Mbowe usifanye kosa la kuachia Uenyekiti CHADEMA kabla ya 2030 vinginevyo tutarudi miaka ile myeusi (1995)

Mbowe usifanye kosa la kuachia Uenyekiti CHADEMA kabla ya 2030 vinginevyo tutarudi miaka ile myeusi (1995)

Mbowe ndio Mwenyekiti wetu na Rais wetu ajaye... Hanunuliki hata kwa Dola milioni mia... Mungu ampe maisha marefu sana kamanda wetu. Naamini imefika muda wake kuwa kiongozi mkubwa wa nchi yetu
 
Hii issue ya kutaka Mbowe aondoke Chadema inawafanya wengine waanze kuona kuna jambo nyuma ya pazia.

Kwanini kuondoka kwa Zitto ACT imekuwa kama sababu kuu ya kumtaka Mbowe nae aondoke Chadema?

Kuna mahusiano gani kati ya ACT na Chadema mpaka kumtaka Mbowe afanye kile alichofanya Zitto kule ACT?

Na hii hoja ya mleta mada inapata nguvu napoona wale puppet wa watawala ndio wanakuwa mstari wa mbele kumtaka Mbowe aondoke Chadema.

Hata kama Mbowe alishasema ataondoka Chadema, lakini ingependeza hao puppet wajue maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mwenyekiti wa Chadema yatabaki kwa wajumbe wa MM wa chama chao, sio kwa mapenzi ya vibaraka wasiompenda Mbowe.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mbowe anainyima usingizi CCM
 
Sisi tanaangalia mzigo ufike panapohusika na sio hali ya punda! Tunakuomba sana mheshimiwa Freeman Mbowe kama unawapenda watanzania na CHADEMA usifanye kosa la kuachia uongozi wa chama kabla ya angalau 2030.

CHADEMA sio chama cha kuchukuliwa kiepesi epesi, CHADEMA ndio upinzani nchi hii na upinzani wa nchi hii ni CHADEMA. Siku CHADEMA ikifa ndio upinzani umekufa hivyo! Ikumbukwe kuwa kujenga chama imara kama CHADEMA huchukua si chini ya miaka 30.

Tafadhali sana mheshimiwa Mbowe, hatma ya upinzani na demokrasia ya nchi hii vipo mikononi mwako kuliko watu wengi wanavyojua. Hakuna kiongozi mwingine wa upinzani amebaki hai leo hii wote akina Lipumba, Mrema, Zitto, Cheyo, Shibuda, Mbatia na wengine, hao wote ni kundi moja, hawapo tena na hawana ushawishi kwa watanzania, umebaki wewe peke yako na unaangaliwa na watanzania kwa matumaini makubwa.

Siku utakapofanya kosa la kuachia uongozi wa CHADEMA kabla ya 2030, basi siasa za vyama vingi zitarudi zilipoanzia, 1995.

Usiangalie mashinikizo ya watu, kwanza wengi wa hao ni CCM wala si CHADEMA. Kumbuka wewe umetumwa kwa ajili ya Watanzania na wala hujajituma mwenyewe! Tafadhali subiri hadi 2030 na sio vinginevyo!
Naunga mkono hoja.
 
Hii issue ya kutaka Mbowe aondoke Chadema inawafanya wengine waanze kuona kuna jambo nyuma ya pazia.

Kwanini kuondoka kwa Zitto ACT imekuwa kama sababu kuu ya kumtaka Mbowe nae aondoke Chadema?

Kuna mahusiano gani kati ya ACT na Chadema mpaka kumtaka Mbowe afanye kile alichofanya Zitto kule ACT?

Na hii hoja ya mleta mada inapata nguvu napoona wale puppet wa watawala ndio wanakuwa mstari wa mbele kumtaka Mbowe aondoke Chadema.

Hata kama Mbowe alishasema ataondoka Chadema, lakini ingependeza hao puppet wajue maamuzi ya mwisho juu ya nani awe mwenyekiti wa Chadema yatabaki kwa wajumbe wa MM wa chama chao, sio kwa mapenzi ya vibaraka wasiompenda Mbowe.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sisi wanachama tunasema Mbowe tosha.
 
Sisi tanaangalia mzigo ufike panapohusika na sio hali ya punda! Tunakuomba sana mheshimiwa Freeman Mbowe kama unawapenda watanzania na CHADEMA usifanye kosa la kuachia uongozi wa chama kabla ya angalau 2030.

CHADEMA sio chama cha kuchukuliwa kiepesi epesi, CHADEMA ndio upinzani nchi hii na upinzani wa nchi hii ni CHADEMA. Siku CHADEMA ikifa ndio upinzani umekufa hivyo! Ikumbukwe kuwa kujenga chama imara kama CHADEMA huchukua si chini ya miaka 30.

Tafadhali sana mheshimiwa Mbowe, hatma ya upinzani na demokrasia ya nchi hii vipo mikononi mwako kuliko watu wengi wanavyojua. Hakuna kiongozi mwingine wa upinzani amebaki hai leo hii wote akina Lipumba, Mrema, Zitto, Cheyo, Shibuda, Mbatia na wengine, hao wote ni kundi moja, hawapo tena na hawana ushawishi kwa watanzania, umebaki wewe peke yako na unaangaliwa na watanzania kwa matumaini makubwa.

Siku utakapofanya kosa la kuachia uongozi wa CHADEMA kabla ya 2030, basi siasa za vyama vingi zitarudi zilipoanzia, 1995.

Usiangalie mashinikizo ya watu, kwanza wengi wa hao ni CCM wala si CHADEMA. Kumbuka wewe umetumwa kwa ajili ya Watanzania na wala hujajituma mwenyewe! Tafadhali subiri hadi 2030 na sio vinginevyo!
SHIME MBOWE ONGOZA CHADEMA MILELE WANAOKUKATAA WAJINYONGE UWANJA WA MKAPA
 
Miaka 20 kama mwenyekiti wa chama inatosha kabisa ni wakati wa mtu mwingine kuwa mwenyekiti , yeye kila siku kuwa mwenyekiti tu ndo udikteta wenyewe huo ndani ya chama
 
Mzee Mbowe anaamini kabisa kuwa kutumia siasa za ukabila na ukanda atafanikiwa .Hakika hawa wafuasi wa CDM ni machizi kweli kweli[emoji2297][emoji2297]
CHIZI NI YULE KUTAWALA MIAKA 62 MPAKA LEO NCHI INAHANGAIKA NA MATUNDU YA VYOO NA MADAWATI
 
Sisi tanaangalia mzigo ufike panapohusika na sio hali ya punda! Tunakuomba sana mheshimiwa Freeman Mbowe kama unawapenda watanzania na CHADEMA usifanye kosa la kuachia uongozi wa chama kabla ya angalau 2030.

CHADEMA sio chama cha kuchukuliwa kiepesi epesi, CHADEMA ndio upinzani nchi hii na upinzani wa nchi hii ni CHADEMA. Siku CHADEMA ikifa ndio upinzani umekufa hivyo! Ikumbukwe kuwa kujenga chama imara kama CHADEMA huchukua si chini ya miaka 30.

Tafadhali sana mheshimiwa Mbowe, hatma ya upinzani na demokrasia ya nchi hii vipo mikononi mwako kuliko watu wengi wanavyojua. Hakuna kiongozi mwingine wa upinzani amebaki hai leo hii wote akina Lipumba, Mrema, Zitto, Cheyo, Shibuda, Mbatia na wengine, hao wote ni kundi moja, hawapo tena na hawana ushawishi kwa watanzania, umebaki wewe peke yako na unaangaliwa na watanzania kwa matumaini makubwa.

Siku utakapofanya kosa la kuachia uongozi wa CHADEMA kabla ya 2030, basi siasa za vyama vingi zitarudi zilipoanzia, 1995.

Usiangalie mashinikizo ya watu, kwanza wengi wa hao ni CCM wala si CHADEMA. Kumbuka wewe umetumwa kwa ajili ya Watanzania na wala hujajituma mwenyewe! Tafadhali subiri hadi 2030 na sio vinginevyo!
Ya Mbowe abaki, uzuri ni kwamba mitego ya ccm inajulikana, na chadema imevuka viwango vya mitego ya ccm
 
Eti apambane na CCM? Mmesahau kuwa mgombea toka ccm ndio aliwapa uhai cdm?mmesahau kuwa mzee alipata kura laki nane tu alipogombea Uraisi na hizo kura laki nane zaidi ya aslimia 90 alizipata toka Arusha na Kilimanjaro ?
Tuanzie nani alihesabu hizo kura?

Amandla...
 
Mr.Msigwa
Mr Sugu
Mr. Heche
Mr.Mnyika
Mr.Daniel ( Karibu wa CDMA Bukoba)
Gombea nafasi ya Uenyekiti wa Chadema Taifa.
 
Kwa hiyo mkoo tayari upinzani nao kuendelea kuendeshwa kisultani ehhe ,umesahau kuwa prom anayopewaa Lema na sababu ni binamu yake Mzee Mbowe?yule mrema wa mambo ya nje kao binamu yake mzee mbowe?
1. Mtoto wa Rais wa kwanza ni Mkuu wa Mkoa. Mwingine aliwahi kuwa mbunge.
2. Mtoto wa Rais wa pili (aliyewahi kuwa Rais Zanzibar) alikuwa waziri na sasa ni Rais wa Zanzibar.
3. Mtoto wa Rais wa tatu ni Naibu Katibu Mkuu.
4. Mke wa Rais wa nne ni mbunge.
5. Mtoto wa Rais wa nne ni mbunge na waziri.
6. Mkwe wa Rais wa sita ni waziri.
7. Mtoto wa Rais wa sita ni mbunge.
Nasikia kuna waziri au Katibu Mkuu alikuwa ana ujamaa na Rais wa tano. Na hivi karibuni katika uchaguzi wa viongozi wa chipukizi tulisikia majina yale yale.

Endelea tuu kusubiri embe chini ya mnazi.

Amandla...
 
Kumbe hua mnahubiri demokrasia mkimaanisha nini?Badala ya kujengwa strong institute mnajenga strongman.

Bure kabisaaaaaaaaaa
 
Dunia inatambua Tanzania kuna vyama viwili Vya Siasa CCM na Chadema 🐼
Bora kama nawe Jo unatambua hilo,ila ambacho bado kujua ni kama ccm ipo kwenye coma,na kuzinduka mwiko,hiyo ndio Nitole tena🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🤸🤸🤸
 
Sisi tanaangalia mzigo ufike panapohusika na sio hali ya punda! Tunakuomba sana mheshimiwa Freeman Mbowe kama unawapenda watanzania na CHADEMA usifanye kosa la kuachia uongozi wa chama kabla ya angalau 2030.

CHADEMA sio chama cha kuchukuliwa kiepesi epesi, CHADEMA ndio upinzani nchi hii na upinzani wa nchi hii ni CHADEMA. Siku CHADEMA ikifa ndio upinzani umekufa hivyo! Ikumbukwe kuwa kujenga chama imara kama CHADEMA huchukua si chini ya miaka 30.

Tafadhali sana mheshimiwa Mbowe, hatma ya upinzani na demokrasia ya nchi hii vipo mikononi mwako kuliko watu wengi wanavyojua. Hakuna kiongozi mwingine wa upinzani amebaki hai leo hii wote akina Lipumba, Mrema, Zitto, Cheyo, Shibuda, Mbatia na wengine, hao wote ni kundi moja, hawapo tena na hawana ushawishi kwa watanzania, umebaki wewe peke yako na unaangaliwa na watanzania kwa matumaini makubwa.

Siku utakapofanya kosa la kuachia uongozi wa CHADEMA kabla ya 2030, basi siasa za vyama vingi zitarudi zilipoanzia, 1995.

Usiangalie mashinikizo ya watu, kwanza wengi wa hao ni CCM wala si CHADEMA. Kumbuka wewe umetumwa kwa ajili ya Watanzania na wala hujajituma mwenyewe! Tafadhali subiri hadi 2030 na sio vinginevyo!
Samia akisema aendelee kutawala hata baada ya miaka yake ya kikatiba kuisha, mtakubali pia?
 
Mnataka Dola huku mkiendelea kutawalana huko kwenye sakosi kama masulutan

Vijana wa Chadema ni mbumbumbu sana mpale Leo hawana mbadla wa gaidi
 
Ndio maana tunasema Chadema ni chama cha mtu binafsi
 
Back
Top Bottom