Ukiwa soba rudia kusoma na ujibu tena, ila kama umesoma ukiwa soba basi Tz kazi ipo.Jeri yupo sahihi. Wewe ndio mwehu. Muhimu ni kuwa na deni tunalolimudu. Ila kama unategemea ile kampuni isiwe na deni kabisa basi Wewe sahau.
Na ndege hatuziuzi . Mjipange kivingine kama hamuelewei.
@Chizi Maarifa mwingineSerikali Haifanyi biashara.. inatoa huduma. Na hapa ndipo tunataka kufeli.. kuendesha nchi kama corporation wakati mtaji unaotumika (Kodi) ni ya mwananchi. Ikiwa miradi ya serikali italeta faida in the process hiyo ni safi ila usilenge Watu wako ndio soko lako..
Madege yaende Uchina na Ulaya yaje na watalii walipe tupate fedha za kigeni walale kwenye hoteli zetu tutakazozijenga kwa mikopo nafuu ili tupate mafedha mengi kama wananchi na kodi zipunguzwe na mishahara iboreke.
Ukichimba madini safi wauzie huko.nje tupate fedha kwa mamilioni na mamilioni ..jenga sgr wafanyie biashara wakongo na warundi huko.. sio unatuangalia sisi kwa fedha yetu ya kodi utufanyie biashara.. tuache hoi tabia.mara moja.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
We ndiye mpumbavu usiyejua maana ya mashirika ya kimkakati na mashirika ya kibiashara.Wewe tumia akili kuelewa kilichoandikwa udikurupuke kujibu tu. Kinachozungumzwa hapa ni aina ya shirika ambalo linalotia taifa hasara badala ya kua na mpango kazi wa kuliimarisha, pato lenyewe bado ni dogo inakimbilia kununua madege yanakutia hasara miaka 10 mfululizo na kiuchumi uko hoi, hivi hiyo ni akili?
Huyo akili hana zinamtoshea kuvukia barabara na kwenda chooni. Huyu hakua hata kazi inayofanywa na NASA, aliyemwambia NASA ni kampuni ya kibiashara ni nani? Basi kama ni hivyo Mamalake yetu ya hali ya hewa TMA nayo iwe inazalisha. Taifa hili tuna watu wapumbavu sijawahi kuona.
ATCL ni shirika lilisajiliwa kibiashara, linatakiwa kujiendeshe kwa faida. Eti linatoa huduma ndio maana linapata hasara, akaulize pale basi za Mwendokasi zinazotoa huduma kama UDART hawapati faida.
Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!
Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.
Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.
ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?
Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?
USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.
Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?
Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?
Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.
Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.
Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
acheni ujinga JERY AMEJIBU UJINGA WENUWasalaam wapenzi wa jukwaa hili!
Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.
Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.
ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?
Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?
USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.
Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?
Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?
Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.
Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.
Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Uza hisa za shirika,punguza wafanyakazi,kodisha Ndege,Kwa hiyo mnatakaje? Shirika liuzwe? Ndege ziuzwe au nini hasaaa... Ni vema kwenda moja kwa moja kwenye suluhisho sababu muhusika wa yote kishatangulia mbele za haki.
Wanyonge wa taifa iliHivi yule mbunge mvuta bhangi, Elimu darasa la 7 Bwana Kasheku Msukuma huwa anaongea kwa niaba ya nani??
Wacha pumba zako wewe?We ndiye mpumbavu usiyejua maana ya mashirika ya kimkakati na mashirika ya kibiashara.
Kwetu Tanzania, ATCL halipo kwa ajili ya kutoa huduma za usafiri wa anga na kufanya kibiashara peke yake, pia ni shirika la kimkakati. Kuna mambo mengi yamo ndani ya shirika la ATCL. Itazame ATCL kama unavyoitazama TANESCO au TBC. Muktadha wa uanzishwaji wa mashirika kama hayo ni beyond simple business model. Niishie hapo kwanza.
Huo muda uliotumia kunijibu ungeutumia kusoma welfare economics ungekuwa unakaribia kuwa profesa wa uchumi hadi sasaFicha ujinga wako wew unaanzaje kufananisha uwekezaji wa kwene ndege kuwa ni sawa na kule wa barabara? eti ni public good kwaiyo ni sawa kupata hasara...huwez kuwa siriaz wewπ€kadanganye watoto wenzako huko.
Ipo mpaka sasa hiyo ndege...baba yake yupo?Baba ake Jerry anamiliki ndege iliyomuua Filikunjombe
Jerry anajua sana maswala ya ndege!
Walipita kwa namna na kwa namna wanaongeaπ€£π€£Huyo naye si ndiyo wale wabunge wa kura za kwenye mabegi. Na kakichwa kake kale kama pirton.
ππNdege zote zipelekwe chato tuongeze GDP.
Yaani watu wanazungumzia NASA ya US wewe uunawaza anasa? Vijana wa ccm mna mdudu gani?We mtu Shirika la Ndege si anasa, ni la lazima. Niambie nchi gani duniani haina shirika lake la ndege? Ukiona nchi inayumba kwenye vitu kama shirika la ndege kuna mawili, either ni failed state au si nchi huru.
Huyo mbunge ni kilaza sijawahi kuona.Wasalaam wapenzi wa jukwaa hili!
Ndugu zangu hua napata ukakasi sana ninapoona mtu ambaye anaonekana anajiita msomi lakini anyoongea hayana reflection na usomi wake. Tena kijana ambaye nafikiri kesho angeweza kua Key figure kwenye ujenzi wa taifa. Ndugu yangu bwanamdogo Jery Slaa ni mpotoshaji mkubwa sana kuhusu ATCL, Sijui ni kujikakamua aonekane kwamba anajua au anatafuta sifa za kitoto.
Kwa haraka haraka nimshauri ndugu yangu Jerry Silaa kama hana uelewa na masuala ya biashara na uchumi akae kimya hata kama baba yake alikua rubani, kua rubani hakukufanyi wewe kua mtaalamu wa biashara za ndege.
ANAVYOPOTOSHA BUNGE.
Msomi mzima huwezi kusema kua hakuna tatizo kusikia shirika miaka 10 mfululizo linapata hasara ya mabilioni ya shilingi ukafurahia ati kwa sababu ni kawaida kwa mashirika ya ndege kupata hasara, kwahiyo wananchi waendelee kukosa miradi ya maji na madawa kwa sababu kuna shirika limegeuka kua mchwa wa kumaliza pesa?
Jery anapotosha kua hasara ya ndege zetu ni kwa sababu ya COVID-19, haelewi na wala hakumbuki kwamba kua ugonjwa huu ulianza mwaka 2019 mwishoni, inahusiana vipi na hasara ya miaka ya nyuma? Huyu mtu wa aina hii tumpe jina gani?
USHAURI UNAWEZA KUMSAIDIA NDUGU HUYU NA WATU WENGINE WA AINA YAKE.
Kanuni zote za kibiashara duniani hua zinataka mradi wowote katika taifa lolote lile ufunguliwe ikiwa kuna economic stability katika taifa. Una bajeti yako ndogo katika taifa halafu unachukua sehemu yake unaaanzisha mradi ambao utakuingizia hasara tena irudi kuendelea kufidia hasara ile ile kwa bajeti ile ile ndogo, hivi hii ni kitu gani kama siyo kuumiza wananchi ambao ndio walipa kodi?
Huwezi kufurahia hasara miaka mitano mfululizo ati inafufua shirika wakati unajua kabisa kua shirika lina madeni kibao, yaani unataka upae angani unapata hasara halafu bado una madeni yanazidi hata hiyo hasara unayopata, ni lini utapata faida kama utaendekeza mawazo haya ya kina Jerry Slaa?
Kama tulikua tunajua kua shirika lina madeni megi, basi tungeweza kumalizana nayo kwanza na kuweka sawa mikataba ya kimataifa lady ndio tuje tuanze kufanya maboresho ya shirika letu ili hata tunapopata hasara lakini wakati wa kuifidia kusiwe na maumivu makubwa. Au tungesibiri uchumi wetu utengamae ili tuweze kulisafisha shirika halafu tuanze na mtaji wetu wa hizo ndege huku kwenye anga la kimataifa hatuna tatizo.
Huwezi kufananisha hasara ya Shirika la ndege la Ethiopia,Kenya,Qatar au South Afrika wakati uchumi wao una ahueni wanaweza kufidia hasara hiyo.
Ifike mahali tuwe wakweli tuache kujipendekeza pendekeza ili kulisaidia taifa, unafki haujengi na hauna msaada wowote kwenye ustawi wa taifa pia. Tuwe wazalendo kama kuna hasara tukubali kua ni tatizo na ni lazima litatuliwe.
Prof unadhani kila kitu ni kupata faida tuu!? Au unataka kudhani kila kitu kinachofanyika hata huko ughaibuni lengo ni kupata faida tuu!?Lakini ATC lilianzishwa kufanya biashara na siyo huduma. Ndiyo maana kuna ndege za serikali zilikua zikitoa huduma zikakodishwa ATCL.
Wewe unajua nini!! Weka vyeti hapa angalau tujue hata ulihudhuria darasani.
Kwani wewe unajua nini kuhusu ATCL?
Uko mtaalamu wa masuala ya ATCL?
Sasa naona tuanza kuwa name constructive conversation!Ukiwa soba rudia kusoma na ujibu tena, ila kama umesoma ukiwa soba basi Tz kazi ipo.