Kwa hiyo zilikuwa rushwa?Mbowe kupitia Crown FM anasema kwenye uchaguzi wa kwanza Lissu akiwa CHADEMA Mbowe alimpa gari yake binafsi ili akafanyie kampeni. Pia anasema Nyumba aliyokuwa akiishi Lissu pale Dodoma ilikuwa yake aliyopewa na Serikali Ila akamuachia Lissu aishi yeye Mbowe akaenda kupanga.
hata lisu kafanya mengi sana kwa mbowe, sema tu wewe ni limwinyi fulani huamini kama wenzio wana mchango kwako. halafu, haya yote yanayotokea ni kwa ajili ya kulinda uenyekiti tu? hutako kung'oka? ondoka mzee kabla haujaumbuka.Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa.
---
“Nimetoka mbali na Lissu. Nilikuwa ninamlipia Lissu tiketi za ndege ninamgharamia safari zake kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji Wadogo. Wakati huo hakua hata Mwanachama wa CHADEMA na nilikuwa nina mfadhili kwa mfuko wangu”.
View attachment 3194365
Wasimamizi wa uchaguzi hawaaminikiHizi akili ni utumwa!! Hivi kweli hamuwezi kuonesha ukomavu wenu hadi mualike wageni?? Yaani ushujaa na ukomavu wako kwa mkeo uthibitishwe na majirani? Serious? Huku ndo kujitawala??
“Nimetoka mbali na Lissu. Nilikuwa ninamlipia Lissu tiketi za ndege ninamgharamia safari zake kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji Wadogo. Wakati huo hakua hata Mwanachama wa CHADEMA na nilikuwa nina mfadhili kwa mfuko wangu”.
Kwa hivyo hizo zilikuwa fadhila za rushwa, tit for that, Lissu alihongwa ili asiwe huru kusema anachotaka?
Hizi akili ni utumwa!! Hivi kweli hamuwezi kuonesha ukomavu wenu hadi mualike wageni?? Yaani ushujaa na ukomavu wako kwa mkeo uthibitishwe na majirani? Serious? Huku ndo kujitawala??
Kama sivyo manung'uniko ni ya nini?Kwani kila unachotoa ni lazima kiwe na faida kwako?
Kuongea haya nikutaka kuonekana km hustahili kuachia kiti kisa umemsaidia mtu. Hili nalo ni tatzo mkubwa. Vyema ungeacha kusema haya kwa maana jamii na watu wako wa chadema wanaona kama hutaki kupata challenge kwenye umwenyekiti wako.Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa.
---
“Nimetoka mbali na Lissu. Nilikuwa ninamlipia Lissu tiketi za ndege ninamgharamia safari zake kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji Wadogo. Wakati huo hakua hata Mwanachama wa CHADEMA na nilikuwa nina mfadhili kwa mfuko wangu”.
View attachment 3194365
Kwa hizi mbanga zinavyopigwa unaweza kuona kuna kitu masisiemu yanakijua ndio maana hayataki kuachia nchi maana wapinzani wenyewe wako na pigo za kilanguzi wakikabidhiwa nchi itakuaje apoDuuh ndo maana CCM hawakubali kuacha nchi
Weka sauti tusikie, kama ni maneno Yako ni uzushi.Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa.
---
“Nimetoka mbali na Lissu. Nilikuwa ninamlipia Lissu tiketi za ndege ninamgharamia safari zake kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji Wadogo. Wakati huo hakua hata Mwanachama wa CHADEMA na nilikuwa nina mfadhili kwa mfuko wangu”.
View attachment 3194365
utakuta we shoga hata kadi hunaWamachame mumekasirika kweli Chadema ni ya watanzania na si Wamachame peke yenu.
At least amekijenga(wamekijenga) kikawa bora zaidi ya vyama vingine vyote vya opposition otherwise kisingekuwa topic na battle ya mwenyekiti na makamu wake(iwe ni ya kweli au mbinu tu ya kuwa muda wote kwenye headlines) isingefuatiliwa kwa kiwango tunachokishuhudia.Kuwa Mwenyekiti kwa zaidi ya Miaka Ishirini na Kushindwa Kujenga Taasisi imara ambayo itajitegemea Kiuchumi na Kuanzisha Vyanzo vya Fedha kwa ajili ya taasisi ni maajabu sana, Sasa Mmekuwa mkisema tu mnatoa Hela mfukoni mifukoni wakati chama kina wanachama Kibao kwanini hamkutengeneza Model nzuri ya Kukifanya chama kijitegemee Kiuchumi kipate financial muscles badala ya Kusubiri Senti tano ya Chairman at his wish?
Sasa Now mnasema the incumbent Chairman ni Alpha and Omega meaning chama Hakina Mpango na Wala hakijaanda Any succession plan,
Tukisema hichi chama ni Saccos ya Familia Mtalalamika