naombea wasukuma wakichukuwe, wachagga wameshindwa kukimeneji,,Warudi moshi.
 
Back
Top Bottom