Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Wacha uongo wako wewe nyie wabaguzi sana eti uchagani wapo waliopiga2 kitabu wa ha uongo wewe kaanhalie wale waislamu walifutwa kwenye historia mnamjua bi titi nendeni sehemu za makumbusho ujue hata wakina shaban robert

..waislamu wa uchagani wamepiga kitabu hawana tofauti na wagalatia.
 
Genge haramu la nyoko wacha ujinga rejea nimequotes comment ya nan shobo zitakuj kukumaliza kama ni wa kiume utakuja liwa

Assume wachaga wakishika nchi hata diamond atafungiwa kufanya mziki apaishwe john makini

Fatilia then ucomment sipendi battle za kitoto
 
Machadema na wachaga walifikiri wataendelea kutawala kila sekta kama ilivyokuwa zaman>!

Zama zimebadirika sasa yenyewe bado yanafikira za miaka ya 70 huko

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kuishiwa Sera ndio huku, mkapa aliwahi kusema vijana wa siku hizi hawajadili Sera, badala yake wanajadili watu. Ni aibu Sana kwa kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani kuongea haya madudu.
 
Peter zakaria alipigwa risasi?ficha ujinga wako kma hujui kitu uliza uambiwe peter zakaria alimpiga risasi tiss alietumwa kummaliza na jamaa kaparalize toka kiunoni anatembea na wheelchair
Makengeza kahamia kwenye ukanda na ukabila, Peter Zakaria aliyepigwa risasi Tarime alikuwa wa kilimanjaro au Arusha? Hili chama Cha wachaga shida sana
 
Wakishindwa kuelewa haya madini basi
 
Nilijua tu wewe ni mtu wa sampuli gani kwa thinking capacity uliyonayo, na hii comment yako imenithibitishia hauna kitu kichwani ni kelele tu.
Utukane halafu nikuangalia kaa mbali sio malumbano upumbavu mnafanya usisemwe unakurupuka sana kijana kuvamia comment utakuja liwa
 
JPM hakuacha kitu alitekeleza sera zao almost zote kasoro ya majimbo tu.
Kuzuia mikutano ya nje ya vyama vya siasa ilikuwa ni moja ya sera yao?

Kusitisha mchakato wa katiba mpya ilikuwa ni moja ya sera yao?

Kuitupa kapuni sekta ya gesi kusini ilikuwa ni moja ya sera zao?
 
Hapo kosa ni la kwake au la JPM?
JPM ndio alimfojia cheti?
Hivi watz mnatumiaga nini kureason?
Ndio hawa wanaotuletea ripoti kwamba mavi ya ng'ombe na mikojo ya n'gombe ndio vimechafua MTO mara na kusababisha samaki kufa,
 
SANA na kazi ya kuwatesa Alipewa JAMBAZI SABAYA ila Anavuna Alichopanda
 

Tuliteseka sana na kiongozi wa mateso alikuwa General Sabaya akisaidiwa na ACP Kingai,Mahita na Jumanne.

TRA ilipora fedha za Wafanyabiashara na BOT wakapora fedha za Bureu de change.

CCM ilitengeneza vikundi vya kihalifu vikiongozwa na Mjusi na Marehemu Mkuluu.
 
..Na Magufuli chuki aliitoa wapi?

..Magufuli hakuwa kufungwa kwa dhuluma.

..Magufuli hakuharibiwa biashara na mali zake.

..Magufuli hakuwahi kuvunjwa mguu.

..Kwanini alikuwa na chuki na mbaguzi kiasi kile?
Huku ndio kuchanganyikiwa, kwahiyo magufuli ndio aliemvunja mguu mbowe?
 
Ni ukweli wala hajakosea, mwendazake alitamka wazi kabisa.
Tena akaenda mbali zaidi na kuwavunjia nyumba zao kimare na mbezi huku akisema kule kisesa wasivunjiwe(wasukuma wenzake)

Yule jamaa alikuwa na roho kama koboko,
Anachomeka tu huko aliko
Sasa ndugu yangu Ile barabara ingepanuliwaje? You guys are so selfish, kwamba watanzania ni Bora tuwe na barabara ya sentimita mbili ili kuwanufaisha nyie?
 
Kumbuka wakati jpm ananadi sera zake msukuma alipanda jukwaani na kuongea kisuma kwama "tumpe kura mtu wa kwetu msuma mwenzetu na akawatisha na wangine kuwa watashughulikiwa kwa vikao maalumu watakaosaliti mwana wa kwao
Sasa hapo kuna ubaya gani? Huyo msukuma alitoa wito kwa wasukuma wenzie, ni Kama angekuja mtwara ningemuombea Kura kwa wamachinga wenzangu
 
Umeandika vizuri Ila umeenda chaka, ishu ni magufuli anahusikaje na kukandamiza watu wa kaskazini? Naona unatumia nguvu kubwa kupiga nje
 
Magufuli alikuwa mbaguzi kweli. Ushahidi huu hapa

View attachment 2157212
Huoni kwamba magufuli alipenda watanzania wote? Ni ukweli zusiopingika kwamba kaskazini imeendelea Sana, Yani mkoa wa Kilimanjaro vijijini uko mbali kuliko manispaa nyingi Sana za mikoa mingine. Yamkini aliteleza lakini tumeshuhudia uboreshaji wa miundombini kaskanizi licha ya kwamba alisema msubiri kwanza. Hakuwahi kufika Nyasa lakini alipeleka meli na wala hakuahidi, Yule Mzee mumuache tu apumzike, amefanya makubwa Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…