Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Shamba la bibi kwa namna gani?, umekosa ardhi ya kulima? Au wanaiba rasilimali za bara? Eleza kwa kina.Kwahiyo Tanganyika iendelee kuwa kama shamba la bibi tuu, na hao Zanzibar wanatumia Tanganyika kama shamba la bibi tuu.
Mheshimiwa mbona anaturudisha nyuma? Huko tulishapita, wenzetu ulaya wanaendelea kuungana, nchi za Africa mashariki zinazidi kupanuka na kutumia passport Moja sisi tunafikiria kusafiri kwa passport kwenye nchi Moja, Kuna shida mahala.Ila wakati wa Karume baba na Jumbe wazanzibari walikuwa wakija bara lazima wawe na paspoti.
Bara hawataki au CCM hawataki?! CCM inawalea sana hao jamaa.Wazenji wako tayari hata kesho,Bara ndio hawataki.
Kwamba Taiwan na Hong ziwe Nchi huru na jirani ya China? Thubutu.
CCM ndio wanaofosi.Watanganyika ndio wanafosi muungano, Wazanzibar hawataki.
Pale ilala 99% ya wauza spare ni wazenj,jamaa chao chao cha kwetu chao,halafu hata sioni wanachojiona wao ni special sana!!Wanajisahau sana, wamejazana huku Tanganyika, au kwa vile no moja katokea huko,
Analipwa posho na watanyika maana Zanzibar haichangii hata senti tano kuendesha nchi, bado wanataka mfukoni wa Jimbo uongezwe wakati hawachangii, wanachukua payee wakati hawachangii.Si tuuvunje tu Muungano. Yani anayasemea haya akiwa yupo kwenye ardhi yetu ya Tanganyika aisee
SioNi jambo zuri na wao wakija bara waje na PASSPORT na VISA JUU
Kama hawataki muungano mbona wamejaa tele Tanganyika na wamejenga,waondoke Tanganyika,ndio tutajua hawataki muungano.Watanganyika ndio wanafosi muungano, Wazanzibar hawataki.
Wasema Ilala tu,ni Tanganyika nzima wapo.Pale ilala 99% ya wauza spare ni wazenj,jamaa chao chao cha kwetu chao,halafu hata sioni wanachojiona wao ni special sana!!
Ubaya wazanzibari wengi hawajui kwamba maisha yao ni nafuu sababu ya uwepo wa mwingiliano huru na watanganyika, wakiruhusu siasa iamue watakuja kujuta... Watakuwa wakimbizi wetuKwanini wasiombe tu muungano uvunjwe.
Upuuzi wa kupeleka Mkutano wa Mamlaka za Tanganyika (ALAT) kufanyika nchi nyingine ukome.Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.
“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.
Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.
“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.
Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.
=====
My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Uvunjwe sasa ili wajioneeUbaya wazanzibari wengi hawajui kwamba maisha yao ni nafuu sababu ya uwepo wa mwingiliano huru na watanganyika, wakiruhusu siasa iamue watakuja kujuta... Watakuwa wakimbizi wetu
Waunguja asilia sio wabaguzi hao wapemba ndio nuksi kwa ubaguzi!akiwa znz basi bara ataiita Tanganyika ila akifika ferry tu anaiita TZ kujipa umuhimu stahiki zote za bara zinamhusu!Wasema Ilala tu,ni Tanganyika nzima wapo.
Bana weeee! Na mimi ndo nachoka akili hapo......Nyerere sijui alitoka wapi na hawa mapumbavu!!
Vitabu Gani???Tangu mwaka 1962 kikao kilifanyika Nairobi Kenyata alikataa alisema ni mbali ndipo Nyerere kapewa jukumu🤣🤣🤣🤣🤣.Soma vitabu mkuu😂😂😂😂
Na kila mmoja atawale kwao.Ni jambo zuri na wao wakija bara waje na PASSPORT na VISA JUU