Mbunge Mohammed Issa aliyesema yeye si Mtanzania, kwanini bado yupo Bungeni?

Asante ndugu yangu kwa kuliona hilo. Hawa viongozi wa Bunge kwa kweli wajipime
 
Wote humo ndani ni raia wa Tanzania na wanaapa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili wapate haki ya kukaa humo ukumbini.

Hayo mengine yote ni muendelezo tu na matakwa ya demokrasia kwa mapana yake.
 
Huyo mbunge naye kiazi kabisa.
Yaani anasema viongozi wa Tanzania wanaotokea Zanzibar wanabaguliwa, halafu hapo hapo anaambiwa yeye ajitambulishe kama mtanzania ili asibaguliwe anakataa kata kata, anang'ang'ania tu kuwa yeye ni Mzanzibar na sio mtanzania!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…