Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
dogo afungue kesi tu apige mpunga yaishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msilkariri JF tu, clip iko mtandao wa X inayoeleza nini huyo kijana alikuwa anataka kufanya na sio kuweka sumu kama unavyodai.Dogo alikutwa na sumu, anataka kuweka kwenye chakula, aue watu aharibu biashara yake.
Hivi we una akili timamu wewe?La kwako ndiyo limegoma kurudi limebakia bwanga tu kudadadadeq
kapikie watotoDogo alikutwa na sumu, anataka kuweka kwenye chakula, aue watu aharibu biashara yake.
Una uhakika anaongea ukweli? unadhani anaweza kuongea ubaya aliotaka kufanya?Msilkariri JF tu, clip iko mtandao wa X inayoeleza nini huyo kijana alikuwa anataka kufanya na sio kuweka sumu kama unavyodai.
Mie sijaelewa. Hivi unajua chupa ya cocacola ilivyo? Inaweza ikapita mdomoni hadi kooni au ikapita kutoka chini kwenda juu? Si ni mfereji huohuo? Mie nadhani huyu Mbunge Paulina anaonewa, hizi ni njama za maccm sisi tunataka tumehuru.One mistake one golu
So wana buy time rinda la bwana Hashimu lirudi
Maajabu ya dunia haya.Msituchanganye bana!
Pauline yeye alalamike polisi, halafu apewe dhamana!
SASA KAMA MTU NDIO NAIBI WAZIRI WA SHERIA....ANAFANYA HIVYO, SASA NJOO KIUHALISIA MWANAO KAIBIWA PENSELI SHULE ALAFU KUNA MTU KAMUHISI... UMEMFUNDISHA MWANAO AMFANYAJE MUIZI WAKE??? UKISHAPATA JIBU LIGEUZE YANI MWANAO NDIO AWE MWIZI / KAHISI KUIBA .... UKISHAMALIZA HAPO NENDA KWA PAUL GEKUL FANYA SIO HUYO KIJANA FANYA WEWE NDIO UMEHISIWA ALAFU TUPE MAONI YAKO, YAKO MBWA WEWE...NYIE NDIO MASHOGA WENYEWEjapo hakutumia njia sahihi kumuadhibu kijana imagine wewe hapo umegundua unataka kuuliwa kwa sumu na fulani utafanyaje?????
Tunahukumu sana na yeye ni binadamu
Kwani kauli yako ya kusubiri rinda la huyo dogo lirudi unaona ina afya ya akili?Hivi we una akili timamu wewe?
Apige mpunga 🤭👊👊💯%dogo afungue kesi tu apige mpunga yaishe.
Na ni haki zaidi kwa mwenye fedha na ukubwa fulaniDhamana ni haki ya mtuhumiwa!.
P
Kama alikuwa na dharau kwa wanaume sasa ndio muda wa kumtafuta yeyote anayepumua ili aishi naye na kukidhi haja zake.Gekul akubali tu, hiyo ndio imeenda.
Unaibu waziri amepoteza. Ubunge ndio unakwenda kufikia tamati 2025, na harudi tena bungeni. Biashara zake ndio mwanzo wa kufilisika. Hadhi na heshima yake kijamii ndio imekwenda milele.
It's true, kwa Tanzania murder case haina dhamana, lakini Brother Ditto alipomfyatua yule dereva wa dala dala, alitetewa na wakili Nimrod Mkono, na Ditto akaachiwa kwa dhamana!.
Hakika tuna safari ndefuIt's true, kwa Tanzania murder case haina dhamana, lakini Brother Ditto alipomfyatua yule dereva wa dala dala, alitetewa na wakili Nimrod Mkono, na Ditto akaachiwa kwa dhamana!.
Tena kuna mtoto fulani wa Kigogo fulani alichomoa chuma akamfyatua shamba Boy wao kisa alirudi home ghafla akakuta kumbe shamba boy anajilia dada yake!, kwa hasira akachomoa chuma na kumuwasha hapo hapo!.
Dogo alikamatwa, DPP hakuanzisha mashitaka and it was over!.
Mlinzi wa Dr. Slaa kwa jina la Kagenzi, was tortured ndani ya torture chamber ya chama fulani!, akaripoti police, hakuna mashitaka yoyote yaliyofunguliwa!.
Tanzania ukiwa VIP, haki inalalia kwako!.
P
Sawa ila Ugali wa Naibu waziri kashautema....Na hao hao CCM wenzie tayari huko simu zinaita kwenye wajumbe wa mashina ...yani 2025 kuna mbunge tayari kashaona hapo ndio kwa kupitia🤣....Hata lizimwe ila 2025 akigombea hapo hatobei ...Mark my word, Tuhuma tu zinafaa Tosha kushafuka kisiasa. Bila hata uthibitisho...Kujua sheria kunanifanya nisiwe nashadadia mambo kwa mob justice, hizi habari mzisikie tu, mimi sitetei unyanyasaji wowote lakini mfahamu kufanya unyanyasaji ni jambo moja na kuthibitisha unyanyasaji huo umefanyika ni jambo jingine mahakamani,
Mimi situmii neno lolote kusumsupport huyo mbunge wa kijani wala kumkosoa na kumzodoa kwa sasa hana hatia yeyote mbele ya macho ya sheria mpaka mahakama iseme vinginevyo
By the way hayo manyoka yakijani tuyaacha yapigane huko ccm kwao yenyewe
Dogo kapoteza marinda kimasikhara mbele ya waheshimiwaMaisha ni fumbo ndani ya muda mfupi mtu anaweza akapoteza kila kitu including Pumzi nayo ikapotea !!
Lakini bado wapo watu wenye kiburi cha kuwadhalilisha wenzao kama vile wao ni Alfa and Omega !!
Ulimbukeni ni Laana 🙏🙏