Mbowe: Rais Samia haaminiki, aweke hadharani mkataba wa bandari ili tuuone

Mbowe: Rais Samia haaminiki, aweke hadharani mkataba wa bandari ili tuuone

Badala ya kupambana na SHUGHULI zetu ili kujikwamua KIUCHUMI, tunakazana kuwasikiliza Akina Mbowe ambao hata njaa HAWANA....maana utawakuta Ikulu wakinywa chai na Mama...
Siasa ni maisha
 
Wewe mwashamba rucas mbowe anachesema ni kweli tupu yaani ukitumia akili Yako hata robo tu utabaini anachoimani mbowe kuhusu mikataba ya bandari
 
Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).

Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
Katika watu waliochelewa kwa hili, Bro. Mbowe umechelewa.Unaonekana Chizi fulani hivi.
 
Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).
Hivi Kessy alipotelea wapi?
Alikuwa anti Pemba and Unguja
 
Huyu Mbowe kisha shindwa 2025 sasa yuko kwrnye kampeni ya 2030
Hoja zimeisha mkauka, ngoja makonda aje amkunje
 
Back
Top Bottom