Kwa hiyo zilikuwa rushwa?Mbowe kupitia Crown FM anasema kwenye uchaguzi wa kwanza Lissu akiwa CHADEMA Mbowe alimpa gari yake binafsi ili akafanyie kampeni. Pia anasema Nyumba aliyokuwa akiishi Lissu pale Dodoma ilikuwa yake aliyopewa na Serikali Ila akamuachia Lissu aishi yeye Mbowe akaenda kupanga.
Mbowe angesoma tu alama za nyakati.
Awamu zote tulimuunga mkono lakini kwa sasa hapana,atuachie chama chetu au akomae kife abaki peke yake