Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Ushahidi halisi ndio unanitanya niamini hivi, tangu 2004 mpaka leo yupo madarakani na uhasibu unaofanyika mara kwa mara unaonyesha matatizo katika matumizi mazima ya pesa za chama.Kwanini ufikiri hivyo na si Lissu ndiye anatafuta uenyekiti ili apate mkate wake wa kila siku.