Mbowe usimwachie Lissu chama kwa utovu huu wa nidhamu, afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono yako na wananchi wenye nidhamu

Mbowe usimwachie Lissu chama kwa utovu huu wa nidhamu, afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono yako na wananchi wenye nidhamu

Watamwachia Saccos yake usijari,ni mtu mpbavu tu ambaye hawezi kuona uzalendo, ujasiri,na ukweli wa Tundu Lissu,

Huyu ndo mwanasiasa pekee Tanzania aliye jitokeza hadharani sakata la Escrow Kwa kutaja majina na account zilizo tumika kula mgao bila ya woga wowote sio mtu wa kawaida
ilisaidia nini? zilirudishwa?
 
Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!

Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
End of thread!!! Haya nawe ukatunge hadithi kama za yule Nyerere wa mchongo wa Mbutu kigamboni, maana nae amelima matuta mawili ya matembele akaanza kujipa umuhimu na vitabu vyake vya hadithi za aldu lela ulela.
 

Attachments

  • IMG-20241017-WA0007.jpg
    IMG-20241017-WA0007.jpg
    69.6 KB · Views: 1
Haha atakufa akitamka neno "peoples power" huku power iko mikononi mwake, not on people's hands

Mnaimba Demokrasia ila uhalisia mchungu hakuna demokrasia ndani ya CHADEMA.

Unaongoza chama 20 years na bado unaona Tanzania nzima more than 60 million people hakuna mrithi

Inakuwaje kiongozi kama hujaandaa wa kukurithi

Kama mdau wa Demokrasia naumia mno. .
Uko na akili meku
 
Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!

Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Nyie ndio mmetumwa kuivuruga Chadema.

Fundi Mchundo
Lusungo
 
Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!

Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Lissu akipewa uwenyekiti - Msigwa mjumbe Kamati kuu.

CDM na CCM vitakuwa vyama rafiki.
 
Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!

Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Kikundi cha Wachaga mliojitolea vs Mnyaturu mmoja 🔥🔥🔥
 
Matokeo ya Uchaguzi wa Mwaka huu yatawafurahisa sana, Mumdhaniaye ndiye, Siye
 
Na maneno aliyosema leo, Lazima huko ccm wanawafikiria wakurya wa Tarine, maana kasema lazima wauze dhahabu watu watajilike. Sasa wawekezaji na ccm kazi wanayo sana kwa sasa kuukabili huu moto wake na Lissu.
Kwami nani alikuwa anawazuia kiwasha.moto, ukinga ti. Wacha waanea confrontational politics mnyeshewe risasi
 
Namuunga mkono mbowe, akiachia chama ndo mwisho wa chadema.

Lisu hawezi kuelewana na wenzie ktk siasa, kama anaweza kutukana viongozi wakuu wa nchi akiwa hana mamlaka ya juu ktk upinzani akiwa mwenyekiti atazua tafrani na mamlaka hazitamvumilia.
Namsihi mama atumie instruments zake zite ku mu eliminate lisu toka kwenye siasa abaki mropokaji mtaani
😂
 
Back
Top Bottom