Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya

Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya

Hahaha GEKUL, akili kisoda !!.


Inawezekana kabisa picha lilikua hivi..

Wabaya wake walimpenyezea Taarifa za uongo kua Kuna madogo wanataka wakuwekee sumu.


Wabaya wakamwambia, tutakusaidia hao madogo walotumwa tuwakomoe .


Naye kwakua anakikundi Cha Wahuni, akawasikiliza.


Madogo wakatekwa kweli Ofisin kwake , Wabaya wakiendelea kurekodi video na sauti.


Kwakua madogo hawakutenda, ikawalazimu madogo wakatae katakata !!.


GEKUL akichokonolewa na wabaya wake, wafanye hivi ,wafanyie hivii...


Wabaya wakawa wamepata walichonacho.


Wabaya wakaamua kulilipua mtandaoni .


Wabaya hao hao wanamwambia toroka ,torokaaa .



GEKUL akili kisoda, naye huyoooo !!.


Katika kipindi alichotakiwa kutulia ni hiki.


Nimeandika humu, GEKUL achukuliwe hatua za SHERIA , Ndani yake Kuna upepelezi Ndani yake Kuna Kila kitu mpaka SHERIA kutoa hatima .



GEKUL akijichanganya ,Kila kitu chake kitaenda mrama !!.


GEKUL atajiua !!

Wabaya watashinda, HUSUSAN WABAYA WAKE AMBAO NI WATI WAKE WANAOFANYA NAYE BIASHARA NA MADEALS MAKUBWA KUBWA !!.
Huyu wampokonye hiyo bastola ambayo anaendanayo kila mahali

Huyu Gekul atajilipua ...hana moyo wa kuvumilia matatizo...

Yeye akubali kuface sheria, kisha wakati huo huo atafute familia ya huyo kijana kuongea nao wajue watamsaidia vipi huyo kijana ..
 
Kama sabaya yupo huru kila mtu kutoka ccm kinawezekana
Salakasi tu hizo

Kama walikua kwenye national operations so zikatokea personal issues zitangaliwa kwajicho la kujuana but kwa uyu haikua kabisa na issue zinazohusiana na gvment operations kwaiyo sio rahisi kupata msaada ukitegemea saivi wanaelekea kwenye uchaguzi na mikoa ya kusini inachuki sana na chama.
 
Aibu zake tu, mbona akina Sabaya wapo hata Kama ni kifungo Cha nje.
Ni kweli yupo kwa kifungo cha nje ila sekeseke alilopitia wanalijua wanalikumbuka hakuna mwanaccm tena mwanamke wa kukitamani hicho kikombe, kesi zinafilisi pia akiwawaza wabaya wake kisiasa na kibiashara watakavyomdhihaki!! ndo maana kaamua kujilipua kutoroka kumbe wamemdanganya ili kumuanika zaidi

Au kwa namna anavyoabudu ushirikina yawezekana kaambiwa huko kuna mganga wa kulizima hili😂
 
Makonda alilindwa na Rais huku Sabaya alifika mahakamani na kupatikana na hatia na kufungwa mwaka mzima kifungo Cha nje.
Bashite alikuwa anamjulisha JIWE Mishe zote ...na JIWE alikuwa anatoa baraka ....
Bashite akipelekwa Mahakamani atasema nilikuwa natumwa kukusanya mapato ... Japo najua anatuhuma ya kupora uhai watu

Angalia hata kesi ya Sabaya ...alisema nilikuwa napambana na wakwepa kodi nawapeleka Polisi ...na JIWE alikuwa na taarifa zake
 
Pauline Philipo Gekul, mbunge wa Babati Mjini (CCM) amekamatwa na jeshi la polisi alipokuwa akijaribu kutoroka kuelekea nchini Kenya kupitia mpaka wa Holili, Rombo, Kilimanjaro. Hii ni nia OVU. Jambazi Pauline aliwateka Hashimu na Michael, kuwatesa na kuwawekea chupa makalioni.
Karma imemmaliza huyu Dada.
 
With a rotten system, Mwisho wa movie lazima ataachiwa huru tu. Manakumbuka Kigwangala aliwahi kutuhumiwa kumpiga mtu risasi ya mguu? Nini kiliendelea? Bashite na Sabaya wapo uraiani na kulikuwa na evidence za uhalifu hadi footage za CCTV camera. Msitarajie jipya hapo, baada ya Wiki moja hili sakata litasahaulika
Na ataachiwa kweli maana tuhuma inadai yeye alisimamia zoezi la kuingiza chupa hakuingiza yeye hizo chupa, sasa ushahidi wa kusimamia itakuwa kazi kuupata. Kama kukutwa na hatia watakutwa hao vijana wake.
 
With a rotten system, Mwisho wa movie lazima ataachiwa huru tu. Manakumbuka Kigwangala aliwahi kutuhumiwa kumpiga mtu risasi ya mguu? Nini kiliendelea? Bashite na Sabaya wapo uraiani na kulikuwa na evidence za uhalifu hadi footage za CCTV camera. Msitarajie jipya hapo, baada ya Wiki moja hili sakata litasahaulika
Haya maandishi yafaa yawekewe lamination.
 
Watu waovu wenye mamlaka wakivuliwa mamlaka huwa waoga sana. Anakimbia nini na wananchi anawaachia nani awawakilishe? Wanasheria wameisha nchi hii? Hapa ndio wanawake sasa tunaonekana tunaweza kuhimili mikiki au lah. We can never be men aiseee
Kama mwanamke anaweza kujifungua mtoto akatupa chooni,sembuse kuwaacha wananchi
 
Au wananchi wenye hasira waamue au imekaaje? Au Parachute itumike
 
Hii story ina kasi sana!
Haina ukakasi. Uteuzi wake umetenguliwa wa uwaziri. Ajilaumu mwenyewe kwa kuendekeza imani za kishirikina. Japo, najua hizi ni drama mwisho wa siku kama atapelekwa mahakamani tutaambiwa hana hatia, ushahidi haujatosha. She acted on hearsay tena suala la ushirikina akaenda kumtesa kijana. Unaona aina za viongozi tuko nao? Hawa ndio wakupeleka mbele maendeleo? My rotten big prick!
 
Back
Top Bottom