Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Washenzi sana .... Vikao nchi nzima kamati imezunguka ..then kifalafala tu wanahairisha.... Kulinda chama ... Hii nchi ujinga ni sehemu ya tunu za Taifa hili.Hivi walipita na billion ngapi hao wahuni?
Kutokuolewa ni aibu? Hebu acheni utaahira..Kamuoe basi wewe umfichie aibu,
Imeandikwa na Isaya
Kuna kipindi kitafika wanawake 7 watamfuata Mwanaume mmoja alafu watakwambia tutakufanyia kila kitu Ila tu utufichie aibu hii
Sasa hapo wajinga ni hao wahuni au wajinga ni wananchi ?Washenzi sana .... Vikao nchi nzima kamati imezunguka ..then kifalafala tu wanahairisha.... Kulinda chama ... Hii nchi ujinga ni sehemu ya tunu za Taifa hili.
Wewe hujaolewa na hauoni aibu?Kutokuolewa ni aibu? Hebu acheni utaahira..
Sijaolewa na sioni aibu , wewe ulieolewa nakupongezaWewe hujaolewa na hauoni aibu?
Hautaki kuolewa wewe unakataa ndoa?Sijaolewa na sioni aibu , wewe ulieolewa nakupongeza
Kwa Umoja wetu wengi wetu ni wajinga..... Mtu anaona kabisa hiki sio sawa ...lakini Kwa kulinda tumbo na kusubiri teuzi anajivalisha mawani ya mbao...... Wengine mpaka maofisini tumeshapewa majina mabaya na pande tumechaguliwa .... Nchi ya hovyo sana.... Uchawa, unafiki, undumilakuwili ndio umetamalaki....Sasa hapo wajinga ni hao wahuni au wajinga ni wananchi ?
Aibu gani si bunge la shujaa wako alilowaachia?Aibu Sana 🐼
Tufanye nini ili kuondokana na ujinga?Kwa Umoja wetu wengi wetu ni wajinga..... Mtu anaona kabisa hiki sio sawa ...lakini Kwa kulinda tumbo na kusubiri teuzi anajivalisha mawani ya mbao...... Wengine mpaka maofisini tumeshapewa majina mabaya na pande tumechaguliwa .... Nchi ya hovyo sana.... Uchawa, unafiki, undumilakuwili ndio umetamalaki....
Kamuoe umuondolee huo ustupid full
Nyerere aliwaachia UJAMAA/KUJITEGEMEA na AZIMIO la Arusha wakaua vyote.bunge la shujaa wako alilowaachia?
Kumbe maza ni msagaji !!
Simkubali Mama Abdul , ila kwenye huu upuuzi mtamuonea kabisa engineers wa ule upuuzi wa October 28 , 2020 ni Jiwe , wakurugenzi na vyombo vya ulinzi na usalama vyote na mitandao ya simu.Nyerere aliwaachia UJAMAA/KUJITEGEMEA na AZIMIO la Arusha wakaua vyote.
Iweje washindwe kuua bunge la mtu aliyekufa ?
Acha kujitoa ufahamu bwashee, hilo ni bunge pendwa la mama Abdul lipo kwa maslahi ya wezi na mafisadi na sio kwa maslahi ya wananchi.
Bunge la wapumbavu chawa wa mwendazake.
Aliolewa akaachika . Kwahiyo ni divorcedMbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
Kivip mkuuWabunge wanaume wanamkimbia kwa kuogopa gharama za hela ya sabuni.
na akiolewa tu kwadawa niliyompa ya biashara zake ameisha kisiasa na kiuchumiAibu Sana [emoji209]