Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Hivi ndo ulikuwa huelewi darasani au Mwalimu wako ndo alikuwa haeleweki? Mtu kaeleza kuhusu Wabunge walivyopatikana Kwa forgery ya Tume, na ameuliza turidhiana nini na Mtu aliyefanya forgery kabla ya kuelezwa sababu za forgery? Halafu bado huelewi tu?Mbona kwenye wale wabunge feki anaongea na maelezo hayajakamilika aijulikan anawakubal au anawakana na msimamo wa chama ni nn kuhusu wale wabunge wa mchongo
Chadema tena sana sana mboe aache kucheza na akili za watu kijinga ivyo watanzania wa leo sio wale wa miaka ile tunataka tuone msimamo wa chama ni upi si ngojera kla sku
Ccm itabaki juu na itatawala sana kwa ujinga huu wa upinzani tusitegemee
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app