Wewe umekariri Sukumagang huku chama kimeuzwa. Hujiulizi why Mbowe anaenda peke yake Ikulu! Mbowe ndiye tatizo ndani ya CHADEMA labda na wewe chawa wake.Sukuma Gang mnaumia sana mlizoea siasa za kidhenzi za uhasama.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kwani EU hawaoni kwamba Hawa ni wabunge feki wa mchanga?covid 19 wanahitajika kwa sababu mbili..ule msaada wa european union WA EUROS ZA KUTOSHA BUNGENI unaohitaji idadi fulani ya wapinzani kwenye kamati zabunge
Mwenyekiti Mbowe, kwa yanayoendelea nchi hii na kwa reaction ya wana-CHADEMA kufuatia maamuzi ya Spika kuwalinda Mdee na Wenzake, naiona hatari ya Rais Samia kukugombanisha na viongozi wenzako wa CHADEMA pamoja na wafuasi na mashabiki wa chama hiki.
Hizi ni tweets za Martin Maranja Masese aliyejitoa kuripoti kesi yake ile ya mchongo.
Mimi namuona Mbowe kuwa atafanya uamuzi wa busara wa kumpisha mwanachama mwingine kuwa Mwenyekiti muda si mrefu! Ukiona watu wana kosa heshima kwako kama walivyoonesha wale wanawake kwenye mkutano mkuu ujue muda umefika wa kuachia ngazi ama sivyo utakuja pata aibu bure!Maswala personal kisha akaambiwa aje awakanye wafuasi wake kuinanga serikali huku mitandaoni? Mimi ni mmoja kati ya watu wasio na imani tena na Mbowe hususani kwenye hizi safari zake za ikulu. Mbowe ashauriwe kuachia uenyekiti wa CDM ASAP.
Sawa sawa.Unashangaa nini wakati tuko hivi hivi siku zote? Shida yako ni kutujumlisha kulingana na hisia zako.
Cha Mwendazake.Mnapiga kelele kwani Chadema ni chama chenu au chama cha mbowe?
haaaa ya leo makubwa kamanda leo umemgeuka wakati huwaga unasifia kila analofanya na sijakuona siku mbilitatu kimya vipi ErythrocyteNaiona hatari hii mbele ya Mbowe , anapaswa kuamua kuwavna Samia au kuwa na Chadema
mbele ya ikulu kwisha kazi mbowe analamba asali tu sasahivi na 300bTulia dogo. Mbowe ni mtu making sana😂😂😂😂😂
kwakweli mambo ya chama anaendaje mwenyekiti pekeyake hiyo ni mali ya siyo chamakeWewe umekariri Sukumagang huku chama kimeuzwa. Hujiulizi why Mbowe anaenda peke yake Ikulu! Mbowe ndiye tatizo ndani ya CHADEMA labda na wewe chawa wake.
Kwa akili yangu, mi naamini atakuwa anajua A-Z.usikute hayo yanatokea ya hao covid19 mwenyekiti anayajua vizuri??…….
Huna imani tena na Mbowe?Maswala personal kisha akaambiwa aje awakanye wafuasi wake kuinanga serikali huku mitandaoni? Mimi ni mmoja kati ya watu wasio na imani tena na Mbowe hususani kwenye hizi safari zake za ikulu. Mbowe ashauriwe kuachia uenyekiti wa CDM ASAP.
Hadi wewe una mashaka?Naiona hatari hii mbele ya Mbowe , anapaswa kuamua kuwavna Samia au kuwa na Chadema
😂Sina imani kwenye nini?
Haya ndio maisha ya kitanzania ya miaka ya sasa. Maongezi mengi nyuma ya keyboard hakuna anayeingia mtaani kupambana.Vijana wa ufipa wananifurahisha Sana. Mtu anatoa ushauri akiwa nyuma ya utambulisho(ID) feki na hapo hapo anataka Mbowe ndio awe mpambanaji akiwa na ID orijino. Kama mnaona njia aliyotumia Mbowe kutafuta suluhisho kwa mazungumzo haifai vueni ID zenu feki mpambane pamoja naye .
Hata yatakaposhindana Mbowe kwa hatua ya kutafuta majadiliano mezani ni ushujaa uliowashinda 'mafisi' wengi CHADEMA
Vijana wa ufipa wananifurahisha Sana. Mtu anatoa ushauri akiwa nyuma ya utambulisho(ID) feki na hapo hapo anataka Mbowe ndio awe mpambanaji akiwa na ID orijino. Kama mnaona njia aliyotumia Mbowe kutafuta suluhisho kwa mazungumzo haifai vueni ID zenu feki mpambane pamoja naye .
Hata yatakaposhindana Mbowe kwa hatua ya kutafuta majadiliano mezani ni ushujaa uliowashinda 'mafisi' wengi CHADEMA