Mbowe: Nimetoka Gerezani kwa moyo mweupe. Katiba ni ajenda yetu, Sisi sio magaidi

Ko bila Mbowe kusema miradi haijengwi? Upuuzi wa uvccm
 
Upumbavu at it's best, na fedha hii kutoka kwa bimkubwa ni kodi yako wewe ambaye huioni inatumika vibaya,

Mr.Mbowe ametoka kwenye upper class family, fedha sio issue kabisa, ni uzalendo wake ndio maana yupo frontline, mimi na wewe ni keyboards kings!tunalalama na hizi fake id
 
Mamaaaaa unacheka na nyani umemsikia mwenzio πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Your browser is not able to display this video.
 


Hiyo ni sababu ya kunywa Gongo mchana kabla ya kula.
 
Chadema wekeni hotuba kamili ya maandishi,kuna mambo mengi Mwamba amezumngumza hasa baada ya maswali ya waandishi.
Ahsante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…