Pre GE2025 Mbowe: Sikumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na silaha mpaka za kuua, sasa nimuogope Lissu kwa lipi?

Pre GE2025 Mbowe: Sikumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na silaha mpaka za kuua, sasa nimuogope Lissu kwa lipi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman A. Mbowe amesema hamuogopi Lissu ambaye anagombea nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama hicho. Amesema hakumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na dhamira ya kuua amesema Lissu hana cha kumtisha.

Anasema Lissu ni kuongozi mwenzake na wamepitia mengi, hawawezi kugombana, lakini inapotokea fahafali wawili wanasimama kura itaamua ubishi.

Mbowe amesema hayo alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na mwandishi kama anamuogopa Lissu

Amesema pia kutokana na katiba ya CHADEMA yeye ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama hicho.
 
CCM mbele kwa mbele. Hakuna upinzani wowote tz ni vile wapo kimaslahi. Tukimuondoa lissu
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman A. Mbowe amesema hamuogopi Lissu ambaye anagombea nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama hicho. Amesema hakumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na dhamira ya kuua amesema Lissu hana cha kumtisha. Amesema pia kutokana na katiba ya CHADEMA yeye ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama hicho.
Magufuli ameingiaje hapo? Ni mjinga huyu jamaa kama kasema hivyo. Si Bora angemtaja aliyemkamata na kumfungulia kesi za kigaidi na Bado anawateka na kuwaua
 
Wakuu,

Mbowe anasema hamuogopi aliyekuwa Makamu wake, anasema kama hamuogopi magufuli aliyekuwa na majeshi, silaha za kuoa, sasa atamuogopa Lissu kwa kipi.

Anasema lissu ni kuongozi mwenzake na wamepitia mengi, hawawezi kugombana, lakini inapotokea fahafali wawili wanasimama kura itaamua ubishi.

Mbowe amesema hayo alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na mwandishi kama anamuogopa Lissu
 
Alipoulizwa kama hamwogopi Tundu Lissu anayegombea nafasi hiyo, Mbowe amesema:

"Hivi nisimwogope Magufuli (Rais John Magufuli) aliyekuwa na majeshi na kila kitu, nimwogope Lissu?

"Lissu ni kiongozi mwenzangu tunaheshimiana tunafanya kazi pamoja.

Basi ni kwa sababu mafahali wawili katika zizi moja. Hata Biblia inasema kura humaliza ubishi, acha tukapambane wanachama waamue."
 
Alipoulizwa kama hamwogopi Tundu Lissu anayegombea nafasi hiyo, Mbowe amesema:

"Hivi nisimwogope Magufuli (Rais John Magufuli) aliyekuwa na majeshi na kila kitu, nimwogope Lissu?

"Lissu ni kiongozi mwenzangu tunaheshimiana tunafanya kazi pamoja.

Basi ni kwa sababu mafahali wawili katika zizi moja. Hata Biblia inasema kura humaliza ubishi, acha tukapambane wanachama waamue."
 
Mzee huyu ni takataka kabisa Leo ndio nimejua chadema haina kiongozi toka mwaka 1993
 
Back
Top Bottom