Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,159
- 1,274
Anaetakiwa kuponya majeraha ni Lissu yeye ndio kiongozi kwa sasa. Inatakiwa aseme yale niliyozungumza wakati wa kampeni yalikua sio ya kweli.Na alikuwa anahubiri kuponya majeraha ya uchaguzi iwapo angechaguliwa!
Ajabu yeye anaficha jeraha lake baada ya kushindwa!
Mbowe hakuwahi kuipenda CDM,ni vile tu ilikuwa inamnufaisha kiuchumi.
Kama hakuhusika alikemea? Na alipokuwa anaenda kufanya press hakuwa abusive kwa Lissu? Acheni uchaga wenu wapambe hawawezi kufanya kile ambacho hawajatumwa, na ni Aikael aliyewatuma maana hakuwahi kukemea.Hao ni wapambe, ila kwa mtu anayeenda kuongoza chama ilikuwa ni damage kubwa sana anafanya. Kamuumiza vibaya Aikaeli.
kaa hapa upunguze munkari, maana naona unakuja kwa speed.Tuambie hayo matusi? Au wewe mmachame bado mna uchungu wa kuporwa SACCOS yenu?
Kusema kweli imekuwa munkari? Nikiwa muongo muongo na hila kama wewe itakuwa vizuri nakuja taratibu?kaa hapa upunguze munkari, maana naona unakuja kwa speed.
Chama kina mipesa imekaa kwenye kabati au Bank lkn kwenye Uchaguzi watu wamechangishwa ili kuendesha ushaguzi kweli wewe Nyumbu OG!!!Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.
Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.
Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.
Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Kwa Sheria ipi au muongozo upi! Why finding cheap issues au sababu ya mazoea ya tengua teua mmezoea kukabidhi na kuachia. What if alimkabidhi katibu Mkuu wa chama Ili ahandoverHiyo siyo demokrasia anayo ihubiri.
Mbowe ni mtu mwenye kisilani, kwa ukomovu wake wa demokrasia mnaomsifia nao alitakiwa amkabidhi ofisi Lissu.
Mtu kugoma kukabidhi maana yake ana janga fulani amelificha !Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.
Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.
Mbowe siyo mwanademokrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.
Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Weka hapa Jukwaani hiyo mitusi ya Lissu tafadhali!!?Ila kuvumulia mitusi ya Lissu inataka moyo😀😀😀😀
Mkuu watanzania wengi wana stress msamehe bure mleta mada.Tusikimbilie kumlaumu bila kujua sababu zilizomfanya asitokee. Tuwaulize wahusika kwanza. Pengine kuna sababu iliyomzuia.
😂😂ukisema kuiondoa ccm madarakani unaharibu, watapenda mgogoro uendelee
Imagine umekulia Masaki unajua kila kitu kuhusu town hadi serikali halafu mnyampaa kutoka maporini huko anakuja kukung'oa kwenye uenyekiti tena kwa uchaguzi wa mara moja tu. INAUMA SANA.Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.
Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.
Mbowe siyo mwanademokrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.
Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Kutafuta ," Mafekeche".Hata kwenye hotuba yake tundu lissu leo kasema kitu kiutu uzima na kitaalamu kuomba msaada especially wa financial kwa wanachama na wasio wanachama.
Mwenye pesa nyingi amezila amezichomoa kwenye kikoba kaenda kufanya biashara kama alivyosema siku ya uchaguzi
Shida Bila shaka ni uchafu wa wachafu !Shida ni mdomo!! Au uchafu wa wachafu?
Yule kapigwa tu kwenye uchaguzi. Hakuwa na namna alitegemea Mizimu ya Yerico.Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.
Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.
Mbowe siyo mwanademokrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.
Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Soma, Pia: Tundu Lissu, John Heche na viongozi wengine wapokelewa Ofisi za CHADEMA Makao Makuu. Wasisitizia No Reform, No Election
Mguno wakheriii wa shariii?