Mbowe, Rais Samia atakugombanisha wewe na Wanachama, Wafuasi na viongozi wenzako wa CHADEMA

Mbowe, Rais Samia atakugombanisha wewe na Wanachama, Wafuasi na viongozi wenzako wa CHADEMA

Mlijua ameshinda kesi? Ile kesi ina mengi na haya ndo masharti ya msamaha
 
covid 19 wanahitajika kwa sababu mbili..ule msaada wa european union WA EUROS ZA KUTOSHA BUNGENI unaohitaji idadi fulani ya wapinzani kwenye kamati zabunge
Kwani EU hawaoni kwamba Hawa ni wabunge feki wa mchanga?
 
Mwenyekiti Mbowe, kwa yanayoendelea nchi hii na kwa reaction ya wana-CHADEMA kufuatia maamuzi ya Spika kuwalinda Mdee na Wenzake, naiona hatari ya Rais Samia kukugombanisha na viongozi wenzako wa CHADEMA pamoja na wafuasi na mashabiki wa chama hiki.

Hizi ni tweets za Martin Maranja Masese aliyejitoa kuripoti kesi yake ile ya mchongo.
Maswala personal kisha akaambiwa aje awakanye wafuasi wake kuinanga serikali huku mitandaoni? Mimi ni mmoja kati ya watu wasio na imani tena na Mbowe hususani kwenye hizi safari zake za ikulu. Mbowe ashauriwe kuachia uenyekiti wa CDM ASAP.
Mimi namuona Mbowe kuwa atafanya uamuzi wa busara wa kumpisha mwanachama mwingine kuwa Mwenyekiti muda si mrefu! Ukiona watu wana kosa heshima kwako kama walivyoonesha wale wanawake kwenye mkutano mkuu ujue muda umefika wa kuachia ngazi ama sivyo utakuja pata aibu bure!
 
Wewe umekariri Sukumagang huku chama kimeuzwa. Hujiulizi why Mbowe anaenda peke yake Ikulu! Mbowe ndiye tatizo ndani ya CHADEMA labda na wewe chawa wake.
kwakweli mambo ya chama anaendaje mwenyekiti pekeyake hiyo ni mali ya siyo chamake
 
Vuteni subira na mbakize maneno. Safari zote ameleta mrejesho na sasa atakwenda na wengine. Kiongozi inapobidi anafanya mazungumzo peke yake kabla au bila ya kuhusisha wengine mpaka anapo ona muda muafaka. La msingi ajue muda utafika ahusishe chama. Maamuzi ya mwisho ni ya chama. Ni ushauri tu mimi sina chama.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Mimi sina tatizo na mkutano, nina tatizo na usiri juu ya mkutano.
 
Maswala personal kisha akaambiwa aje awakanye wafuasi wake kuinanga serikali huku mitandaoni? Mimi ni mmoja kati ya watu wasio na imani tena na Mbowe hususani kwenye hizi safari zake za ikulu. Mbowe ashauriwe kuachia uenyekiti wa CDM ASAP.
Huna imani tena na Mbowe?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
  • Dislike
Reactions: Pep
Vijana wa ufipa wananifurahisha Sana. Mtu anatoa ushauri akiwa nyuma ya utambulisho(ID) feki na hapo hapo anataka Mbowe ndio awe mpambanaji akiwa na ID orijino. Kama mnaona njia aliyotumia Mbowe kutafuta suluhisho kwa mazungumzo haifai vueni ID zenu feki mpambane pamoja naye .

Hata yatakaposhindana Mbowe kwa hatua ya kutafuta majadiliano mezani ni ushujaa uliowashinda 'mafisi' wengi CHADEMA
Haya ndio maisha ya kitanzania ya miaka ya sasa. Maongezi mengi nyuma ya keyboard hakuna anayeingia mtaani kupambana.
 
Vijana wa ufipa wananifurahisha Sana. Mtu anatoa ushauri akiwa nyuma ya utambulisho(ID) feki na hapo hapo anataka Mbowe ndio awe mpambanaji akiwa na ID orijino. Kama mnaona njia aliyotumia Mbowe kutafuta suluhisho kwa mazungumzo haifai vueni ID zenu feki mpambane pamoja naye .

Hata yatakaposhindana Mbowe kwa hatua ya kutafuta majadiliano mezani ni ushujaa uliowashinda 'mafisi' wengi CHADEMA

Polisi wakae pembeni maana sisi hatuna silaha, kisha hao viongozi wa CCM na wafuasi wake wajitokeze ili tujue nani mwanaume.
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Back
Top Bottom