Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Hilo unalijua wewe! Asilimia kubwa ya Wachaga hamkumpenda Magufuli kwa usukuma wake!

Hakuwa msukuma na alichukiwa kwa uovu wake. Msimfiche kwenye usukuma wakati hakuwa msukuma. Mimi sio mchaga na sikumkubali kwa matendo yake maovu na kiburi cha madaraka. Wasukuma hawana viburi.
 
Magufuli aliwanyima wachaga usingizi kwa usukuma wake au kwa kiburi cha madaraka? Kwanza isitoshe Magufuli hakuwa msukuma bali alijificha kwenye usukuma.
Na wala hakuwa ccm bali alijificha ccm, ccm hata kama ina maovu yake ya wizi wa uchaguzi lakin haina tabia za makatili
 
Hakuwa msukuma na alichukiwa kwa uovu wake. Msimfiche kwenye usukuma wakati hakuwa msukuma. Mimi sio mchaga na sikumkubali kwa matendo yake maovu na kiburi cha madaraka. Wasukuma hawana viburi.
Mbona makonda na mnyeti kila siku mnasema wanakiburi?
 
Ahahaha! kalaghabaho. Wee endeleza chuki za katili maguful hapa wakat sasa hivi mchaga mwenzako yupo ukrain na russia ameshika mtutu sambamba na wenyeji, vita ikiisha anaibuka na vituo vya mafuta.

Wee badala utafute namna ya kuacha kuzunguka maporin na mifugo unamfuatilia mwisrael wa Tanzania. Mwisrael wa mashariki ya kat yupo katika ti ya waarabu anapiga mtutu kutwa kucha, karne na karne, ulishaona ameterereka?!!

One lov mzee, no hate. Tulishatokaga huko. Kiwango cha ustaarabu cha mchaga kipo juu sana, kimeshavuka standard hiyo ya chuki za kifala, karibu ukrain huku tuzipige.
Hahaha!!! wanajisifia kwa kuiba..
Ukweli mchungu ni kwamba haitakaa itokee tena wachaga wawe na nguvu..
Magufuli amekufa lakin kucha kulalamika wanajua utawala wao
uliangushwa kimoja.
 
Ahahaha! kalaghabaho. Wee endeleza chuki za katili maguful hapa wakat sasa hivi mchaga mwenzako yupo ukrain na russia ameshika mtutu sambamba na wenyeji, vita ikiisha anaibuka na vituo vya mafuta.

Wee badala utafute namna ya kuacha kuzunguka maporin na mifugo unamfuatilia mwisrael wa Tanzania. Mwisrael wa mashariki ya kat yupo katika ti ya waarabu anapiga mtutu kutwa kucha, karne na karne, ulishaona ameterereka?!!

One lov mzee, no hate. Tulishatokaga huko. Kiwango cha ustaarabu cha mchaga kipo juu sana, kimeshavuka standard hiyo ya chuki za kifala, karibu ukrain huku tuzipige.
Mngekuwa na nguvu hyo lawama kwa Magufuli zingetoka wap.
 
Mungu ni mwema,katili,gaidi,mbinafsi,mtoa roho za watu,mbambikaji kesi,mkabila,mjinga kashaondoka taifa limeja furaha na amani tele.

Wasiojulikana hawana nafasi.

Ngongo kwasasa Kibandamaiti.
 
Kuna wachaga wengi sana ni makada wa CCM na waliokuwa mashabiki wakubwa wa Magufuli. Wako hata waliofariki kwa kukanyagwa kanyagwa wakati wa kuaga mwili wake uwanjani DSM.

Viongozi wa serikali mkoa wa Kilimanjaro wote ni CCM. Waulizwe kuhusu huo ubaya wa kabila lao unaolalamikiwa sana tangu Magufuli akiwa hai hadi sasa kiasi cha kuona uhalali wa serikali kuwatendea vibaya watu wa mkoa huo ili “kuwanyoosha”.

Ieleweke CHADEMA si wawakilishi wa Wachaga au watu wote wa Kilimanjaro. Si sawa kuelekeza chuki kwa chama hicho kwa wachaga wote. Ironically ndio ubaguzi wenyewe mnaodai kuupiga vita.
Hapa umeongea ukweli mtupu mkuu..kikubwa Watanzania wenzangu tupendane..na tuvumiliane kwa misingi ya tofauti zetu kikabila,kidini au kikanda...Nchi hii ni yetu sote ndugu zangu..tusibaguane na tusipande mbegu ya chuki kwenye jamii yetu.. Watu wote wanaotaka kutugawa kwa misingi ya kikabila, kikanda au kidini..tuwapinge kwa nguvu zetu zote..Mungu ibariki Tanzania..Kazi iendelee..Hongera mama Samia kwa kazi nzuri ya kudumisha umoja wa nchi yetu..
 
Ni kweli nadhani The state hawakuona roho ya jpm!!jpm alikuwa keshaharibika kisaikolojia Sasa sijui kwanini hawakuona aiseh!!makovu yale hayatasahaulika!!hapa kuna mzee kapanga KWANGU like sakata la vyeti feki halikumwacha sawa sawa!!Sasa hivi ana dege dege nimemkuta asubuhi HII kaangukia KWENYE Banda la kuku aiseh!!!!anakata roho pole pole!!
Walikuja kuona lakini kwa kuchelewa, ndo wakambanika walivofanya, walimzika mdogo kama kuku
 
Kweli walikuwa walikuwa wezi kwa kutolipa kodi na wengine walifungiwa mahesabu wakalipa.Sasa kosa lake ni lipi? Mfanyakazi analipishwa kodi kila mwezi kwa mshahara wa laki nne,yeye mfanyabiasha nani asilipe kodi tuwe tinajitambua na kufanya udadisi wakati wakuchangia hoja
Yeye tu ndiyo aliyaona hayo mahesabu kuna kudaiwa na ni negotiation hasa kama deni ni makosa yao kwenye ukadiliaji
 
Masharti hayo kwamba lazima amtukane na kumponda Magu lkn swali ni kwamba after all said and done chadema na Wachaga watapata nini kutoka kwa hii Serikali ya Samia? Mnafikiri Samia atawakabidhi power ? Sana sana mnatumiwa kama kiatu ili utawala wake uende smooth msimsumbue baada ya hapo hatowajua na hakuna kitu mtamfanya, kiatu kinatumiwa kikichakaa kinatupwa hakuna anayekumbuka kwamba kilimsaidia asichomwe na jua au miba, na ndivyo chadema na Wachaga watakachofanyiwa kama kiatu …
Suala siyo kukabidhi power! Suala ni haki haki haki haki haki haki tu!! Weka haki pale uone hali!
 
Suala siyo kukabidhi power! Suala ni haki haki haki haki haki haki tu!! Weka haki pale uone hali!

Weka haki ???? Nani akuwekee hiyo haki ? Haki haipewi haki inachukuliwa, haki inalazimishwa hakuna atakayekupa haki , na ndo maana kubembeleza kwa Mbowe na kusifu hakutomfikisha popote, haki inachukuliwa inashinikizwa haiwekwi mezani uje uchukuwe, the world owes you nothing, man!
 
Back
Top Bottom