Pre GE2025 Mbowe siyo mwanademokrasia, kwanini amesusa kuwakabidhi ofisi Lissu na Heche?

Pre GE2025 Mbowe siyo mwanademokrasia, kwanini amesusa kuwakabidhi ofisi Lissu na Heche?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na alikuwa anahubiri kuponya majeraha ya uchaguzi iwapo angechaguliwa!

Ajabu yeye anaficha jeraha lake baada ya kushindwa!

Mbowe hakuwahi kuipenda CDM,ni vile tu ilikuwa inamnufaisha kiuchumi.
Anaetakiwa kuponya majeraha ni Lissu yeye ndio kiongozi kwa sasa. Inatakiwa aseme yale niliyozungumza wakati wa kampeni yalikua sio ya kweli.
 
Hao ni wapambe, ila kwa mtu anayeenda kuongoza chama ilikuwa ni damage kubwa sana anafanya. Kamuumiza vibaya Aikaeli.
Kama hakuhusika alikemea? Na alipokuwa anaenda kufanya press hakuwa abusive kwa Lissu? Acheni uchaga wenu wapambe hawawezi kufanya kile ambacho hawajatumwa, na ni Aikael aliyewatuma maana hakuwahi kukemea.

Halafu nionyeshe tusi hata moja ambalo Lissu alimtukana Mbowe
 
Si mlisema Mbowe kachoka awapishe mtatafuta pesa wenyew... Sasa mbona mnajipanua tena kulia lia
 
Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.

Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.

Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.

Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.

Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Chama kina mipesa imekaa kwenye kabati au Bank lkn kwenye Uchaguzi watu wamechangishwa ili kuendesha ushaguzi kweli wewe Nyumbu OG!!!
 
Hiyo siyo demokrasia anayo ihubiri.
Mbowe ni mtu mwenye kisilani, kwa ukomovu wake wa demokrasia mnaomsifia nao alitakiwa amkabidhi ofisi Lissu.
Kwa Sheria ipi au muongozo upi! Why finding cheap issues au sababu ya mazoea ya tengua teua mmezoea kukabidhi na kuachia. What if alimkabidhi katibu Mkuu wa chama Ili ahandover
 
Hata kwenye hotuba yake tundu lissu leo kasema kitu kiutu uzima na kitaalamu kuomba msaada especially wa financial kwa wanachama na wasio wanachama.
Mwenye pesa nyingi amezila amezichomoa kwenye kikoba kaenda kufanya biashara kama alivyosema siku ya uchaguzi
 
Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.

Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.

Mbowe siyo mwanademokrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.

Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.

Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Mtu kugoma kukabidhi maana yake ana janga fulani amelificha !
 
Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.

Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.

Mbowe siyo mwanademokrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.

Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.

Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Imagine umekulia Masaki unajua kila kitu kuhusu town hadi serikali halafu mnyampaa kutoka maporini huko anakuja kukung'oa kwenye uenyekiti tena kwa uchaguzi wa mara moja tu. INAUMA SANA.
 
Chama kilikuwa na mali gani za kukomba?
 
Hata kwenye hotuba yake tundu lissu leo kasema kitu kiutu uzima na kitaalamu kuomba msaada especially wa financial kwa wanachama na wasio wanachama.
Mwenye pesa nyingi amezila amezichomoa kwenye kikoba kaenda kufanya biashara kama alivyosema siku ya uchaguzi
Kutafuta ," Mafekeche".
 
Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.

Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.

Mbowe siyo mwanademokrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.

Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.

Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.

Soma, Pia: Tundu Lissu, John Heche na viongozi wengine wapokelewa Ofisi za CHADEMA Makao Makuu. Wasisitizia No Reform, No Election
Yule kapigwa tu kwenye uchaguzi. Hakuwa na namna alitegemea Mizimu ya Yerico.

Hakuna Mwanademokrasi hapo
 
Back
Top Bottom