Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya

Nililisema hili
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we mtu!!
 
Lukas mwashambwa uko wapi zezeta mwenzako Katia watu chupa kwenye (NDUKUMU) kumbe ndio zenu
 
Halafu wala hajajiuzulu bali katenguliwa. Haki hii nchi tuna viongozi kenge wengi saana. Bado anaitwa mbunge afutwe ubunge nao kama hataki kujiondoa mwenyewe
 
Mahakama itaamua.
Amekosea kujaribu kukimbia maana yake ana makosa.
Hivi kweli unaamini kabisa huyu anaweza kukimbia? Hata akienda mahakamani ni ngumu kuthibitisha alikuwa anatoroka maana sidhani kama alizuiwa kwenda kenya kama kweli alikuwa anafanya hivyo halafu kulikuwa na arrest warrant? Tafsiri ya kutoroka ukiwa mtaani na ukiwa mahakamani ni vitu viwili tofauti!
 
Hawa wote wameoza hawawezi kushughulikiana inavyotakiwa kwa mujibu wa sheria.
Itavuma halafu itaisha....
 
Mpuz sana huyu anakimbia badala
Ya kukabiliana na matatizo yake
Anazidi tu kuchochea moto ya matatizo yake

Ova
 
Unaweza ukapata cheo ,fedha
Lakini wewe ukaona kama ni ndoto

Ova
 
Naombeni sana serikali yetu iheshimu haki za binadamu ikiwemo freedom of movement!.

Toka tukio limetokea mpaka leo kama PT hawakuisue arrest warrant, huwezi kumuita anataka kutoroka wakati hakuna arrest warrant yoyote!. Mipaka yetu yote ni very porous, mtu anayetaka kutoroka atapitia border post wakati kuna panya roads kibao?.

Gekul alikuwa anakwenda Kenya kwa shughuli zake za kawaida na sio kutoroka!.
P
 
Kuna kigwangwala nae,tuhuma za kuwatesa wafanyakazi wake
Hawa viongozi wanafanya sana uharamia Ni vile tu mengi yanaishia chini sababu ya vyeo vyao
 

Hata taarifa zake za unyanyasaji zilipofika hapa JF watu wengi walidai ni uzushi mpaka pale alipotenguliwa ndio wakaamini. Tusubirie muda utasema.
 

Nadhani circumstancial evidence inaweza kutumika kuonesha kuwa alikuwa anatoroka.
 
Alikwambia anaenda Kwa ajili ya shughuli zake? Au hao wengine aliwaambia anatoroka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…