Pre GE2025 Mbowe: Sikumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na silaha mpaka za kuua, sasa nimuogope Lissu kwa lipi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hivi chadema hawawezagi kufanya siasa zao bila kumtaja taja Marehemu Magufuli?
 
Kwaiyo Mbowe ni mjumbe wa kudumu kamati kuu maana yake akitoka yeye watoto wake pia dah apo anacheki maokoto tu milele ata kama hatokuwa mwenyekiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…