greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Kazi nzuri ya Magufuli kubaka uchaguzi na kuacha vilaza konki kupeta. Bunge limejaa mazuzu matupu.Sasa cha haibu
Ni kwamba huyo mbunge ni wa C.C.M
Yani ,kakaa kajiandaa Siku nzima kaona hapo katoa bonge la hoja....
So,pia mishahara ifutwe coz watu wanatumia kulewea na kuhonga, ama....?
Yan,mama anaelemewa na hii mizigo.
Reason capacity thinking yake ni ndogo, sana.Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
Wadogo zetu first year mwaka huu walipewa ada kidogo sana Kwa ufisadi wao tu, Sasa naona hata hicho kidogo kinawauma.Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
Nikimaliza paper one Mimi na jamaa zangu finalists tutaandamana.Vipi wao wanotumia Kodi zetu kuwaambukiza ukimwi mabinti wa vyuo!!. Sema vijana na wanavyuo wa Sasa ni wapumbavu ingekuwa dhama za 2000 kurudi nyuma huyu mbunge angelionja joto la jiwe.
Asante Asante Asante sana sisterNaomba kujuzwa elimu ya huyu baba, huenda ana hasira na wasomi wa vyuo vikuu, kwa kua yeye hakupita huko. Lol
Hili lizee litakua lichawi bobezii mxxxxiiiiew
😂😂😂😂😂
Ada kidogo sana ndio ada gani?Wadogo zetu first year mwaka huu walipewa ada kidogo sana Kwa ufisadi wao tu, Sasa naona hata hicho kidogo kinawauma.
Shame on them.
Maisha yatakupiga huo mda wa kuandamana utautoa wapi?Nikimaliza paper one Mimi na jamaa zangu finalists tutaandamana.
Hatuwezi chezewa hivi, na tutamsaka popote
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
Subiri, we subiriMaisha yatakupiga huo mda wa kuandamana utautoa wapi?
"Ndio" ni kitu Gani kwani?Ada kidogo sana ndio ada gani?
Hatutakiwi kua na wabunge wasengerema kiasi hiki baada aje na hoja ya kufunga viwanda vya Pombe na kudhibiti unywaji Pombe kwa vijana eti yeye alivyo Zerobrain anakuja na hoja za kisengesenge msengesana kabisaAache mawazo ya kijinga huyo mbunge
Muulize huyo Mbunge Gutere haya ndio madhara ya kua na wabunge viazi bungeniAiseee! Hawa wanachuo wanaoshindia mikate na maji, mihogo na chai na boom nalo waondolewe.