Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Huu haukufika bungeni ?Hakuna sheria hiyo duniani. Mikataba ya kibiashara ile, siyo "public".
Mikataba ya kuoneshwa kila mtu ni ile inayofika bungeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu haukufika bungeni ?Hakuna sheria hiyo duniani. Mikataba ya kibiashara ile, siyo "public".
Mikataba ya kuoneshwa kila mtu ni ile inayofika bungeni.
Kazi kweli kweliAkihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).
Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
wenye nchi ni wananchiBaada ya kusainiwa jana kwa HGA ya DPW na Bandari zetu ii oparesheni Bandari zetu, hii operesheni 255 okoa Bandari zetu, imepigwa dafrao, by being overtaken by events, there is nothing more they can do now, it's just too little too late!.
Duh...!, ama kweli Waswahili walisema "fadhila mfadhili mbuzi, utauonja mchuzi...!. Rais Samia leo ndio haaminiki!.
Huwezi kutangulia kusema Rais Samia haaminiki, kisha ukasema ili tumuamini mkataba uwekwe hadharani, kama hujui kilichomo utasemaje haaminiki?!.
anything is possible!
Hapa wananchi wanapaswa waelimishwe elimu ya utawala, mkataba wa IGA ndio public, mkataba wa HGA sio open to public!. Japo Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema, lakini status za wenyeviti wa vyama vingine vyote ukiondoa CCM, ni sawa na wananchi, hawawezi kuuomba huo mkataba. Watu pekee wenye uwezo wa kuuomba huo mkataba ni Bunge la JMT, hivyo Chadema lazima iwatumie wabunge wake ndipo Mbowe auone huo mkataba!.
Ombi hili liliishatolewa Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA
P
Mbona uko huku stroke? Naona Rafiki yako makonda karudi umepata nguvu tena za ku comment huku.Hawa washenzi ndio wanaibuka muda huu??
umeandika uongoNaona unataka uchukue nafasi ya yule msemaji wenu mchaga nimemsahau jina
Chawa wa Makonda Wamerejea .Mbona uko huku stroke? Naona Rafiki yako makonda karudi umepata nguvu tena za ku comment huku.
Pole kwa likizo isiyo na malipo
Makonda Group mmefufuka😆😆😆Baada ya kusainiwa jana kwa HGA ya DPW na Bandari zetu ii oparesheni Bandari zetu, hii operesheni 255 okoa Bandari zetu, imepigwa dafrao, by being overtaken by events, there is nothing more they can do now, it's just too little too late!.
Duh...!, ama kweli Waswahili walisema "fadhila mfadhili mbuzi, utauonja mchuzi...!. Rais Samia leo ndio haaminiki!.
Huwezi kutangulia kusema Rais Samia haaminiki, kisha ukasema ili tumuamini mkataba uwekwe hadharani, kama hujui kilichomo utasemaje haaminiki?!.
anything is possible!
Hapa wananchi wanapaswa waelimishwe elimu ya utawala, mkataba wa IGA ndio public, mkataba wa HGA sio open to public!. Japo Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema, lakini status za wenyeviti wa vyama vingine vyote ukiondoa CCM, ni sawa na wananchi, hawawezi kuuomba huo mkataba. Watu pekee wenye uwezo wa kuuomba huo mkataba ni Bunge la JMT, hivyo Chadema lazima iwatumie wabunge wake ndipo Mbowe auone huo mkataba!.
Ombi hili liliishatolewa Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA
P
Katika hili, ninakuunga mkono.Mwamba kaunguruma.
Wamemwagika kama mvuaChawa wa Makonda Wamerejea .
SahihiKatika hili, ninakuunga mkono.
Mtake Mwenyekiti ashkilie hapo hapo na asilegezi kitu.
Mwenyekiti ni mtu tunayeweza kumwamini, kwamba anayosema hapa ni kweli kuhusu kuaminika kwa Samia; kwa sababu hakuna mwenye uzoefu mkubwa zaidi ya Mwenyekiti na uhusika wake na Samia.
Kwa hiyo, anayoyasema Mwenyekiti, watu wayachukulie kwa uzito wake.
Ni aibu sana kwa mzee kama huyu kuwa chawa wa MakondaMakonda Group mmefufuka😆😆😆
Maridhiano ya Samia na Mbowe/ ccm na Chadema so chochote ukilinganisha na rasilimali zetu zikiwamo bandari zetu.Yeye Mbowe anaaminika?
Aweke hadharani Maridhiano tuyaone
Hawawezi , kilichozungumzwa siyo kilichoandikwaNaunga mkono. Ili tuwe na imani, mkataba uwekwe hadharani.
Tayari tushawasiliana na Mungu kwa maombi maalumNa hatari kubwa wanayotakiwa kuitambua waTanzania kuhusu ufufuko wa IGA hiyo, ni kumpa Samia serikali yake mwenyewe, kuanzia 2025...
Wote waweke wazi.....Yeye Mbowe anaaminika?
Aweke hadharani Maridhiano tuyaone
Maridhiano yalishazikwa kitamboWote waweke wazi.....
HahahaNi aibu sana kwa mzee kama huyu kuwa chawa wa Makonda
Huu ndio ukweli. Watz wengi hawajui kilichosainiwa juzi ni HGA, na kwamba IGA iko vilevile.Ukweli ni kwamba, tukiukubali uhuni wa IGA, tumeuza vizazi vyetu vyote...