Pre GE2025 Mbowe: Sikumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na silaha mpaka za kuua, sasa nimuogope Lissu kwa lipi?

Pre GE2025 Mbowe: Sikumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na silaha mpaka za kuua, sasa nimuogope Lissu kwa lipi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Magufuli ameingiaje hapo? Ni mjinga huyu jamaa kama kasema hivyo. Si Bora angemtaja aliyemkamata na kumfungulia kesi za kigaidi na Bado anawateka na kuwaua
Mbowe ni k sana,watu kama hawa nchi nyingine watu wanawapiga risasi hadharani
 
Kwani mbowe ana kwenda wapi na chadema? Ana ng'ang'ania madaraka miaka nenda rudi, kwani hana imani na watu wengine kuongoza chama? hana tofauti na kina Lipumba, cheyo. Hadi vyama vinakufa bado wao ni wenyeviti.

Pisha wengine wajaribu, tunahitaji mawazo na falsafa mpya ya kuongoza chama, nani ana mhitaji mbowe mtu ni mwenye kiti over 20 yrs?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman A. Mbowe amesema hamuogopi Lissu ambaye anagombea nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama hicho. Amesema hakumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na dhamira ya kuua amesema Lissu hana cha kumtisha.

Anasema Lissu ni kuongozi mwenzake na wamepitia mengi, hawawezi kugombana, lakini inapotokea fahafali wawili wanasimama kura itaamua ubishi.

Mbowe amesema hayo alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na mwandishi kama anamuogopa Lissu

Amesema pia kutokana na katiba ya CHADEMA yeye ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama hicho.
Alihamishia biashara zake Dubai kwa sababu gani?
 
😃 mbona maneno ya ajabu sana haya mpk jiwe kawekwa!, kule nafikiri kuna kitu hakipo sawa lipo jambo linatokota!

Kajibu swali kulingana na swali la kipumbavu la muuliza swali...

Muuliza swali katumia neno "ogopa" kama msingi wa swali...
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman A. Mbowe amesema hamuogopi Lissu ambaye anagombea nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama hicho. Amesema hakumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na dhamira ya kuua amesema Lissu hana cha kumtisha.

Anasema Lissu ni kuongozi mwenzake na wamepitia mengi, hawawezi kugombana, lakini inapotokea fahafali wawili wanasimama kura itaamua ubishi.

Mbowe amesema hayo alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na mwandishi kama anamuogopa Lissu

Amesema pia kutokana na katiba ya CHADEMA yeye ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama hicho.
Haha ni maneno ya mtu mwenye wa 63 kweli hapa Magufuli ameingiaje?ww siulikimbilia Durban alipofariki mzee ulifanya press conference uchwara ukishangilia kifo cha Magufuli au unajua tulishasau bwasheeee Magufuli alikuwa mwamba
 
Magufuli ameingiaje hapo? Ni mjinga huyu jamaa kama kasema hivyo. Si Bora angemtaja aliyemkamata na kumfungulia kesi za kigaidi na Bado anawateka na kuwaua
Hata mm sijapenda hv hawajui hawa kwa nn wamihusishe magufuli na uovu na hawez kujiteyea watu wanavo provoke wajue na yy ana mke watt na wajukuu hawapendi kusingiziwa why asiseme kikwete au samia waliopo hai kwa mtu mstarabu hapaswi kusema dhamira ambayo haikutendeka
 
Back
Top Bottom