Mbowe tulikuonya kuhusu kushangilia kifo cha Magufuli ukapuuza

Mbowe na chadema ni wapumbavu tena vipofu niliwaambia kuwa ni rahisi kupata katiba mpya na bora na ya haki chini ya magufuli na kamwe siyo hawa wahuni tulio nao sasa wakabisha na kunitukana tena hadi sasa wanajidanganya kuwa JPM aliwaibia kura kwenye uchaguzi 2020 .....chadema ni mazuzu haswa
 

Chadema ni wajinga sana
 
Tuliwaambia hawakusikia
 
Ndio kwanza Chadema inakomaa na kuenea zaidi.
 
Freeman Aikael Mbowe anakutesa sana

Hii ni dhahiri Mbowe ni kamanda

Mbowe is a Brand
 
Mawazo aliyekuwa mwenyekiti CDM chato aliuliza na mafisiemu VP huyu Hana laana???
 
Mbona humzungumzii babu yako na Bibi Yako wanaoza na kunuka huko makaburini unamzungumzia mume wa Janet alikuwa anakukula!?
 
Huu ni uongo uliokomaa, Mbowe hakuwahi kufanya kitu cha namna hii, na wala, hawezi kufanya kitu cha namna hii. Hekima aliyonayo Mbowe haimruhusu kufanya kitu cha namna hii
Kama chama kinaelekea kusambaratika, tafadhali mnaombwa mumulaumu kwa kutumia sababu zingine na si sababu kama hii uliyoisema hapa wewe. Acheni kuchafua viongozi tafadhali
 
Yanahusiana vipi Msigwa kuhama chama na Mbowe kushangilia kifo cha Magufuli! Mtu ukiumiza watu siku ukifa watu uliowaumiza lazima watashangilia tu,tuishi vyema hapa duniani tunapita tu.
Hata Mbowe akifa tutashangilia amedhulumu sana wenzake
 
Ujerumani pamevamia hadi matahira yanaenda.
Au ni kibaraka wa Madawa ya kulevya
Matajiri wamekutuma huko
 
Chama cha Familia ya mbowe
 
Ila Mbowe alishangilia kifo chake
Mbowe ni adui wa maendeleo ya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…