Mbuge Flatei Massay apiga sarakasi Bungeni kuonesha kulalamika kuhusu ahadi anazopewa kila mara bila kutekelezwa, afanya marejeo ya sauti za mawaziri


 
Hahahahaha sijawahi kulifuatilia hili bunge ila leo nimesoma hii habari na nimecheka sana
Nalog off Z
 
Watu wengine bhana cjui mkoje, Ety mnasema hajielewi. Sasa mlitaka afanye jambo gani ili serikali imuelewe.? Mbona chadema walikuwa wanatoka nje huku kikao cha bunge kinaendelea, je tuseme nao hawana nidhamu mbele ya bunge.?
 
Hizi ni kaole za kuzima ishu ya NCCR mageuzi
 
Watu wengine bhana cjui mkoje, Ety mnasema hajielewi. Sasa mlitaka afanye jambo gani ili serikali imuelewe.? Mbona chadema walikuwa wanatoka nje huku kikao cha bunge kinaendelea, je tuseme nao hawana nidhamu mbele ya bunge.?
je wakiwa kama 50 wote wapige sarakasi bungeni?
 
Sarakasi zina uhusiano gani na hoja aliyotakakuwasilisha?
 
Watu wengine bhana cjui mkoje, Ety mnasema hajielewi. Sasa mlitaka afanye jambo gani ili serikali imuelewe.? Mbona chadema walikuwa wanatoka nje huku kikao cha bunge kinaendelea, je tuseme nao hawana nidhamu mbele ya bunge.?
Bora angejisadia bungeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…