econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hiyo sio kero. Maana kwenye muungano mzanzibar au mbara anaweza kuwa Rais.Kero ni Mzanzibari, kisiwa chenye idadi ya watu milioni 1, kuongoza Bara kwenye watu millioni 60. Tuanzie hapo kwanza.