Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
MkuuuKuna kitu nataka kusema ila mwanasheria wangu ana sup 4, tusije kufungwa wote. GOAT
Msamehen pengine hata chuo ajafika lohMbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
Kaguen elimu yake kabla ya kumjibuMbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
wadada wa siku hizi mnaamka mapema, hadi rahaaIli mradi nae kaongea bungeni aiseee
Hivi,CCM ina mradi gani ambao inazalisha hela za kuwapa wanafunzi "bumu/mkopo"?Ubaguzi unatoka wapi wakati hao hao ccm ndio walileta Hilo boom? Chadema mna tatizo la Afya ya akili
wadada wa siku hizi mnaamka mapema, hadi rahaa
Ndiyo boom ni ile hela ya kujikimu ambayo wanavyuo wanapewa 10,000 kwa siku. Ada ndiyo hawapewi mkononi, inalipwa moja kwa moja kwenye akaunti ya chuo. Huyu mbunge amekosea, wigo wa mikopo kwa wanafunzi uongezwe ili wengi WAPATE. Tena vigezo viondolewe ili wanafunzi wote wapewe mkopo! Hela ya chakula inasumbua sana!Kwani boom unapewa cash, ama unasaidiwa ada na serikali?
Embu tueleweshane jamani
Sio lazima Serikali iwape,ni hisaniWe nawe acha ujinga. Huo ni mkopo ambao wanafunzi wataulipa. Hivi ccm ndani ya kichwa Kuna nini , maana hizo sio fikra za ubongo wa binadamu
Sio hela ya Msaada hiyo kwamba Isiwe na mashartiNdiyo boom ni ile hela ya kujikimu ambayo wanavyuo wanapewa 10,000 kwa siku. Ada ndiyo hawapewi mkononi, inalipwa moja kwa moja kwenye akaunti ya chuo. Huyu mbunge amekosea, wigo wa mikopo kwa wanafunzi uongezwe ili wengi WAPATE. Tena vigezo viondolewe ili wanafunzi wote wapewe mkopo! Hela ya chakula inasumbua sana!
Jamani!! Sasa Chadema hapo imeingiaje wakati bungeni wapo CCM wenyewe. Kwani wananopewa mikopo hiyo ni Chadema?Ubaguzi unatoka wapi wakati hao hao ccm ndio walileta Hilo boom? Chadema mna tatizo la Afya ya akili
Fikra za kijima sana,wao wanadhan n watoto wao tu wanastahili kula keki ya taifa and by the way hizo pesa zinatoka kwenye kodi ambazo wazazi na ndugu zetu hulichangia taifa….Msengesana hajui hilo boom watu wanapanga foleni msululu kwenda kusaini alafu anaongea ujinga gani?
Acha kudandia hojaJamani!! Sasa Chadema hapo imeingiaje wakati bungeni wapo CCM wenyewe. Kwani wananopewa mikopo hiyo ni Chadema?
Una akili ndogo mno kwa namna hiiNdio ni hisani
Siku hizi wameacha utaratibu wa kusema mbunge wa chama gani?Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.
Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo kwa sababu wenye uhitaji.
My Take
Naunga mkono hoja, walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu, Shule za Sekondari au wajitegemee.
View: https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo