Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mawazo ya waafrika ndiyo haya. Ukinisaidia ina maana sitakiwi kusema ukweli hata baadaye ukikosea, ukageuka kuwa mla rushwa na muongo plus tapeli kwa sababu kukusema nitakuwa nimekusaliti. Tuache kuisema CCM kuwa ina machawa, maana hao machawa hawawezi kwuasema viongozi wala rushwa maana kwa namna moja au nyingine wamewasaidia.Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa
Ushindani wa kisiasa ni HAKI ya Taasisi yoyote inayoendeshwa kidemokrasia upo wapi UADUI hapoWalishasema wahenga, "Rafiki yako wa sasa ni adui yako mtarajiwa"
Kusahau ni moja ya madhaifu ya mwanadamu!
Chadema ni mali ya Mbowe?Kwa akili yako hata Lissu akishinda Mbowe atampa chama?
Mbowe yuko sahihi. 'term limit' is by nature anti-democratic. hiyo haimaanishi kwamba ni kitu kibaya; inamaanisha tu kwamba ina-limit uhuru wa watu ku-exercise their democratic right ya kupiga na kupigiwa kura. ni kawaida kwa kitu kuwa na faida na hasara:Kwa hivyo hizo zilikuwa fadhila za rushwa, tit for that, Lissu alihongwa ili asiwe huru kusema anachotaka?
Wala si uongo, alikua Leo crown fm na kikeke muda si mrefu. Kazungumza mengi sana leoHuu ni uongo hakuna mahala kasema haya.
Toa maana ya demokrasiaWanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa
Wala si uongo, alikua Leo crown fm na kikeke muda si mrefu. Kazungumza mengi sana leo
“Tunaenda kwenye uchaguzi lakini siwezi kuruhusu uibaji wa kura. Utakua Uchaguzi wa wazi sana. Kura zitakuwa za wazi na zitahesabiwa hadharani. Hofu ni ya mtu ambaye anajua anafanya dhambi. Nitaomba Camera na TV zote duniani ziwepo pale. Wajumbe watahakikiwa” Freeman MboweToa maana ya demokrasia
Hela alikuwa anatoa Reginald Mengi 😂😂Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa
“Tunaenda kwenye uchaguzi lakini siwezi kuruhusu uibaji wa kura. Utakua Uchaguzi wa wazi sana. Kura zitakuwa za wazi na zitahesabiwa hadharani. Hofu ni ya mtu ambaye anajua anafanya dhambi. Nitaomba Camera na TV zote duniani ziwepo pale. Wajumbe watahakikiwa” Freeman Mbowe
Tundu Lisu kama Hamas anatoa mateka mmoja mmoja dadeki 🐼“Tunaenda kwenye uchaguzi lakini siwezi kuruhusu uibaji wa kura. Utakua Uchaguzi wa wazi sana. Kura zitakuwa za wazi na zitahesabiwa hadharani. Hofu ni ya mtu ambaye anajua anafanya dhambi. Nitaomba Camera na TV zote duniani ziwepo pale. Wajumbe watahakikiwa” Freeman Mbowe
Kama ndiyo mtazamo na uelewa wake basi hakkupaswa kuingia kwenye uadui na mwenzake baada ya kuchukua fomu“Tunaenda kwenye uchaguzi lakini siwezi kuruhusu uibaji wa kura. Utakua Uchaguzi wa wazi sana. Kura zitakuwa za wazi na zitahesabiwa hadharani. Hofu ni ya mtu ambaye anajua anafanya dhambi. Nitaomba Camera na TV zote duniani ziwepo pale. Wajumbe watahakikiwa” Freeman Mbowe
Hapana, kuna kitu Lissu anakosea sana. Angeweza kufanya kampeni vizuri tu bila kumkashifu mwenyekiti wake au kutoa siri za vikao vya chamaDuuh ndo maana CCM hawakubali kuacha nchi
🤣🤣Tundu Lisu kama Hamas anatoa mateka mmoja mmoja dadeki 🐼
Mkuu upo na Mbowe au Lissu hadi nimecheka 😂😂😂Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa