Pre GE2025 Mbowe: Nimetoka mbali na Lissu, nilikuwa namlipia tiketi za ndege kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji madini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tundu Lisu kama Hamas anatoa mateka mmoja mmoja dadeki 🐼
Mbowe kupitia Crown FM anasema kwenye uchaguzi wa kwanza Lissu akiwa CHADEMA Mbowe alimpa gari yake binafsi ili akafanyie kampeni. Pia anasema Nyumba aliyokuwa akiishi Lissu pale Dodoma ilikuwa yake aliyopewa na Serikali Ila akamuachia Lissu aishi yeye Mbowe akaenda kupanga.
 
😂😂😂
 
chama chochote duniani hakitaki mwanachama dizain ya lissu.

lisu ni sectret mafia sema anatafuta huruma kwa roporopo .

if lissu win he is going to ruin our beautiful chadema ever
Lissu alipoachana na mkewe wa ndoa aliyepambania maisha yake kiasi kile akaenda oa mzungu.... alipomtukana Samia yale matusi licha ya kumpa Passport na mengine mengi nilianza mtilia mashaka sana!!
 
Unadhani Mbowe ameingia uadui na Lissu au Lissu ameingia uadui na Mbowe?
Kwa namna ambavyo Mbowe amezungumza kupitia Crown FM, sioni kabisa kama yeye na Lissu watakaa kwa amani na maelewano ndani ya Chama baada ya huu uchaguzi.
 
Mbowe usikubali chama chako kichukuliwe kizembe fanya kama ulivyowafanyia kina Zitto, Kafulila Chacha, Kitilia.
Zitto na Kitila walishughulikiwa na Lissu, sio Mbowe. Kuna speech juzi hapa Zitto ameitoa baada ya kuona Lissu anamtajataja kwenye kampeni zake
 
Hayo yooote alikuwa akimfanyia kwa faida ipi?
 
Walishasema wahenga, "Rafiki yako wa sasa ni adui yako mtarajiwa"

Kusahau ni moja ya madhaifu ya mwanadamu!
Wewe sema ni maadui mbele ya masikio na macho yako kumbe it's a strategic plan towards 2025 general election by earning Tanzanians' attention hahaha. Mara ngapi kipindi cha uchaguzi wa ndani wagombea wa CCM huwa wanaparuana mpaka kufikia hatua ya kusema chama kinagawanyika alafu baada ya uchaguzi wale wale lao linakuwa moja huku kwenye masikio na macho ya wananchi yamejazwa habari za CCM?
A political game😂
 
Kuwa Mwenyekiti kwa zaidi ya Miaka Ishirini na Kushindwa Kujenga Taasisi imara ambayo itajitegemea Kiuchumi na Kuanzisha Vyanzo vya Fedha kwa ajili ya taasisi ni maajabu sana, Sasa Mmekuwa mkisema tu mnatoa Hela mfukoni mifukoni wakati chama kina wanachama Kibao kwanini hamkutengeneza Model nzuri ya Kukifanya chama kijitegemee Kiuchumi kipate financial muscles badala ya Kusubiri Senti tano ya Chairman at his wish?
Sasa Now mnasema the incumbent Chairman ni Alpha and Omega meaning chama Hakina Mpango na Wala hakijaanda Any succession plan,
Tukisema hichi chama ni Saccos ya Familia Mtalalamika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…