Mbowe: Tozo ya benki, wafanyakazi wanakatwa kodi mara mbili, wanaotoza kodi wanaenda kununulia V8 ya milioni 450 au milioni 500

Mbowe: Tozo ya benki, wafanyakazi wanakatwa kodi mara mbili, wanaotoza kodi wanaenda kununulia V8 ya milioni 450 au milioni 500

Mbowe ni cheap leader, aliuza utu wake na chama chake ili awe huru, ni kiongozi mwoga sana hawezi kuongoza nchi kama kamanda mkuu, alienda Ikulu mara kadhaa bila ya ushauri wa chama chake lakini na alipotoka jela tu., namfananizia mbowe na kama Mrema au mzee Mtikila kwenye siasa hizi za Tanzania.
Mtikila mtoe kwenye list. Mtikila hakuwa muoga hata kidogo. Alisimamia kile alichokiamini bila kupindishwa mpaka anakufa. Ni yeye alieendeleza hoja ya serikali tatu, yani Tanganyika, Zanzibar na Jamhuri ya Muungano.
Sema kwa bahati mbaya hakuwa na backup kubwa nyuma yake. I mean hakuwa popular kama wenzake. Lakini kingine, siasa za Tanzania ili ujulikane unatakiwa uwe muongo na mnafiki kwa sana.
 
Hii kauli ya Mbowe kwamba "nakwazika sana kuona wanakuwa waoga" inaonesha bado ana dhamira ya dhati kuleta mabadiliko nchi hii.

Kinachomkwamisha ni kukosekana kwa ushirikiano anaohitaji toka kwetu, tupo kama misukule kumbe naye anajua hilo japo ameshindwa kulitumia hilo neno kwa heshima yake aliyonayo kwetu.

Naamini wale wajuaji wanaosema kila siku Mbowe amelamba asali ndio maana yupo kimya, sasa ni wakati wao kum-prove wrong Mbowe, simameni mhesabiwe kulinda haki zenu ili Mbowe awe pamoja nanyi.
Akili ya nyumbu.
 
Ni kweli kuwa wananchi ni waoga ila siamini kama Chadema inaweza fanya jambo lolote la maana katika Taifa letu kwa sasa.

Chadema imeshindwa kufanya lolote ilipokuwa ya moto kwa sasa viongozi wake wakuu wamejichokea na kukata tamaa.

Kwani wanachama wa Chadema ni Wakenya?
Au ndo hao Mbowe anaowazungumzia?
 
Back
Top Bottom