Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema mahali penye uovu humtaja Magufuli kama shetani😃 mbona maneno ya ajabu sana haya mpk jiwe kawekwa!, kule nafikiri kuna kitu hakipo sawa lipo jambo linatokota!
Huyo aliyemuua Ally Kibao hiyo alirithi kwa mtangulize wake Magufuli aliyekuwa na dhamira ya kuuaMbowe atengue uongo wake.Magufuli hakuua.Mzee kibao ameuliwa na nani?
Acha ujingaHuyo aliyemuua Ally Kibao hiyo alirithi kwa mtangulize wake Magufuli aliyekuwa na dhamira ya kuua
Magufuli alikuwa mpuuziMagufuli ameingiaje hapo? Ni mjinga huyu jamaa kama kasema hivyo. Si Bora angemtaja aliyemkamata na kumfungulia kesi za kigaidi na Bado anawateka na kuwaua
Taja upuuzi aliokufanyia unajua nyie mbumbumbu vyeti feki mlimchukia sana magufuli kwakua aliwaumbuaMagufuli alikuwa mpuuzi
Hizo ndiyo atua za kuukomaa bila usaliti na uharibifu hakuna mtu wokovuCCM mbele kwa mbele. Hakuna upinzani wowote tz ni vile wapo kimaslahi. Tukimuondoa lissu
Mimi wala sijawahi kuajiriwa na serikali ila magufuli alikuwa kichaa tena alijiita yeye mwenyeweTaja upuuzi aliokufanyia unajua nyie mbumbumbu vyeti feki mlimchukia sana magufuli kwakua aliwaumbua
Mbowe ni k sana,watu kama hawa nchi nyingine watu wanawapiga risasi hadharaniMagufuli ameingiaje hapo? Ni mjinga huyu jamaa kama kasema hivyo. Si Bora angemtaja aliyemkamata na kumfungulia kesi za kigaidi na Bado anawateka na kuwaua
Wewe ni ****Huyo aliyemuua Ally Kibao hiyo alirithi kwa mtangulize wake Magufuli aliyekuwa na dhamira ya kuua
Mangi tulishawaambia siku nyingi hiki chama sio hata kidogoMzee huyu ni takataka kabisa Leo ndio nimejua chadema haina kiongozi toka mwaka 1993
LOOOOooooh!Mahali pametajwa jina la jiwe kama sio CCM basi mahali hapo sio shwari!
Alihamishia biashara zake Dubai kwa sababu gani?Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman A. Mbowe amesema hamuogopi Lissu ambaye anagombea nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama hicho. Amesema hakumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na dhamira ya kuua amesema Lissu hana cha kumtisha.
Anasema Lissu ni kuongozi mwenzake na wamepitia mengi, hawawezi kugombana, lakini inapotokea fahafali wawili wanasimama kura itaamua ubishi.
Mbowe amesema hayo alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na mwandishi kama anamuogopa Lissu
Amesema pia kutokana na katiba ya CHADEMA yeye ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama hicho.
😃 mbona maneno ya ajabu sana haya mpk jiwe kawekwa!, kule nafikiri kuna kitu hakipo sawa lipo jambo linatokota!
Haha ni maneno ya mtu mwenye wa 63 kweli hapa Magufuli ameingiaje?ww siulikimbilia Durban alipofariki mzee ulifanya press conference uchwara ukishangilia kifo cha Magufuli au unajua tulishasau bwasheeee Magufuli alikuwa mwambaMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman A. Mbowe amesema hamuogopi Lissu ambaye anagombea nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama hicho. Amesema hakumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na dhamira ya kuua amesema Lissu hana cha kumtisha.
Anasema Lissu ni kuongozi mwenzake na wamepitia mengi, hawawezi kugombana, lakini inapotokea fahafali wawili wanasimama kura itaamua ubishi.
Mbowe amesema hayo alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na mwandishi kama anamuogopa Lissu
Amesema pia kutokana na katiba ya CHADEMA yeye ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya chama hicho.
Hata mm sijapenda hv hawajui hawa kwa nn wamihusishe magufuli na uovu na hawez kujiteyea watu wanavo provoke wajue na yy ana mke watt na wajukuu hawapendi kusingiziwa why asiseme kikwete au samia waliopo hai kwa mtu mstarabu hapaswi kusema dhamira ambayo haikutendekaMagufuli ameingiaje hapo? Ni mjinga huyu jamaa kama kasema hivyo. Si Bora angemtaja aliyemkamata na kumfungulia kesi za kigaidi na Bado anawateka na kuwaua