Mbowe: Nimewasikiliza Rais Magufuli na Spika Job Ndugai. Nimesikitika, tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote

Mbowe: Nimewasikiliza Rais Magufuli na Spika Job Ndugai. Nimesikitika, tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote

Aliyefilisika Kisiasa mngemtungia nyimbo za Taarabu Kila uchao? Hata jiwe kamwimbia Taarabu jana kule Chato. Akili za maCCM mnazijua wenyewe.
huu mchezo hauhitaji hasira, chukua tahadhari Corona ni hatari
 
Mbowe anatapa tapa
Ameshaamua kujipa karantini na mazwazwa wake,unaongea nini tena?
Eti nae atalihutubia taifa!! Labda kwa twitter
 
Yaani ww ni mbunge usije kuthubutu kuichezea nchi mmeleta dharau toka muda mrefu

Naona mnataka kuvuka msitari mwekundu

Tegemea the same reaction kuja endapo mkiichokoza dola

Kumbuka huu si wakati wa kucheka Cheka

Huu si wakati wa siasa tunataka kumsikikiza mkuu anasemaje

Ww ni mbunge tu na ubunge wako unakoma mwezi juni
Baada ya mwezi juni utakuwa kama Hashimu Rungwe
Wakikaa kimya watapotea kisiasa, kumbuka miezi kadhaa mbeleni mwaka huu tunaenda kwenye uchaguzi mkuu
 
“[Nimewasikiliza Wah Rais JPM na Spika Job Ndugai. Nimesikitika! Tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote! Ni maisha yetu. Viongozi wetu waelewe: Hatuhitaji kibali chao kufa. Kuishi ni haki yetu. Tukumbuke: Tujilinde. Tuliowategemea wako likizo na Corona sio siasa.” Amesema Freeman Mbowe.

Wakati Rais Magufuli ametoka kuwatoa hofu Mheshimiwa Mbowe siku chache baada ya Kuamurisha wabunge wa CHADEMA wasiingie Bungeni sasa amesema anataka kuongea na taifa.

Ila namshauri Mbowe na genge lake akaye kimya , kwan anaweza kudakwa mda wowote anaongea na Taifa kwa misingi gani? yeye ni Nani hapa Tanzania?? Atulie na familia yake katika hiki kipindi kigumu.

View attachment 1439248
Mbowe ana haki ya kufanya anacho kusudia kukifanya. Ni makosa kumkamata kisa kanuia kusema. Btw kwanini na wewe usikamatwe kwa kukiita kipindi hiki kigumu kinyume na rais anaesisitiza kuwa hali ni ya kawaida?
 
Ulishazungumza inatosha. waliosikia na wasikie wabishi waach, msiseme hamkuambiwa, watu weusi tuna tabia ya kudharau maisha yetu

angalia US wanaokufa 70 percent blacks

Kwa hiyi lickdown imewasaidia nini mbona sasa hivi wameachia muhimu ni kujilinda mwenyewe
 
Yeye ana haki kama mtanzania kama ulivyo wewe, au unataka kutwambia kuwa ukiwa ccm ndiyo una haki ya kuzungumza?

Wacheni siasa za maji taka ktk uhai wa watanzania. Hakuna mtu wa kumtoa sadaka kisa kutimiza ndoto zenu nyinyi maccm.
“[Nimewasikiliza Wah Rais JPM na Spika Job Ndugai. Nimesikitika! Tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote! Ni maisha yetu. Viongozi wetu waelewe: Hatuhitaji kibali chao kufa. Kuishi ni haki yetu. Tukumbuke: Tujilinde. Tuliowategemea wako likizo na Corona sio siasa.” Amesema Freeman Mbowe.

Wakati Rais Magufuli ametoka kuwatoa hofu Mheshimiwa Mbowe siku chache baada ya Kuamurisha wabunge wa CHADEMA wasiingie Bungeni sasa amesema anataka kuongea na taifa.

Ila namshauri Mbowe na genge lake akaye kimya , kwan anaweza kudakwa mda wowote anaongea na Taifa kwa misingi gani? yeye ni Nani hapa Tanzania?? Atulie na familia yake katika hiki kipindi kigumu.

View attachment 1439248

In God we Trust
 
Umechemsha wewe na mjomba wako
Kachemsha huyo naye atulie tu au ndo anatafuta gia ya kurudi bungeni baada ya kusikia posho zinafyekwa!

In God we Trust
 
Kiukweli mbowe ana busara, tuweke siasa pembeni.kuongea Na vyombo vya habari Ni haki yake
 
Back
Top Bottom