Mbowe: Rais Samia haaminiki, aweke hadharani mkataba wa bandari ili tuuone

Mbowe: Rais Samia haaminiki, aweke hadharani mkataba wa bandari ili tuuone

Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).

Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
Kazi kweli kweli
 
Baada ya kusainiwa jana kwa HGA ya DPW na Bandari zetu ii oparesheni Bandari zetu, hii operesheni 255 okoa Bandari zetu, imepigwa dafrao, by being overtaken by events, there is nothing more they can do now, it's just too little too late!.

Duh...!, ama kweli Waswahili walisema "fadhila mfadhili mbuzi, utauonja mchuzi...!. Rais Samia leo ndio haaminiki!.

Huwezi kutangulia kusema Rais Samia haaminiki, kisha ukasema ili tumuamini mkataba uwekwe hadharani, kama hujui kilichomo utasemaje haaminiki?!.

anything is possible!

Hapa wananchi wanapaswa waelimishwe elimu ya utawala, mkataba wa IGA ndio public, mkataba wa HGA sio open to public!. Japo Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema, lakini status za wenyeviti wa vyama vingine vyote ukiondoa CCM, ni sawa na wananchi, hawawezi kuuomba huo mkataba. Watu pekee wenye uwezo wa kuuomba huo mkataba ni Bunge la JMT, hivyo Chadema lazima iwatumie wabunge wake ndipo Mbowe auone huo mkataba!.

Ombi hili liliishatolewa Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA

P
wenye nchi ni wananchi
 
Baada ya kusainiwa jana kwa HGA ya DPW na Bandari zetu ii oparesheni Bandari zetu, hii operesheni 255 okoa Bandari zetu, imepigwa dafrao, by being overtaken by events, there is nothing more they can do now, it's just too little too late!.

Duh...!, ama kweli Waswahili walisema "fadhila mfadhili mbuzi, utauonja mchuzi...!. Rais Samia leo ndio haaminiki!.

Huwezi kutangulia kusema Rais Samia haaminiki, kisha ukasema ili tumuamini mkataba uwekwe hadharani, kama hujui kilichomo utasemaje haaminiki?!.

anything is possible!

Hapa wananchi wanapaswa waelimishwe elimu ya utawala, mkataba wa IGA ndio public, mkataba wa HGA sio open to public!. Japo Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema, lakini status za wenyeviti wa vyama vingine vyote ukiondoa CCM, ni sawa na wananchi, hawawezi kuuomba huo mkataba. Watu pekee wenye uwezo wa kuuomba huo mkataba ni Bunge la JMT, hivyo Chadema lazima iwatumie wabunge wake ndipo Mbowe auone huo mkataba!.

Ombi hili liliishatolewa Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA

P
Makonda Group mmefufuka😆😆😆
 
Mwamba kaunguruma.
Katika hili, ninakuunga mkono.
Mtake Mwenyekiti ashkilie hapo hapo na asilegezi kitu.

Mwenyekiti ni mtu tunayeweza kumwamini, kwamba anayosema hapa ni kweli kuhusu kuaminika kwa Samia; kwa sababu hakuna mwenye uzoefu mkubwa zaidi ya Mwenyekiti na uhusika wake na Samia.

Kwa hiyo, anayoyasema Mwenyekiti, watu wayachukulie kwa uzito wake.
 
Katika hili, ninakuunga mkono.
Mtake Mwenyekiti ashkilie hapo hapo na asilegezi kitu.

Mwenyekiti ni mtu tunayeweza kumwamini, kwamba anayosema hapa ni kweli kuhusu kuaminika kwa Samia; kwa sababu hakuna mwenye uzoefu mkubwa zaidi ya Mwenyekiti na uhusika wake na Samia.

Kwa hiyo, anayoyasema Mwenyekiti, watu wayachukulie kwa uzito wake.
Sahihi
 
Na hatari kubwa wanayotakiwa kuitambua Watanzania kuhusu ufufuko wa IGA hiyo, ni kumpa Samia serikali yake mwenyewe, kuanzia 2025.

Kwa namna yoyote ile, huyu mama akifanikiwa kuendelea kuwepo kwenye nafasi hiyo baada ya 2025, tutakuwa tumepigwa vibaya sana.

Watu ni lazima walitambue hili kungali mapema.

Sasa hivi anahangaika kuzima akili za watu wasahau maovu aliyopanga dhidi ya nchi hii kwa kila namna awezayo, hata kuteua watu ambao hawana uwezo, mradi tu ionekane anaungana na kundi kubwa la watu wanaoweza kumsaidia kurudi madarakani. Hizi ni hadaa za kijinga, lakini kuna watu watakaozolewa nazo.
 
Na hatari kubwa wanayotakiwa kuitambua waTanzania kuhusu ufufuko wa IGA hiyo, ni kumpa Samia serikali yake mwenyewe, kuanzia 2025...
Tayari tushawasiliana na Mungu kwa maombi maalum
 
Back
Top Bottom