Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Makonda hakamatwi kwa uuaji na ujambazi?
Mwambie na mmeo naye aacheAcha bangi.
Iwafikie mafeminists uchwara wote - waliopo hapa JF; na kwingineko.We can never be men aiseee
Na sio ajabu yupo selo ya VIP analishwa kama queen 😂😂With a rotten system, Mwisho wa movie lazima ataachiwa huru tu. Mankumbuka Kigwangala aliwahi kutuhumiwa kumpiga mtu risasi ya mguu? Nini kiliendelea? Bashite na Sabaya wapo uraiani na kulikuwa na evidence za uhalifu hadi footage za CCTV camera. Msitarajie jipya hap, baada ya Wiki hili sakata litasahaulika
Ashughulikiwe inavyostahiliPauline Philipo Gekul, mbunge wa Babati Mjini (CCM) amekamatwa na jeshi la polisi alipokuwa akijaribu kutoroka kuelekea nchini Kenya kupitia mpaka wa Holili, Rombo, Kilimanjaro. Hii ni nia OVU. Jambazi Pauline aliwateka Hashimu na Michael, kuwatesa na kuwawekea chupa makalioni.
ni mwehu huyo, kajiharibia mwenyewe, awe mbunge wa kwanza kujiuzulu ubunge kwa kashfa hiyo mbaya, hakuna namna. Wenzake hutengenezewa kashfa wajikwe waanguke yeye kajifanyia asidhani kapigwa kimbolaPauline Philipo Gekul, mbunge wa Babati Mjini (CCM) amekamatwa na jeshi la polisi alipokuwa akijaribu kutoroka kuelekea nchini Kenya kupitia mpaka wa Holili, Rombo, Kilimanjaro. Hii ni nia OVU. Jambazi Pauline aliwateka Hashimu na Michael, kuwatesa na kuwawekea chupa makalioni.
Hebu weka link ya hii habari tuthibitishe ukweli; tujue ccm imebadilika!Pauline Philipo Gekul, mbunge wa Babati Mjini (CCM) amekamatwa na jeshi la polisi alipokuwa akijaribu kutoroka kuelekea nchini Kenya kupitia mpaka wa Holili, Rombo, Kilimanjaro. Hii ni nia OVU. Jambazi Pauline aliwateka Hashimu na Michael, kuwatesa na kuwawekea chupa makalioni.
Kwenda zako eti bashite na sabaya nao. Chuki zenu kwa maadui wa ufisadi . Mumezua uongo na kumtesa sabaya kukaa gerezani bure miaka miwili mwisho mumeonekana ubaya na ujinga wenu.With a rotten system, Mwisho wa movie lazima ataachiwa huru tu. Manakumbuka Kigwangala aliwahi kutuhumiwa kumpiga mtu risasi ya mguu? Nini kiliendelea? Bashite na Sabaya wapo uraiani na kulikuwa na evidence za uhalifu hadi footage za CCTV camera. Msitarajie jipya hapo, baada ya Wiki moja hili sakata litasahaulika
hana alicho ibiwa...chawa wake alimwambia kuwa mmoja wawafanyakazi wake muhudumu wa hoteli yake amekuja hapo kwaajili ya kumpeleleza na kumuwekea dawa za kienyeji...Dunia hii ni ya ajabu sana sisi tunapigania chakula kwa familia zetu kuna wengine wana kila kitu ila kiburi tu kinawaponza angejua wenzake tunavyotamani alivyokuwa navyo angetulia na kumshukuru mungu, kaibiwa vitu vya thamani ndogo tu nina uhakika angeweza kumuachia mungu akatoa sadaka au aache sheria ichukue mkondo wake matokeo yake unapoteza kila kitu kisa kiburi
Daah yaani hapa ndo kaharibu kabisa !! Nahisi hata huko ofisini wadosi watakua wanamcheka na kumshangaa !!Pauline Philipo Gekul, mbunge wa Babati Mjini (CCM) amekamatwa na jeshi la polisi alipokuwa akijaribu kutoroka kuelekea nchini Kenya kupitia mpaka wa Holili, Rombo, Kilimanjaro. Hii ni nia OVU. Jambazi Pauline aliwateka Hashimu na Michael, kuwatesa na kuwawekea chupa makalioni.