unless vipo exempted; hata Posta huwa kuna Afisa Ushuru toka TRA anakuja pale na anakata ushuru accordingly....Sio kweli, inategemea kimepitia wapi. nishanunua vitu sana ebay na alibaba through international shipping nikaenda kuvichukua posta na hamna alieniuliza. ila vikipitia DHL and the like imekula kwako
Yeye alipwa mshahara usiokua na kodi,shida wa jpm kutuletea wauza nyama bungeni...tanzania ndio nchi yenye bunge la hovyo la ccm lililojaa wajinga na zero brainMbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Neema amehoji kwa nini biashara za mtandaoni hazitozwi kodi kama biashara nyingine zinazofanyika nje ya mtandao. Mbunge huyo amenukuliwa akisema "Biashara ikifikia mauzo ya 4m, TRA wanatoza Kodi ya 100k/mwaka.
Biashara ikifikia mauzo ya 100m wanasajiliwa VAT na wanatozwa Kodi kulingana na Faida. Kwanini biashara za mtandaoni zisitozwe Kodi hata zikifikia mauzo stahiki? TUJADILI Online vs Offline [emoji871]".
View attachment 2145753
Nakumbuka huyu ndezi wa viti maalum aliwahi kusema Bungeni eti wanaume sikuhizi hatuna nguvu za kiume[emoji3061]
Shida yake k imejaa maji istoshe mpka apigwe katerero ndio anakojoaNakumbuka huyu ndezi wa viti maalum aliwahi kusema Bungeni eti wanaume sikuhizi hatuna nguvu za kiume[emoji3061]
Heheheee! Tatizo unatumia logic sana. Siasa haiko hivyoKuna tofauti ya kutafuta wateja mtandaoni na kufanya biashara kwa njia ya mtandao. Watanzania wengi wanatafuta wateja mtandaoni na sio kufanya biashara mtandaoni. Unakuta mtu ana duka lake kariakoo na anawapa vijana bidhaa watagute wateja mtandaoni kwa lengo la kuiuza. Kwa mfano huo utasema hiyo ni online business?
Ni muhimu kuielewa kwanza dhana ya e-business kabla ya kufikiria kulipa kodi.
Zifutwe tu!Sitting allowance za wabunge zianze kutozwa kodi.
NdieNakumbuka huyu ndezi wa viti maalum aliwahi kusema Bungeni eti wanaume sikuhizi hatuna nguvu za kiume[emoji3061]
Hawa uliwaona wapi?Lakini pia wapo ambao hawana maduka kabisa. Bidhaa ziko nyumbani na anafanya delivery only hakuna pick up.
Nadhani atakua anamaanisha hawa.
Si vyote vinafanyika Marekani vifanyike Bongo. Mtaua ubunifu na mitaji. Fanyeni study kwanza!Yuko sahihi kabisa; Marekani siku hizi majimbo mengi yanatoza kodi mauzo yote ya mitandaoni. Kampuni kama Amazon, maduka yake ni ya mtandanoni na ndiyo yenye mauzo mengi kuliko kampuni yoyote. Sasa iwapo wa offline mwenye mauzo kidogo analipa kodi, iweje online mwenye mauzo mengi asilipe kodi.
Tatizo sasa litakuwa kwenye uhakiki wa hizo biashara za mtandaoni
Acha ubishi mkuu, mi ndo nimenunua alafu unaleta ubishi tena vitu vingine vya anasaunless vipo exempted; hata Posta huwa kuna Afisa Ushuru toka TRA anakuja pale na anakata ushuru accordingly....
Tofauti ya DHL na Posta moja ni Door to Door (assisted in clearing) nyingine unafuata mwenyewe na kufanya clearence mwenyewe au through clearing and forwarding agent
Muongo wewe mimi nimeshapokea vifurushi toka nje Posta kodi zote unalipa..Acha ubishi mkuu, mi ndo nimenunua alafu unaleta ubishi tena vitu vingine vya anasa
Yes mara kibao, ila kama mzigo ukiwa mkubwa(kiumbo) najua unapitia custom. nakumbuka zamani kidogo niliagiza saa nikafungiwa kwenye bonge la box, custom wakanidandia na kunipigia bonge la kodi kama ulivyosema. Nikalia lia kua mi ni wakusoma yule mzee akanionea huruma akasema haya toa 14,000/= nikatoa nikasepa, la sivyo ningegongwa 80,000/=.Kwa hiyo hukulipa kodi.posta ?
Yuko sahihi kabisa; Marekani siku hizi majimbo mengi yanatoza kodi mauzo yote ya mitandaoni. Kampuni kama Amazon, maduka yake ni ya mtandanoni na ndiyo yenye mauzo mengi kuliko kampuni yoyote. Sasa iwapo wa offline mwenye mauzo kidogo analipa kodi, iweje online mwenye mauzo mengi asilipe kodi.
Tatizo sasa litakuwa kwenye uhakiki wa hizo biashara za mtandaoni
Hakuna sheria tofauti ya Kodi baina ya DHL na Posta kuna kipindi zamani ulikuwa bidhaa ikiwa declared as gift au less than 50 USD hulipi ila hayo yalishafutwa hence kama huwa hulipi na bidhaa sio exempted basi kuna uzembe unafanyika katika hio posta yakoAcha ubishi mkuu, mi ndo nimenunua alafu unaleta ubishi tena vitu vingine vya anasa
Sasa hiyo kutanganziana facebook au jamii forums halafu mnauziana pembeni hiyo siyo online business. Ni kama kutangaza gazetini au redioni halafu manauziana pembeni, hawezi kuwa onradio business au in newsapepr business. Mimi ninazungumzia zile online business ambazo zinazua bidhaa online, yaani malipo yanafanyika online, na nimetoa mifano yake kwenye post mojawapo huko nyuma.Mkuu issue ni kwamba online business Bongo haija-mature kutokana na Utapeli na watu wengi kuwa waoga na bado hakuna friendly facilities za payment gateways ambazo mtu analipa palepale na pesa kuingia kwenye platform Tukichukulia mfano wa platforms kama alibaba au ebay (ambayo inawaunganisha wauzaji na wanunuzi) wote wakiwa wamesajiliwa wale sellers wanafahamika na mauzo yanaeleweka ni rahisi kuwabana kulipa kodi..., na platform as a business pia italipa kodi...,
Tukija huku mfano kama huo labda ni kama KUPATANA au Insta / whatsapp au tangazo humu JF watu wanaongea alafu wanaenda kumalizana wanapojua..., Hence huenda biashara hizo ni ndogo kama mtu kuuza simu yake used, laptop used au hata ya wizi..., au ni maelekezo tu ya kwamba napatikana wapi offline ili mtu anifuate niweze kumlipa nikiwa huko......
Kwahio Serikali isingeharibu kuanzia mwanzo kufanya digital payments kuendelea kuwa affordable huenda watu wengi wauzaji hata wadogo wangeweka option ya malipo online ili yawe tracked (though hata hapo uaminifu na wizi wa wabongo ni wangapi watalipa pesa kabla ya kuona mzigo) ?, Au kama payments zitakuwa na makato makubwa kwanini asimrushie Mmpesa / Tigopesa offline ili wamalizane ?
Utaona kwamba as is with many things nchi hii Serikali inalikoroga kwa uroho wake wa kutaka kuvuna bila kupanda hivyo kupelekea ukuaji wa hizi sekta kusuasua....;
Pia kuna Offline Businesses with Online Presence Na Kama ni kampuni kubwa Online si bado mnunuzi atapata risiti hence kuonyesha mzigo umetoka accordingly (Pia Kampuni zote za Betting, Tickets, Universities n.k.) zinafanya kazi online na zinalipa Kodi accordingly kutokana na kwamba wana mfumo tayari wa payment gateways ambazo bado zinakuwa cheaper na Serikali huko inapata pesa yake husika...