Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Bidada kafungue kesi maana serikali imefeli.Gaidi kwa tuhuma
gaidi kwa ushahidi
mpaka atakapo jibu tuhuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bidada kafungue kesi maana serikali imefeli.Gaidi kwa tuhuma
gaidi kwa ushahidi
mpaka atakapo jibu tuhuma
Ko bila Mbowe kusema miradi haijengwi? Upuuzi wa uvccmNilidhani anaongelea maazimio ya kamati kuu.
Lakini ninachokisikia ni mambo ya kesi na maisha ya gerezani tu.
Mbowe usiwe kama Lisu anayeongelea risasi kila siku, Wewe ni mwanasiasa mkubwa zungumzia mambo makubwa.
Kwa mfano, wasisitize CCM na serikali yake wahakikishe wanakamilisha miradi mikubwa yote ya maendeleo iliyoanzishwa na Mzalendo namba 2 baada ya Nyerere Shujaa Magufuli!
Kesi link?.Gaidi ana kesi ya kujibu
Kapigwa na kitu kizito kichwani,kudadadekiLabda baba wa Rau Madukani!
Upumbavu at it's best, na fedha hii kutoka kwa bimkubwa ni kodi yako wewe ambaye huioni inatumika vibaya,Tayari ashatengeneza mazingira ya kuwahadaa watu. Jamaa kaishavimbishwa mfuko na bimkubwa ili aje atulie na kuwahadaa hadaa ndondocha wake hadi 2025. Sasa hivi tutasikia jamaa karuka mala moja Dubai kutumia alichokusanya kwa bimkubwa ili kupunguza mawazo.
Kapigwa na kitu kizito kichwani,kudadadekiView attachment 2155259
Kasema wale ni wabunge wa ccm na mahera wa necKuhusu akina mdee je?
[emoji16][emoji16]mbowe mtoto wa twn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Povuu daah Christmas gerezan si mchezo
[emoji16][emoji16]mbowe mtoto wa twn
Kasema wale ni wabunge wa ccm na mahera wa necView attachment 2155274
Tamko la nini,wakti barua iko bungeni na ilipokelewa na katibu wa bunge na kusign...huu ni uhuni wa ccm kuwabeba wakifikiria wanawakomoa cdm kumbe wanaingizia nchi hasaraWatoe tamko rasmi la kuwafukuza uanachama. Hapa analia lia na kulalamika tu
Tamko la nini,wakti barua iko bungeni na ilipokelewa na katibu wa bunge na kusign...huu ni uhuni wa ccm kuwabeba wakifikiria wanawakomoa cdm kumbe wanaingizia nchi hasara
Mbowe akaimu nafasi ya baba wa taifa
Tayari ashatengeneza mazingira ya kuwahadaa watu. Jamaa kaishavimbishwa mfuko na bimkubwa ili aje atulie na kuwahadaa hadaa ndondocha wake hadi 2025. Sasa hivi tutasikia jamaa karuka mala moja Dubai kutumia alichokusanya kwa bimkubwa ili kupunguza mawazo.