Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2250605
Kamanda Mbowe amekuwa na hulka tofauti sana tangu aanze safari za ikulu.
Anawapa makavu vijana wanaojifanya wana uchungu na chama chake.
Je, nini kimembadilisha?
Ni muda ndio utasema.
Una akili Mgando kweli kweli.View attachment 2250605
Kamanda Mbowe amekuwa na hulka tofauti sana tangu aanze safari za ikulu.
Anawapa makavu vijana wanaojifanya wana uchungu na chama chake.
Je, nini kimembadilisha?
Ni muda ndio utasema.
Aisee Jokate hajaachiwa katoto na Shujaa wa Africa?Hakuna bread ngumu mbele ya tea
Hao wanaharakati kuna sehemu wanavuta hela ili kuendelea na hizo harakati. Yani wamanufaika na mitifuano.Mbowe sasa amekomaa. Anataka kufanya siasa na si uwanaharakati. Ukisoma mitandaoni vijana wa CHADEMA wengi ni wanafanya harakati badala ya siasa.
Si wavumilivu, wana mshambulia kila wanaye dhani yuko kinyume na mtazamo wao. Wanasusia fursa ambazo kama wangezitumia zingesaidia kutuvusha.
Hivi karibu nimejufunza kwamba, wanaharakati hawaitakii mema hii nchi. Hawapendi kuona siasa za kistaraabu. Wao wanapenda kuona kukiwa na mizozo na mitafuruku kila kukicha..nadhani ndo wanafaidika kwa namna moja ama nyingine. Wanaogopa kwamba mambo yakiwa vyema watakosa relevancy na hivyo matumbo yao kiwa hatarini.
Mbowe amepitia mengi, amejifunza mengi na amekomaa.
Sasa shida iko wapi?Mbowe ameamua kutokuwa karai kila siku kubebeshwa zigo la katiba huku wengine wakitoa matamko kupitia vyombo vya habari na media kwa ujumla kaamua kukaa kimya maisha yaendelee.
Hutafika popote mkuu.Ivi join the chain iko wapi [emoji23][emoji23]ndomana nimeamua kuwa mwanaharakati huru nipambane mwenyewe kutafuta Katiba mpya
Kweli makamu mwenyekiti yupo kaziniSasa hivi ruksaView attachment 2250654
>"keep my words"
Nyumbu mama yakoNyumbu wao huwa ni kushangilia tu
Ulitaka aongoze genge la wafanya fujo badala ya mazungumzo ya kihekima mezani?Mbowe umekuwaje tena?
Hadi Kawa Rais alipambana na wengi tuu, kwenye nafasi ya VP aliwashisha wale favourite kapitia mlango wa uani hadi Kawa Rais..Kwani aliwahi pambana na nani?
Bwashe mbona hizi response zenu ni kama ya mtu mmoja isipokuwa IDs tofauti? Au mmekalishwa mahali mnaelekezwa cha kupost? Chawa wa Mwendazeke mnahangaika sana against SSH na Mbowe.Bavicha hamna wanachojua zaidi ya mitusi