CCM hatumtaki Lissu tunamtaka Mbowe. LISSU HATUMTAKI.Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa
Safari hii hatoboi ameishiwa mbinu Mbowe .Mbowe usikubali chama chako kichukuliwe kizembe fanya kama ulivyowafanyia kina Zitto, Kafulila Chacha, Kitilia.
Wema wa lissu ilibidi naye asigombee uenyekiti?Tenda wema nenda zako.
Kwa hiyo zile risasi wala tusitafute mchawi?chama chochote duniani hakitaki mwanachama dizain ya lissu.
lisu ni sectret mafia sema anatafuta huruma kwa roporopo .
if lissu win he is going to ruin our beautiful chadema ever
Huu ni uongo hakuna mahala kasema haya.Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa
Ameshachelewa, Lissu hata kama hatopata uenyekiti lakini ameshampiga na kitu kizito Mbowe. Alizoea kuwaharabia kabla hawajafika hatua hiyo. Sasa hapo it's too lateMbowe usikubali chama chako kichukuliwe kizembe fanya kama ulivyowafanyia kina Zitto, Kafulila Chacha, Kitilia.
Kwa hivyo hizo zilikuwa fadhila za rushwa, tit for that, Lissu alihongwa ili asiwe huru kusema anachotaka?Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa