Wewe wana ukabila acha
Chadema Zanzibar waliweka mbunge viti maalumu mchaga hebu fikiria Zanzibar ambako Chadema hata mjumbe wa nyumba Kumi hawana mbunge viti maalumu wakaweka mchaga
nyie kwavile mliekewa runway muanikie mpunga hamuwezi kuliona hiloHii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Vipi wala sio hoja huyo! Hata Obama wajaruo walidanganyana ni mkenya mwisho wa siku hakuna alichovuna! Best kila kabila linawatu kibao wako nje ya nchi kadanganye mataahira huko!
Magufuli,qliookuwa anachagua was kuwapekea maendeleo na kuwa bomolea nyumba mliona ni Mungu yupo kazini!Binafsi nachukizwa sana na siasa zenye kupandikiza chuki
Vipi wala sio hoja huyo! Hata Obama wajaruo walidanganyana ni mkenya mwisho wa siku hakuna alichovuna! Best kila kabila linawatu kibao wako nje ya nchi kadanganye mataahira huko!
Basi itakuwa ni coincidence, popote pale alipo mchagga ataunganishwa na kupewa nafasi ndani ya CHADEMA...Zanzibar wakati wa Karume waliwahi kuwa na mkuu wa polisi [ edington kissasi] ana asili ya Uchagani. Je, hiyo nayo utasema ni ukabila?
..Kukusaidia tu, Wachaga ni kati ya makabila ya kwanza kutoka ktk maeneo yao ya asili na kusambaa Tanzania nzima kutafuta fursa.
..Sijui kama unamkumbuka Waziri mmoja mwanamama akiitwa Shamsa Selengia Mwangunga. Yule mama asili yake ni Uchagani, wazazi wake walilowea Dodoma na siasa alikuwa akifanyia huko.
..Mtanzania kama huyo unaweza vipi kumbagua asishiriki siasa ktk eneo alilokulia? Na ukimbagua kwenye siasa utaishia hapo au utambagua ktk fursa nyingine?
..Mwisho, Wachaga hawachagui mahali pa kuishi. Wachaga hawajitengi. Pia ni wameoleana na jamii nyingi hapa nchini. Huo ndio UTANZANIA.
Wahaya kibao wako NASA Marekani kibao itakuwa na huyo Askari mdogo jeshi la marekani
Nini Hujuwi na nn unajuwa?Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Tatizo Mbowe na Chadema sera hawana Mbowe hajui siasa nini anadhani ni personal attacks!!Kuna watu wanadhani wakiendelea kumtuhumu JPM itawafanya wakubalike tena kumbe sivyo. Inaonekana JPM hawezi kusahaulika kiraisi na ataendelea kuwatesa watu wengi sana.
Wajaluo waliotoa Raisi Obama mbona hawatambi wewe hicho kiaskari kidogo kelele kibao
Hapo umeoneshwa tu jinsi wachaga walivyosambaa ulimwenguni, hajasema yupi ana nafasi nzuri zaidi ya mwingine, mmetawaliwa na wivu na chuki ya kishamba sana.Wahaya kibao wako NASA Marekani kibao itakuwa na huyo Askari mdogo jeshi la marekani
Magufuli alikuwa mbaguzi kweli. Ushahidi huu hapaHii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Basi itakuwa ni coincidence, popote pale alipo mchagga ataunganishwa na kupewa nafasi ndani ya CHADEMA.
Hiki Ni kitu cha kipekee sana ambacho huwezi kukikuta uchaggani.
Kwani kunaubaya gani kutilia mkazo maeneo yalokua nyuma zaid
Wajaluo waliotoa Raisi Obama mbona hawatambi wewe hicho kiaskari kidogo kelele kibao