ilisaidia nini? zilirudishwa?Watamwachia Saccos yake usijari,ni mtu mpbavu tu ambaye hawezi kuona uzalendo, ujasiri,na ukweli wa Tundu Lissu,
Huyu ndo mwanasiasa pekee Tanzania aliye jitokeza hadharani sakata la Escrow Kwa kutaja majina na account zilizo tumika kula mgao bila ya woga wowote sio mtu wa kawaida
Wewe ni chadema ?Kabisa ni rasmi naona chama kinataka kutekwa na wanaharakati uchwara.
Hakuna kuachia Chama kama wanataka wakaunde Chao , period
bora mropokaji kuliko msaliti anayewauza wenzake kwa wadhalimu ili watekwe na kuuawa.mropokaji,
End of thread!!! Haya nawe ukatunge hadithi kama za yule Nyerere wa mchongo wa Mbutu kigamboni, maana nae amelima matuta mawili ya matembele akaanza kujipa umuhimu na vitabu vyake vya hadithi za aldu lela ulela.Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Uko na akili mekuHaha atakufa akitamka neno "peoples power" huku power iko mikononi mwake, not on people's hands
Mnaimba Demokrasia ila uhalisia mchungu hakuna demokrasia ndani ya CHADEMA.
Unaongoza chama 20 years na bado unaona Tanzania nzima more than 60 million people hakuna mrithi
Inakuwaje kiongozi kama hujaandaa wa kukurithi
Kama mdau wa Demokrasia naumia mno. .
Nyie ndio mmetumwa kuivuruga Chadema.Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Lissu akipewa uwenyekiti - Msigwa mjumbe Kamati kuu.Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Duh!...na wewe unamuunga mkono Mbowe ?Kabisa ni rasmi naona chama kinataka kutekwa na wanaharakati uchwara.
Hakuna kuachia Chama kama wanataka wakaunde Chao , period
Kikundi cha Wachaga mliojitolea vs Mnyaturu mmoja 🔥🔥🔥Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Mtumbwi wa mwamba unazidi kuzama majini hahahhhaaahNaona John Heche amechafua kabisa hali ya hewa baada ya kutangaza kugombea, na pia kumuunga mkono Lissu.
Ndio mkuu,Mimi siwezi unga mkono wanaharakati au watu wenye misimamo ya kiimla kama kina Lisu, Magufuli,Heche etc.Duh!...na wewe unamuunga mkono Mbowe ?
Hata kama sio Chadema,kwani wakati Magufuli anawashughulikia ilikuwa ni chadema peke Yao?Wewe ni chadema ?
Kwami nani alikuwa anawazuia kiwasha.moto, ukinga ti. Wacha waanea confrontational politics mnyeshewe risasiNa maneno aliyosema leo, Lazima huko ccm wanawafikiria wakurya wa Tarine, maana kasema lazima wauze dhahabu watu watajilike. Sasa wawekezaji na ccm kazi wanayo sana kwa sasa kuukabili huu moto wake na Lissu.
... lilikuwa halitarajiwi? ... HALIKUWA KWENYE HESABU?Naona John Heche amechafua kabisa hali ya hewa baada ya kutangaza kugombea, na pia kumuunga mkono Lissu.
Hata watu dizaini yako wewe pia kwa wengine wanakuona na wewe ni hasaraHata kama sio Chadema,kwani wakati Magufuli anawashughulikia ilikuwa ni chadema peke Yao?
Watu dizaini ya hao Huwa ni hasara
😂Namuunga mkono mbowe, akiachia chama ndo mwisho wa chadema.
Lisu hawezi kuelewana na wenzie ktk siasa, kama anaweza kutukana viongozi wakuu wa nchi akiwa hana mamlaka ya juu ktk upinzani akiwa mwenyekiti atazua tafrani na mamlaka hazitamvumilia.
Namsihi mama atumie instruments zake zite ku mu eliminate lisu toka kwenye siasa abaki mropokaji mtaani