Mbowe: Rais Samia haaminiki, aweke hadharani mkataba wa bandari ili tuuone

Mbowe: Rais Samia haaminiki, aweke hadharani mkataba wa bandari ili tuuone

Wewe ni mjinga. Umedanganywa kwa maneno nawe umehadaika. Leta mkataba hapa unaosema mkataba ni wa miaka 30. IGA tumeiona, ipo kwenye maandishi. Hatuwezi kuhadaika na maneno ya mdomoni bila uthibitisho.

Leta hapa IGA inayosema kuwa HGA zitakuwa za vipindi maalum, na kwamba nchi itakywa na uwezo wa kujitoa kqenye HGA wajati wowote itakapoona kuna sababu za msingi za kufanya hivyo.

Sisi wengine siyo wajinga wa kudabganyika kiurahisi kama mnavyodanganywa ninyi. Na tuna access ya kupata uwongo na hadaa zote wanazozjtengeneza.
He who alleges must prove. Wewe Bams kwa mujibu wa hiyo sheria/ principle ndiye UNAPASWA kutuonyesha ushahidi kuwa SIYO miaka 30 na nchi haina uwezo wa kujitoa.

Kama huwezi kutuonyesha basi wewe ni MZUSHI tu. Kwa kiingereza wewe ni Romour monger
 
Ukweli ni kwamba, tukiukubali uhuni wa IGA, tumeuza vizazi vyetu vyote.

Mpaka sasa IGA ipo vile vile, hakuna kilichobadilika. DP wakati wowote huko mbeleni wana uwezo wa kutudani tutimize masharti ya IGA, tukigoma, tutashtakiwa, na lazima tutalipishwa kwa kukiuka makubaliano.

Siku hizi za mwanzoni wanaweza wasitudai chochote kuhusiana na IGA, ili tujisahau na tuamini kuwa IGA haipo, lakini huko mbeleni ni lazima watatugeuka.
Halafu ladifaken TEC anakubali kuingia mkenge na ujinga huu
 
Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).

Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1716655499209273352?t=S5z8FcYyXlFO7oWui2ENYw&s=19
 
Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).

Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
Kweli tupu
 
Katika hili, ninakuunga mkono.
Mtake Mwenyekiti ashkilie hapo hapo na asilegezi kitu.

Mwenyekiti ni mtu tunayeweza kumwamini, kwamba anayosema hapa ni kweli kuhusu kuaminika kwa Samia; kwa sababu hakuna mwenye uzoefu mkubwa zaidi ya Mwenyekiti na uhusika wake na Samia.

Kwa hiyo, anayoyasema Mwenyekiti, watu wayachukulie kwa uzito wake.
Mbowe ni mjanja sana katika siasa ! Hapo yeye anajua kuwa hayo anayoyasema kuhusu huo mkataba atapata uungwaji mkono mkubwa kutoka kwa Wananchi ambao wengi wetu hatujui kanuni za mikataba kama hiyo ya Bandari zinasemaje !

Lakini yeye hizo kanuni anazijua zinasemaje !! Kinachotafutwa hapo ni political mileage tu !!
Hii ni kama mchezo wa Tom and Jerry 😅😅😂🙏
 
Acha upuuzi wako, mbona mkipelekwa mahakamani inakuwa public? hatuoni kwenye website za nchi nyingine? huu usiri wenu wa kitapeli dili za watu mnatuambia ni DP World
Weka ushahidi wa uyasemayo, huo wa nchi zingine.

Kumbuka mahakama zipo aina mbili, kuna mahakama za wazi na kuna mahakama za chamber. Amazo hata huelewi kinajadiliwa nini humo.

Anayepewa ushauri akusikiliza bila kuufanyia kazi, huyo ni nusu mtu
Anayepewa ushauri akausikiliza na akaufanyia kazi huyo ni mtu kamili.
Anayepewa ushauri asiusilize kabisa, huyo ni mtu sifuri, hakuna mtu hapo.
 
Hili ni anguko kubwa na kwa wale wanaitwa wanaharakati, siku zote usiseme utafanya kitu kama kile kile kitu huwezi kukifanya inamaliza uaminifu(credibility) Sasa wale jamaa kuja kuwa tunaandamana tarehe 9 Nov halfu ije siku ujikute uko mtaani wewe peke yako hilo ndio anguko lako. Kuandaa maandamano sio jambo rahisi la kukurupuka tu. Issue ya bandari imeisha kwa sasa. Uchaguzi utakuja 2025 kama unadhani ni karata bado watumie lakini nadhani ni chama hakijui kinasimamia nini? wapo wapo tu
 
Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).

Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).

Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
Kwani mkataba wa Bomba la mafuta kati ya Uganda na Tanzania waliuona? waache kuwashwawashwa!!
 
Mbowe aache utapeli wake hapa wa kuwahadaa wafuasi wake ambao alishawachukulia kama manyumbu wake. Yeye ndiye haaminiki ambaye alishakifanya chama kama mradi wake binafsi, ndio maana aliuza chama 2015 akapiga pesa zake akatulia pembeni akawa anatumbua tu pesa kwa raha zake.

Mbowe huyo huyo alikuwa anakirundikia chama madeni yasiyo hata risiti wala makubaliano lakini akawa anajilipa tu kupitia watu wake aliowachomeka kijanja. Miaka yote Mbowe amekuwa akitafuna Ruzuku kama mchwa mwenye njaa mpaka akashindwa hata kujenga choo tu cha ofisi pale kwenye ofisi za kupanga. Mbowe alishindwa kupaka hata rangi tu ya ofisi zile za kupanga wanazoendelea kubanana utafikiri mbuzi wa mnadani.

Sasa Mbowe ataaminika kwa nani zaidi ya nyumbu wake wasiojitambua? Nani atamsikiliza Mbowe aliye dalali mkuu wa kutumia chama kwa manufaa yake binafsi huku wanachama wakitumika kama makarai tu?

Rais wetu anaaminika na ndio maana Anaendelea kuungwa mkono na watanzania wote ikiwepo viongozi wa Dini zote hapa nchini. Mbowe akae kwa kutulia na kuendelea kutafuna pesa za nyumbu wake.
Mshamba wa head! nani akuamini wewe chawa mchafu usiye na ustaarabu. Wewe ni shetani muongo hutaaminika kama mama ko saa100. Mwambie hatuhadaiki tena na kurembua macho kama jini mahaba!!
 
Back
Top Bottom